Mpenzi wangu anaficha meseji kwenye simu yake, nahisi anawasiliana na wanaume wengine

Mpenzi wangu anaficha meseji kwenye simu yake, nahisi anawasiliana na wanaume wengine

Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda wa miezi 7 sasa na siku kadhaa.

Na tulipanga hapo baadae tuje tuwe na mwisho mzuri (ndoa)

Katika kipindi chote hicho ambacho tulikua pamoja tuliweza kuwa na furaha japo pia kukwazana kupo kama binadamu, lakini tulikua tunaongea yanaisha na kurudisha uelewa kati yetu.

Pia tangu nimekua nae, baada ya muda nilianza kukagua simu yake, ili kuangalia je? Kama mwenzangu kweli ana nia na mimi au yeye ana mambo yake mengine anayowaza na watu wengine.

Katika hatua hiyo ya ukaguzi wa simu yake nilishawahi kukuta baadhi ya sms za mapenzi, ikiwa ni namba ngeni kabisa ndio iliyoingia zinaongoza kutuma kutuma sms hizo kwenye simu yake, na nilipojaribu kumuuliza mwenzangu yeye alijaribu kujitetea kwa kusema hizo namba hazifahamu na kudai tu ni watu ambao wanataka kumuharibia mahusiano.

Pia kuna uzi ambao nishawahi kuleta hapa kuhusu kutoelewana mimi na yeye, kutokana na simu ambayo nilipokea wakati wa usiku na huyo mtu alidai kwamba anamfahamu huyu msichana kuliko hata mimi ninavyomfahamu, na pale nilipomuasha usiku kujibu madai ya huyo mtu alianza kulia usiku hadi mida ya saa tisa(9) usiku akidai ya kuwa namuonea tu, lakini yeye hamfahamu.

Baada ya hapo hivi, juzi wakati naangalia whatsapp yake nilikuta chat ambazo ameweka password, lakini nilianza kuhisi pia kuna kitu hakipo sawa.. Baada ya hapo nilimuuliza kuhusu chat hizo lakini yeye alidai ya kuwa nisiwe na wasi wasi kwani hakuna baya linaloendelea.

Na ndipo siku ya jana nilimsihi sana atowe password hizo ili niangalie vitu hivyo ambavyo anachati na wao watu.

Sasa katika kubishana nilifanikiwa kuchukua simu ile ili aniambie password za kwenye zile chat, lakini aligoma.

Hivyo niliamua kuondoka na ile simu mpaka pale ninapokaa, na yeye kunifuata baadae... Pia hapo nyumbani tulibishana kwa muda sana, lakini aligoma kutoa password.... Ndipo aliponiambia nimpe simu ili atoe Mwenyewe hizo password... Kwa kuwa nilishahisi kuna vitu ambavyo anaficha na lazima vitakuwa ni viovu, niliamua kumpa simu yake.

Baada ya kuchukua simu, hakutoa zile password, ila badala yake aliamua kufuta zile chat zote... Hivyo kwa kuwa alifanya vile kwa makusudi, nilimuamuru aondoke zake. Lakini pia aligoma kuondoka... Hivyo nilitumia nguvu kumuondoa apo nyumbani kwa kuwa nilishahisi tu mambo yanayoendelea sio mema hata kidogo.

Hivyo leo alinisihi sana tuongee yaishe... Lakini kabla ya hapo kuna maswali nilitaka kumuuliza na katika kumbana sana niligundua mmoja kati ya wale watu aliokuwa akiwasiliana nao ni bwana wake wa kwanza kama alivyodai(ex boyfriend) na hawa wengine alidai tu, ni watu ambao wanamtongoza tu lakini hawajui...

Na kwa kuwa nilishaanza kumchunguza muda sana alisema ukweli wote

Sasa mimi binafsi nilimuambia ya kuwa sina tena imani na wewe, akaanza kama kawaida kulia usiku kucha, anadai nimsamehe...

