Mpenzi wangu amenibadilikia mpaka nimeona uhalisia wake

Mpenzi wangu amenibadilikia mpaka nimeona uhalisia wake

Mboka man

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
478
Reaction score
1,647
Kuna kosa nilimkosea mpenzi wangu la kutumwambia ukweli kwa baadhi vitu vyangu hivyo baada ya muda aligundua nilikuwa namdanganya

Since alivyogundua amekuwa mkali kwangu mkorofi lakini pia lililonistua zaidi ni matumizi ya lugha ya matusi ambayo Imenifanya nione rangi zake halisia

Licha ya yote hayo nilijaribu pia kumuomba msamaha kwa yote Niliomkosea kwake bado hajarudi kwenye uhalisia wake wa uzamani

Nifanyeje wana jf maana naona tunapoelekea sio pazuli
 
Mwanamke mwambie ukweli kabla kama una malengo nae lakini kama ni wa kupita mara moja basi mdanhanye.
 
Kuna kosa nilimkosea mpenzi wangu la kutumwambia ukweli kwa baadhi vitu vyangu hivyo baada ya muda aligundua nilikuwa namdanganya

Since alivyogundua amekuwa mkali kwangu mkorofi lakini pia lililonistua zaidi ni matumizi ya lugha ya matusi ambayo Imenifanya nione rangi zake halisia

Licha ya yote hayo nilijaribu pia kumuomba msamaha kwa yote Niliomkosea kwake bado hajarudi kwenye uhalisia wake wa uzamani

Nifanyeje wana jf maana naona tunapoelekea sio pazuli
Unasemaje ukweli? Umeshaharibu, wanawake hawapendi kuambiwa ukweli
 
Umekosea sana mkuu,
Mwanaume ukimkosea mwanamke wako, kamwe hupaswi kumuomba msamaha.

NB:
Msamaha Ni ishara ya udhaifu, uoga hofu na utii, mwanamke atautumia msamaha wako Kama silaha ya kupitishia request zake mbalimbali zisizotekelezeka,zinazokuumiza na sometimes kukunyanyasa sanakisaikolojia.

Ukishamkosea mwanamke wako,
Wee Tafuta upenyo, muweke kwenye kona.
Mpelekee moto wa nguvu, afu msamaha ndo aombe yeye

Baada ya tendo,
Inakua ndo imeisha hiyo,mnaanza upya [emoji4]
 
Kama ulimdanganya kwamba huna nyumba, au kiwanja au gari wakati unamiliki Mali kibao basi atatulia ila kama ulimtongoza kwa gari la kuomba lazima rangi uzione.
Daaaah ***** ila wabongo ni tabu kwa kweli?
 
Ulimdanganya nin kwani???? Mwanamke akishaanza kukutukana huyo sio wa kumchekeaa piga chinii
 
Back
Top Bottom