Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah mwanangu una uboya mwingi sana.[emoji38][emoji1][emoji1] Daah!
nafanya ivo ili nijue nimpime imani yake,na kama kweli kaamua kubadilika na kuachana na uyo jamaa.
mke wako alivyokusaliti alijiteteajeUkiachilia mbali mkewangu, sijawahi umia kisa kanisaliti. Kuna siku niligundua mchepuko wangu umenitenda. Akakiri na kuomba samahani. Nikamwambia huna sababu ya kuomba samahani. We nenda, nikikuhitaji nitakuita. Aliongea maneno yote ya kubembeleza. Nikamwabia nenda tu.
Baada ya wiki akaja, nikakagua iko safi. Nikala kama kawa. Na maisha yanaendelea. Nikitaka nakula baada ya hapo hakuna kuzoeana, asubiri siku nikihutaji.
Huyo sio mpenzi atakupotezea mudakama mara mbili
Sijawahi kugundua kama kanisaliti. Hope anafichama sana.mke wako alivyokusaliti alijiteteaje
Linda [emoji257]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipe namba yake nimkomeshe
Sasa si umsamehe nawee khaaah.lakini kati ya wanawake wangu nilionao huyu ndo nnampenda na ndo nna malengo nae