Je wakuu hapo ingekua imetokea kwa upande wako ungefanyaje?
Hapa ndipo wanaume wengi tunapofeli kila siku narudia kusema katika hiki kizazi cha sasa hivi hakuna mwanamke wa peke yako hata umemuowa lazima kuna mwamba atakuwa anamla kiselaa tuu
 
Ifike mahali sisi binadamu wa leo tukue. I think we need maturity katika maisha ya mahusiano. Siku hizi matatizo ni mengi yasiyo na kichwa wala miguu na ni kwa sababu hatutaki kukua.

I think unapokutana na mtu embu tusichunguzane past tuiandike future pamoja. Kila mtu ana flaws hakuna mkamilifu.

Kama kweli unampenda mtu then things will fall into place lakini ndo kuangalia simu za mwenza wako huanzisha a stupid past. #rudikalalejuan#
Wakue...

The point is KULA then SEPA.

#YNWA
 
Na kiuhalisia watu hawajui tu,wanawake tukipenda tunapenda kweli ila udhaifu wetu ni kukosa msimamo...yaan mtu mwepesi kugeuka katika mapenz ni mwanamke...mwanaume anaweza shawishiwa na mbunye ingine akaila na akabaki na msimamo wa kubaki na aliyenae ila mwanamke nikigongwa nje nahamisha uchi,akili na moyo pia,ndo nishageuka yaan
Nashukuru mama.

Ndio maana wengine tumeshindwa amini kiumbe kinachoitwa mwanamke.

Tuendelee tu kukulana basi.

#YNWA
 
Hapa ndipo wanaume wengi tunapofeli kila siku narudia kusema katika hiki kizazi cha sasa hivi hakuna mwanamke wa peke yako hata umemuowa lazima kuna mwamba atakuwa anamla kiselaa tuu
Basi tuwatomb* tu yaishe.

Kwanini unaoa mbunye ya wengi?

#YNWA
 
Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda wa miezi 7 sasa na siku kadhaa.

Na tulipanga hapo baadae tuje tuwe na mwisho mzuri (ndoa)

Katika kipindi chote hicho ambacho tulikua pamoja tuliweza kuwa na furaha japo pia kukwazana kupo kama binadamu, lakini tulikua tunaongea yanaisha na kurudisha uelewa kati yetu.

Pia tangu nimekua nae, baada ya muda nilianza kukagua simu yake, ili kuangalia je? Kama mwenzangu kweli ana nia na mimi au yeye ana mambo yake mengine anayowaza na watu wengine.

Katika hatua hiyo ya ukaguzi wa simu yake nilishawahi kukuta baadhi ya sms za mapenzi, ikiwa ni namba ngeni kabisa ndio iliyoingia zinaongoza kutuma kutuma sms hizo kwenye simu yake, na nilipojaribu kumuuliza mwenzangu yeye alijaribu kujitetea kwa kusema hizo namba hazifahamu na kudai tu ni watu ambao wanataka kumuharibia mahusiano.

Pia kuna uzi ambao nishawahi kuleta hapa kuhusu kutoelewana mimi na yeye, kutokana na simu ambayo nilipokea wakati wa usiku na huyo mtu alidai kwamba anamfahamu huyu msichana kuliko hata mimi ninavyomfahamu, na pale nilipomuasha usiku kujibu madai ya huyo mtu alianza kulia usiku hadi mida ya saa tisa(9) usiku akidai ya kuwa namuonea tu, lakini yeye hamfahamu.

Baada ya hapo hivi, juzi wakati naangalia whatsapp yake nilikuta chat ambazo ameweka password, lakini nilianza kuhisi pia kuna kitu hakipo sawa.. Baada ya hapo nilimuuliza kuhusu chat hizo lakini yeye alidai ya kuwa nisiwe na wasi wasi kwani hakuna baya linaloendelea.

Na ndipo siku ya jana nilimsihi sana atowe password hizo ili niangalie vitu hivyo ambavyo anachati na wao watu.

Sasa katika kubishana nilifanikiwa kuchukua simu ile ili aniambie password za kwenye zile chat, lakini aligoma.

Hivyo niliamua kuondoka na ile simu mpaka pale ninapokaa, na yeye kunifuata baadae... Pia hapo nyumbani tulibishana kwa muda sana, lakini aligoma kutoa password.... Ndipo aliponiambia nimpe simu ili atoe Mwenyewe hizo password... Kwa kuwa nilishahisi kuna vitu ambavyo anaficha na lazima vitakuwa ni viovu, niliamua kumpa simu yake.

