Mpenzi wangu anaficha meseji kwenye simu yake, nahisi anawasiliana na wanaume wengine

Stupid kabisaa mwanamke anayekupemda kweli wala hagawi namba yake hovyo labda kama ni Mambo ya kikazii na mwanamke anayekupenda wala hajishughulishi na X wake na akitumiwa SMS hawezi kuzifichaa ata kama. Akiwa mzuri kiasi gani wazuri wanatongozwa kila siku lakin kama anakupenda na kukuheshimu wala hababaiki uyoo mwanamke ni Malaya na jamaa ni dhaifu kwake anajua jamaa hawezi kuruka kwake ndyo manaa anamchezea makidakida apoo
 
S
Stupid past wakati sahii uko na Alvin ila unachat na Edgar kimahaba na ni mtu mlikuwa wote mkaachana 2016 huko!
 
Kwann mnachunguza Simu za wanawake aiseee..hakuna kitu kibaya kama kuchunguza simu.
Simu ya mkeo kwanini uiogope kama wewe ni msafi? Kama na wewe mchafu usimbane mwenzio ila kama wewe msafi lazma mkeo nae awe msafi
 
Mara 100 kuwa na guluguja ila una amani kuliko kubebelea pisi kali af unagongewa kila kona😅
 
Boss moves,,,naunga mkono hoja
 
Sasa huyu jamaa yako anaetaka demu ambae hana mtu anaemsumbua kwenye simu unamsaidiaje?
Wapo mademu ambao huwa hawa entertain wanaume wengine kama wakiwa kwenye committment.

Utafosi akupe namba atakupa ya uongo au anakutia blacklist kabla hata hujaeleza shida zako.
 
Ujue HIV imejibadili na kuwa variant Kali Sana deadly nakukumbusha tu
 
Ndugu yangu kusoma hujui ata picha hujui kuangalia, embu tafakari kwa kina ilo jambo mtu anachat na wanaume zake wa nyuma na bado unamkumbatia tu
 
No discussion fukuza huyo kenge akaendelee kuchat na kuweka passwords akiwa kwao huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…