Mpenzi wangu ana viatu pair 75, handbags 47, mikanda 70, mawigi 62 nimeamua kumuacha kimya kimya

75+47+70+62=254​

Huenda ana idadi hiyo ya wanunuzi
 
Hivyo vitu ni used au vipya kabisa? Na kama ni vipya, vimetoka US, China,UK,Canada au Mbagala? Tuanzie hapo kwanza mkuu.
 

Sishangai sana hivyo vyote huenda vimetoka kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…