Mpenzi wangu ana mahusiano na kaka yangu wa damu

Pole mkuu. Tafuta ushahidi kama wana mahusiano kisha wapoteze.
 
Mbususu kitu kingine jamani. Dah! Wee huyo demu wala usiumize kichwa..wee piga na bro nae apige basi maisha yanaendelea
 
Cha kufanya wewe ndo uanze kumpiga chini na usimpe sababu. Ukipigwa chini wewe utaumia zaidi
Mweee hapa dawa nijamaa aombe game alafu katikati ya game ajidahi amekosea tobo
 
Usikubali mwanamke avunje undugu wenu,
Tambua mwanamke Ni wakupita,undugu wenu wakudumu
 
Achana na huyo Mwanamke siyo mwaminifu songa mbele maisha yaendelee.
 
Muache uyo dem kabla aja kuacha utani kumbuka, maumivu ya kuachwa ni tofauti na ya kuacha.na maumivu ya kuachwa ni makubwa ata kama alie kuacha ulkua na mpango wa kumuacha [emoji81][emoji81]
 
Pole mkuu, huyu mwanamke asiharibu undugu au heshima kati yako wewe na brother wako. Piga chini kwa hekima, kaa na bro kiutu uzima. Undugu na heshima ni muhimu zaidi kuliko huyo mwanamke. Sio mwaminifu huyo mwanamke...
Jinamizi hilo linawatia majaribuni kaka bora uachane nae kuliko kuvunja udugu, "ndugu atabaki kua ndugu ht km ni mwanga"
 
aliyemkuta mwenzake kwanza ndio akae pembeni!

mtihani: jaribu kufuatilia nani kati yenu alikuwa wa kwanza.

kaa karibu shosti ake na Frida, anajua zaidi! ila kama unakifua na muda wa kupoteza!

msichukiane, you are badboys for life! 👊
 
Piga chini huyo kicheche,usivunje undugu Ila huyo kaka yako mwambie kuwa alichokufanyia siyo fresh na mwambie kuwa umeamua kumuachia hilo bomu ahangaike nalo kwani na yeye atakuja kulizwa tu
 

Huwa nashangaa sana mtu akisimulia kisa kama hiki na akimalizia kwa kusema hajui cha kufanya, hujui ufanye nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…