Mpenzi wangu ana viatu pair 75, handbags 47, mikanda 70, mawigi 62 nimeamua kumuacha kimya kimya


Tafuta hela
 
Mtoto mwenye pesa namna hiyo unaanzaje kumuacha?we umekamirika kweli?
 
Kaoe lofa mwenzio atakayekuvumilia ulofa wako

Ukome kuoa wanawake matawi ya juu wakati wewe lofa na kwenu malofa
 
Mleta mada ana pepo la umaskini mwanamke kuwa na vyote hivyo mbona kawaida tu

Furaha ya mwanamke ikomkwenye kutoka anaonekaje huko nje ndio maana huwa.na mavazi kibao

Pepo la mavazi lina unafuu kuliko.pepo la ulofa
Ana pepo la mavazi .hana hata kiwanja hapo alipo
 
πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…