Mpenzi wangu ana mahusiano na kaka yangu wa damu

Unataka kugombana na kaka yako kisa papuchi! Nadhani akili zako haziko sawasawa
 
Nilianza mahusiano na huyu binti mwaka juzi mwezi wa kumi na mbili. Mwaka 2019 Nikiwa semester ya mwisho kabla ya
Kama vipi tafta kundi la gangstars walipe wakamteke bro ako na huyo manzi piga hard cellotape mdomoni, funga kamba mikono na miguu, ziba macho, wavue nguo , wafungie geto halafu piga fimbo za kutosha
 
Mapenzi yanaupiga mwingi mpaka tobo kanzu naona mtu kagalagazwa huku
 
Tabia za kishamba sana,
Mwanetu usigaee Tena moyo wako ... HV videmu vya sku hizi Malfunctioned.... Hit n Run
#Thuglife bruh😎
 
Huwezi ua undugu na bro kisa Huyo kicheche mbuzi. Piga chini kimyakimya ila bro mchane live kua unajua kua anakula mbususu ya demu wako! Then mute na Maisha ya endelee.
 
Nilianza mahusiano na huyu binti mwaka juzi mwezi wa kumi na mbili. Mwaka 2019 Nikiwa semester ya mwisho kabla ya
Kichw cha habar
"K yafanikiwa kutenganisha ndugu wa damu"
 
Ww ulimla huyo binti mara ngapi?
Isije ikawa ww ni domo zege hujawahi hata kumtongoza zaidi ya urafiki wa kawaida.??
 
Tumia akili bwana mdogo mbususu zimejaa mjini.
Huyo bro wako hamna haja ya kuweka bifu we deal na hako kabinti kapige tukio zito afu achana nako.
 
Bro wake kazingua, hata ningekua mimi ningemind ningewafungia vioo wote wawili wakaendeleze mapenzi yao huko.
Bro mjanja dogo zoba kazidiwa kete inabidi awe mpole,hata akinuna dem wake anamegwa

Kwanza dem wake kumkubalia broo wake inaonesha dogo ni dhaifu yeye apambane na typ zake.
 
Pole sana, kama ndo ningekua mimi ningewaacha waendeleze mapenzi yao, siwezi vunja undugu kisa mapenzi.
 
Nimeishia hapo kwenye Supplementary
 
Pole mkuu, huyu mwanamke asiharibu undugu au heshima kati yako wewe na brother wako. Piga chini kwa hekima, kaa na bro kiutu uzima. Undugu na heshima ni muhimu zaidi kuliko huyo mwanamke. Sio mwaminifu huyo mwanamke...
Na hakuna jipya chini ya jua. Muhimu ni amani na afya ya mwili, akili na roho yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…