Mpenzi wangu ana mahusiano na kaka yangu wa damu

Nilianza mahusiano na huyu binti mwaka juzi mwezi wa kumi na mbili. Mwaka 2019 Nikiwa semester ya mwisho kabla ya kumaliza chuo nilipata supplementary ambayo mwalimu alichelewa kutoa matokeo, akaja kutoa siku moja kabla ya
Yaani umchukie kaka wa damu sababu ya demu tu? Kwa taarifa yako hata huyo demu angeweza kukupiga na kitu kizito kupitia mtu mwingine yeyote! Na kukuongezea, kwa kuwa ndiyo kwanza umeanza, utapata demu mwingine, naye pia utachapiwa na msela flani tu, sasa utachukia watu wangapi?
 
Unazungumzia demu wa dogo, wazee wamegonga demu za watoto wao, ukishajua unashea na mdingi unajitoa, pisi tu mbona! Maisha ni hayahaya!
 
Shida ipo kwako na brother ako, usimsingizie binti wa watu.

Na binti kati ya watu ambao anaamini wanakujua nje ndani basi ni kaka ako hata kama hawajui vizuri.

Wewe na kaka yako mna nongwa gani mpaka mfikie huko, si ajabu hata yeye hakupendi kama wewe usivyompenda.

Kaa na kaka ako mjuane vizuri. Au mnagombea urithi nyie!?
 
As usual Reutenant latric unproven wife smacked down the guy..Oops One man down.

Cc@our major General@LiverpolVPN
 
Hivi huwa mnapata wapi ugumu wa kuuliza mtu kuhusu fulani kumueleza ukweli ili ujue yeye anasimamia wapi.

Muite demu mueleze kinacho jiri muulize msimamo wake hakuna kuyumbisha yumbisha. Toa conclusion yako .

Ita bro mueleze, sikiliza msimamo wake toa conclusion yako
 
Kaka yako ni snitch.Hayo maongezi yao, meseji inasema ni "bora niachane naye " amekusiliba vibaya mno.

Cha kufanya wapotezee wote ila usigombane na kaka yako hadi kupelekea kuua undugu, ila jiepushe naye, usiwe unamhusisha kwenye mambo yako ya msingi.

Ukitaka kumjua mtu ambaye yupo loyal kwako muweke karibu na pesa zako,kazi, biashara
au mwanamke wako. Kama asipoharibu kote amini kwamba ni mtu mzuri.
 
Pole mkuu, huyu mwanamke asiharibu undugu au heshima kati yako wewe na brother wako. Piga chini kwa hekima, kaa na bro kiutu uzima. Undugu na heshima ni muhimu zaidi kuliko huyo mwanamke. Sio mwaminifu huyo mwanamke...
Kiukweli sioni undugu na heshima yoyote kwa mtu anayeamua kumkunja mwanamke ambaye anajua kabisa ni wako.
 
Kaka yangu plus huyo binti they are all jerks. Unajua angeliwa hata na jamaa msiye na nasaba ningeona kawaida ila sio kaka wa tumbo moja kabisa, na anajua kila kitu
 
I can't withstand that kinda disrespect from my brother
 
Hivi una akili timamu ww yaan unavunja undugu na bro kisa Malaya kweli??
baada kusoma mstali wa mwisho nimegundua u deserve that.
you're not strong enough to have her under control uko obsessed na love grow up dude
Ni rahisi sana kuzungumza.

But one thing, Ndugu ambaye yupo tayari kukuzunguka kwa demu wako na anajua kila kitu maana yake hakupendi, hakujali, mbinafsi, mpumbavu. Mpaka hapo hakuna haja ya kuendeleza udugu wa kinafiki
 
Pole ktk maisha hii yaweza tokea .
Imewahi nitokea mie licha alikuwa binamu yangu na rafiki yangu wa karibu sana , mie ninachoamini mapenzi ni ya watu wawili tu akiingia mtu mwingine imekula kwenu.

Binti huyu nilimpata , ndani ya Ile teenager akiwa ananizidi miezi kadhaa kiumri . Basi binamu yangu alikuwa na group la marafiki ambao walipenda sana kuwaandikia mie barua za wapenzi wao , hivyo nilikuwa najua a 2 z zao lkn mm walikuwa hawanijui natua wapi

Huyu Binti nilikuwa nimeshamwambia kuwa mapenzi ni yetu tu wawili hakuna mtu mwingine zaidi yetu tukishindwana ni sisi wawili baaas.

Nimetulia zangu Sina hili Wala lile ghafla , binamu anakuja na cheko kuu sana na furaha ya ajabu nikamuuliza kulikoni daaah alahaula Binti kashanichoma , binamu ananiuliza Kwa nn sijawahi kumwambia kuwa yule bibie ni wangu, akanisifia sana . Nikasema poa

Siku zikaenda zikakatika mara tu Binti hanitaki Tena

Kama kawaida ya enzi zile nikanyang'anya ndala moja nikaenda nayo getto nikatulia najua atafuata tu zikakata ck bila kufuata ck moja akajichanganya akazifuata, nikambana vipi kabadirika sana daah Binti akafunguka akisem binamu Yako kanitongoza Sasa Mimi siwezi kuwachanganya ndugu nikaona niwaache tu wote. Nikamuuliza kosa ni la nani akadai sisi wote kumtongoza .


Nikamwambia hujui kuwa ww ni chanzo na tatizo ni wewe kumwambia jamaa ninawewe

Duh ndo ikawa mwisho wa uhusiano wetu

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 

Una uhakika kuwa huyo ni dem wako au wewe ndo umeingilia mahusiano ya watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…