Mpenzi wangu ana mahusiano na kaka yangu wa damu

kwangu mimi silent killer nisingeongea chochote ningempiga chini kimyakimya na hakuna hata ukinidadisi sikwambii chochote.
 
Cha kufanya wewe ndo uanze kumpiga chini na usimpe sababu. Ukipigwa chini wewe utaumia zaidi
Demi Mambo!! mbona mie nilikuwa nawapa mtu na kaka yaeke kwa zamu?? na wala hakukuwa na shidaaa?? ila dogo alinikosha sana!! nakumbuka siuk moja ivi..ngoja simu inaita.......
 
Demi Mambo!! mbona mie nilikuwa nawapa mtu na kaka yaeke kwa zamu?? na wala hakukuwa na shidaaa?? ila dogo alinikosha sana!! nakumbuka siuk moja ivi..ngoja simu inaita.......
Mambo poa.
Ni sawa tu kama ilikupendeza. Walijua unawachanganya kihivyo?
 
Kumbuka lakini nyinyi ni ndugu ila huyo mwingine ni mpita njia tu. Akili kichwani
 
Mambo poa.
Ni sawa tu kama ilikupendeza. Walijua unawachanganya kihivyo?
Yaani Best weye acha tu!! walijua fika hata wkt mwingine nalala nao woote sometimes namwambia mmoja nimechoka anakubali tu! nampa mwingine.....

na nimegundua ke wengi sana tumefanya hivi ila hawasemagi!........Lkn dogo nilichukua mazimaaa!!! ila hawa ndugu wanapendana sana tena ya munoooo!! siku akija shemeji yangu namwambiaga ivi.....
 
mkVndV wewe, huyo malaya hawezi kukuzika, kaka yako ndiyo atakuzika na kukutolea damu
 
Umetisha sana 😅😅😅
 
HV mnatokea wapi nyinyi wapuuzi Hadi manashare mademu na kaka zenu wa damu kaka ako anaweza vip kumfata mwnaamke unayemfata wee pia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
HV mnatokea wapi nyinyi wapuuzi Hadi manashare mademu na kaka zenu wa damu kaka ako anaweza vip kumfata mwnaamke unayemfata wee pia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha kauzibe bana sasa kumpa mtu baki na kaka mtu kipi bora best wala siyo dhambi........kibaya kumpa kaka yako wa damu!...wale ni sawa!
 
Kwann usimface umuulize direct akwambie ukweli?! Maana so far hauna ushahidi wa moja kwa moja zaidi ya picha kutoka kwa rafiki yake na pia mazungumzo ambayo haujaysikia. Waite bila wao kujua kuwa unawakutanisha kila m'moja ajue ni dharula.
 
Familia yangu ina watu wamevurugwa, ila za wengine too much aisee.
 
Kaka yako ni mbwa sana ujue Kwa akili timamu yeye kachukua namba ya demu kwenye simu yako halafu amekusagia ubaya kama wote, demu katishika na kulewa umbea.

Msizingue kaka mtu mchawi.
 
Hivi mmepagawa akili au kaka Kwa akili timamu anisagie kunguni na kumpindua demu wangu halafu nisimchukie, mnaakili nyie, bila dogo kaka asingemfahamu demu
 
Hivi una akili timamu ww yaan unavunja undugu na bro kisa Malaya kweli??
baada kusoma mstali wa mwisho nimegundua u deserve that.
you're not strong enough to have her under control uko obsessed na love grow up dude
Ni dharau kubwa ambayo haivumiliki yeye kwanin aingilie mapenzi mdogo wake? Unaona yuko sawa eeh? Huyo kaka jinga kabsa.
 
Kaka yako kama ana mke mto**mbe na yeye jitahidi kwa njia yoyote hata kumlomba uyu mkewe mloge ut*omb mkewe ikiwezekana na nimba juu
 
Fanya maisha dogo...... Temana na hizo mambo
 
Huyo binti usipoteze muda mpotezee haraka sana , huyo brother mtajuana ila mimi ningeamua kutokana na ninvyojisikia kuhusu yeye, kama naona hana maana mpuuzi tuu nampotezea tuu,ndugu wengine hawana maana bora kuwa ndugu na mbwa tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…