Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siwezi nikavumilia kuchapiwa mala zote hizi [emoji19][emoji19][emoji35][emoji35][emoji35][emoji34][emoji34]Mkuu,ukichapiwa,ukijua na kuthibitishiwa na kuombwa msamaha samehe.Ila kuhusu kuendelea na uhusiano hakikisha uko tayari kukaa katika uhusiano ambao akichapwa tena na tena na tena na tena na tena na tena na tena na tena bado utakuwa jasiri wa kumasamehe.Pembeni ya hapo ama utamtesa huyo mwenzio kwa sababu ya kuanguka kwake au utateseka wewe kwa kukaa na mtu ambae humuamini.
Mpenzi kutoka nje ni jambo ambalo lipo hata hivyo kumvumilia na kukubaliana na hio hali inahitaji umpende zaidi ya unavompenda sasa hivi
tundu ya mbele,,,hiyo tundu ingine hata gumba huwa anakataa kumuwekea wakat wa kale kamtindo ka mbwa[emoji38][emoji38][emoji1]Cha kwanza unatakiwa uweke wazi amekusaliti kupitia tundu ipi kati ya hizo tundu zake mbili?
Kama amekusaliti kupitia tundu pendwa basi kung'uta ndala zako halafu usonge mbele pasi na kugeuka nyuma.
Ni ngumu kuachana wakati bado wanafanya kazi sehemu moja.eti kanambia washaachana,, nifanyaje ili kudhibitisha kweli wameachana??
Anaweza kukataa kwako halafu wengine wakapewa tena kiroho swafi kabisa.tundu ya mbele,,,hiyo tundu ingine hata gumba huwa anakataa kumuwekea wakat wa kale kamtindo ka mbwa[emoji38][emoji38][emoji1]
Ubaya unakuja hapa ivi,tuchukulie huku msaliti Ila yeye ndo kakusaliti. Hapo itakua ngumu kwa wewe kujua je anavosema nisame nakupenda anamanisha au anatania? Wanafanya kazi sehemu moja so jua tuh hata Kama wameachana Ila jamaa akimuitaji atapata anachokitaka hata Kama huyo dada hataki,naelewa ugumu unaoupata hapo.eti kanambia washaachana,, nifanyaje ili kudhibitisha kweli wameachana??
Hakuna mwizi anayekiri kuwa niliiba,kisa tu mmemwambia ukisema ukweli hatukupigi..Hivi mtu unadanganywaje eti "niambie ukweli nikusamehe".?
Kosa kama hilo sio la kukiri labda akukute kwenye tendo husika tofauti na hapo kukubali ni uzembe.
afu jamaa ana cheo binti hanaUbaya unakuja hapa ivi,tuchukulie huku msaliti Ila yeye ndo kakusaliti. Hapo itakua ngumu kwa wewe kujua je anavosema nisame nakupenda anamanisha au anatania? Wanafanya kazi sehemu moja so jua tuh hata Kama wameachana Ila jamaa akimuitaji atapata anachokitaka hata Kama huyo dada hataki,naelewa ugumu unaoupata hapo.
Kama ni Ivo yaweza ikawa kweli ni Mara ya kwanza kukusaliti kwa huyo jamaa,Cha kufanya apo we mpe challenge ili ujue kula kitusi ni katoto,afu nilimpiga mkwara sio wa nchi hii
Unaona sasa, ko hapo huyo dada hana jinsi maana hata akijaribu kukataa huyo msela atampitisha kwenye maisha magumu,kumchongea aonekane mfanyakazi mbaya,kumnyima mshahara..afu jamaa ana cheo binti hana
Elewa kuwa jamaa hawezi kuachana nae na ana mpenda ndo maana hata namba na kuongea nae kagoma kuepusha zogo.ndo ivo sasa,hapo nimeshindwa kumuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee no za hao mademu wako wa pembeni umempa yeye? Au umewapigia kuwaambia mbele yake kuwa huwapendi? Acha ubinafsi khaaah.mwanamke akisaliti ni mbaya kuliko sie vidume,huenda anampenda huyo jamaa ndo kagoma kunipa namba ya uyo bwana wala hataki kumpigia tukiwa wote ili amwambie kuwa ana mtu anayempenda
Hayo Mahusiano ni ya kuvunda hayana ubani.Nipo kwenye mahusiano na huyu dada kwa almost mwaka mmoja.
Wiki ilopita kaenda site nje ya mkoa na wafanyakazi wenzie maana nature ya hiyo kazi wengi wanaomzunguka ni wanaume, wanawake wako wawili tu kati ya watu 30.
Okay, alivyorudi niligundua alinisaliti akiwa huko site, aligoma kunambia ukweli lakini nikamwambia tuachane kama anataka turudiane aniambie ukweli, ee bana ee akafunguka ni kweli alinisaliti na mmoja wa wafanyakazi wenzie sababu akanambia alipitiwa tu.
Amelia sana nimsamehe hatorudia tena amekiri kosa na anahitaji msaada wangu. Nimempa siku nne nmefikirie namsamehe au laa!
Japo huyu dada siishi nae anakaa geto na mwenzie huyo wa kike, na kwa maelezo yake ametembea na huyo jamaa mala mbili tu,ile siku na kabla ya hapo.
Umri wa huyu dada ni miaka 22, mimi 27 mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe. Nimeongea haya ili niwape picha kamili ili mtoe ushauri kulingana na yeye na mimi pia.
ASANTENI.
heka heka gani unanishauri nimpe