- Thread starter
- #41
Kama hana kazi kaitoa wapi ,lazima atoe maelezo,vinginevyo unaachwaWengine kumiliki simu ya smartphone tu anaachwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hana kazi kaitoa wapi ,lazima atoe maelezo,vinginevyo unaachwaWengine kumiliki simu ya smartphone tu anaachwa.
Nimetoka kufanya sensa ya vitu anavyomiliki huyu kiumbe, hapo sijahesabu nguo zake, yaani akisema afungue boutique hana haja ya kuagiza mzigo China.
Hapo gesi imeisha wiki nzima hana hela ya gesi,friji ni kama simtank limejaa maji tu
Nimeona hanifai, sitaki ushauri nawapa tu taarifa, msije jiuliza kwa nini nimemuacha huyu mrembo.
Boutique huwa hawauzi mitumba wala vitu vya Mbagala wala KariakooHivyo vitu ni used au vipya kabisa? Na kama ni vipya, vimetoka US, China,UK,Canada au Mbagala? Tuanzie hapo kwanza mkuu.
Hivi wanawake wa hivi kumbe wako wengi,sasa ndio naamini kuwa kweli kumridhisha mwanamke ni kazi sana...Ajabu ni pale unamwambie tutoke kesho twende mahala, anakujibu sina nguo na viatu vya kuv
Bado yapo mengi tuHivi wanawake wa hivi kumbe wako wengi,sasa ndio naamini kuwa kweli kumridhisha mwanamke ni kazi sana...
Nimetoka kufanya sensa ya vitu anavyomiliki huyu kiumbe, hapo sijahesabu nguo zake, yaani akisema afungue boutique hana haja ya kuagiza mzigo China.
Hapo gesi imeisha wiki nzima hana hela ya gesi,friji ni kama simtank limejaa maji tu
Nimeona hanifai, sitaki ushauri nawapa tu taarifa, msije jiuliza kwa nini nimemuacha huyu mrembo.
Nitashangaa asipo kujibuKatika hiyo orodha hata nguo za ndani hana?
Dah kuna ukweli tabia ya kujiandaa masaa hata mimi ninayo🤷🏼♀️Huyo atakua anaamka saatisa usiku aanze kujipara ikifika saambili asubuhi ndio abatoka kwa kukurupuka maana kachelewa kwenye shuhuli
Wanawake waliowengi hawaridhiki kwani hata hawajui wanachokitakaHivi wanawake wa hivi kumbe wako wengi,sasa ndio naamini kuwa kweli kumridhisha
Hivi wanawake wa hivi kumbe wako wengi,sasa ndio naamini kuwa kweli kumridhisha mwanamke ni kazi sana...
mwanamke ni kazi san
Vipi hana hata Vi-Vitz vitatu, Vi-Passo kadhaa na Vi-IST?Hizo sijahesabu ila hazipungui 290
Usikute ndio wewe😀😀Uwoga wako tu mtoa mada nguo tunadamkia karume asubuhiiiii kabla jogoo hajawika😜