Mpenzi wangu amekiri kunisaliti, ameomba msamaha natafakari maamuzi ya kufanya

Msamehe tu kwa sababu mnafanana tabia.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
j i n g a k a b i s a w e w e
 
Wewe achana na huyo mtoto mzee! Kabinti ka miaka 22 unaenda nacho wapi mzee hebu tafta mkubwa mwenzio walau alietuliza kichwa mwenye 25yrs ndio mpange mipango ya maisha
 
kumbuka karudia mala mbili kunicheat
Alishaku cheat mara 5 kabla na huyo bwege sema wamefikia stage ambayo wame relax sana ndio maana ukamshika demu wako ugoni!😅
 
Mpe adhabu ya kumfumua marinda ili kutoa heshima tena unapaka vumbi la kongo na uhakikishe Hadi anatoa mbolea kwa ustawi wa mahindi msimu huu wa mvua chache!!
 
Nyie wanawake mkianza kuliwa na washkaji wengine ni tatzo ukinogewa uko kinachofuata no matukio tu huwa hamuwezi kabsa kucontrol hisia zenu
Hahahahahah mwanamke akianza kuliwa nje lazma aanze dharau za ajabu mara kutoa K hataki anakubania😅 af anaona kawaida sana tu!

Majibu ya mkato mkato hapo jua ushakatiwa line kitambo. Simu hapigi mpaka umuanze yeye daily huwa wanafurahisha sana na drama zao!

Anajitoa nje ya mfumo kabisa yani anaishi na wewe kama stranger kana kwamba hamjawahi vuana chupi tena hasa kama mnakaa kila mtu kwake lazma aanze kukwepa kukutana na wewe
 
Kama ameonesha kujutia msamehe tuu.. binadadamu tumeumbiwa makosa

Kama hutaweza kumsamehe no kheri muachanetuu
Wanawake ni wanafiki namba 1 hata alie na kugalagala ni aheri kutomsamehe tu😅
 
Hivi mtu unadanganywaje eti "niambie ukweli nikusamehe".?
Kosa kama hilo sio la kukiri labda akukute kwenye tendo husika tofauti na hapo kukubali ni uzembe.
Naona gwiji katika ubora wako wa kuelezea mbinu chafu
 
Rules of thumb!

1.Mwanaume anasaliti kwa tamaa tu.

2.Mwanamke anasaliti kwa hisia za mapenzi juu ya mwanaume husika.


Hio ya kwanza ni rahisi kushugulika nayo ila ya pili ni ngumu sana! Ni ngumu kuvunja emotional attachment baina ya watu wazima wawili ambao wameamua kutimiziana haja kihisia.
 
asante kwa ushauri wako mkuu.

hata hivyo nishaachana nae leo mchana ndo nimefikia hayo maamuzi baada ya kusoma ushauri wa wadau na kuchanganya na zangu.

japo dem bado anaomba msamaha hadi mda huu naandika hapa ndo katoka kunipigia simu.kasema ameomba ruhusa kazini wiki nzima ili eti anibembeleze turudiane[emoji1]
 
Ukweli kama una wivu ni bora na wewe ukaamua kujituliza ili kama unampenda umuoe na wote mheshimu ndoa yenu muombe mungu awaondolee roho ya usaliti na ailinde ndoa yenu. ukiombea ndoa yako mungu ni mwaminifu atailinda.
 
Shida tunachelewa kukua, aina ya wanawake changamoto. Umri wako nimeoa na mtoto mmoja.
 
Well said[emoji95]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…