Mpenzi wako ulienae hivi sasa unamfananaisha na kitu gani kizuri hapa duniani?

Namfananisha na box tupu
 
Panya Road
 
Dah๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nimekuwa waziri tena
Nimekupa hiko cheo maana unastahili unajua kuwasilisha vizuri hoja zako ( Habari ), unajua kucommunicate vizuri na watu kupitia jokes n.k hata mtu akikwaza au akikujibu vibaya au akiongea maneno mabaya ukasiriki unamjibu vizuri na sio kwakupaniki na hii skills sio kila mtu anayo (communication)
 
Nilimuita my everything na niliachwa sahizi ni mwendo wa my gunia la mkaa [emoji23][emoji23]

Sasa mm najuaje kama anajihis Yuko peponi [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Taifa gas
 
Ahna Asante
Napenda sana utani napenda kucheka yaani ukigombana na Mimi utakuwa na matatizo binafsi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