Baada ya kuchukua simu, hakutoa zile password, ila badala yake aliamua kufuta zile chat zote... Hivyo kwa kuwa alifanya vile kwa makusudi, nilimuamuru aondoke zake. Lakini pia aligoma kuondoka... Hivyo nilitumia nguvu kumuondoa apo nyumbani kwa kuwa nilishahisi tu mambo yanayoendelea sio mema hata kidogo.

Hivyo leo alinisihi sana tuongee yaishe... Lakini kabla ya hapo kuna maswali nilitaka kumuuliza na katika kumbana sana niligundua mmoja kati ya wale watu aliokuwa akiwasiliana nao ni bwana wake wa kwanza kama alivyodai(ex boyfriend) na hawa wengine alidai tu, ni watu ambao wanamtongoza tu lakini hawajui...

Na kwa kuwa nilishaanza kumchunguza muda sana alisema ukweli wote

Sasa mimi binafsi nilimuambia ya kuwa sina tena imani na wewe, akaanza kama kawaida kulia usiku kucha, anadai nimsamehe...

Je wakuu hapo ingekua imetokea kwa upande wako ungefanyaje?
Mmmmh mbona ningekuwa nishamuacha
 
Nafikiri tatizo kubwa ni wewe. Pengine huna experience ya ku date na pisi kali.

1. Mwanamke yoyote mrembo, anatongozwa na wanaume zaidi ya 100 kuanzia ofisini mabosi, wafanyakazi wenzake, bodaboda, vijana mtaani, wachungaji, matrafiki, ndugu zake, mashemeji nk nk. Kati ya hao kuna ambao wameshakula mzigo na wengine wanaendelea kupambana. Kudhani kwamba mwanamke kama huyo atakua anachat na wewe tu kwenye simu yake ni kujidanganya.

2. Huyu mwanamke wako anajitahidi sana kuku protect kwa kujua kabisa wewe una moyo mdogo hivyo anatumia njia mbalimbali kama passwords nk kukulinda, ila wewe unahangaika mwenyewe kutafuta matatizo, ilihali uwezo wa kumuacha huna! Ndio maana sijaona umeweka ushahidi wowote wa kwamba kuna meseji ya kimapenzi umeifuma, zaidi ya kuhisi tu kwamba hizo zilizofichwa ni za mapenzi.

3. Ushauri wangu kwako, kwa kiwango cha wivu ulicho nacho, achana kabisa na wanawake warembo, we tafuta guluguja lako ambalo halitazamiki. Nakuhakikishia litakuachia simu yake ushinde nayo na kulala nayo, na kamwe hutakuta meseji yoyote ya mapenzi.
[emoji12] Ila mwamba kuwaita wanawake wabaya guluguja binafsi sijapenda kabisa unaweza sababisha wajiweke kitanzi
 
There's a boy in my mind and he knows I'm thinkin' of him
All my way to the day and the night the stars shine above me.
He's been gone for some time but I know I truly love him.
And I'm singing a song, hoping he'll be back when he hears it.
My heart goes shalala lala, shalala in the morning.
Oh oh oh shalala lala, shalala in the sunshine.
Shalala lala, shalala lala in the evening.
Shalala lala shalala lala just for you.
If your love's gone away just like mine you feel like crying.
Sing along maybe once maybe twice, let's try it together.
Some sweet day no one knows he'll return and you'll be happy.
Shout it sweet in a song, LISTEN TO YOUR HEART IT IS SINGIN'
My heart goes shalala lala, shalala in the morning.
Oh oh oh shalala lala, shalala in the…
Wimbo wa nani huu,nimependa mashairi yake
 
Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda wa miezi 7 sasa na siku kadhaa.

Na tulipanga hapo baadae tuje tuwe na mwisho mzuri (ndoa)

Katika kipindi chote hicho ambacho tulikua pamoja tuliweza kuwa na furaha japo pia kukwazana kupo kama binadamu, lakini tulikua tunaongea yanaisha na kurudisha uelewa kati yetu.

Pia tangu nimekua nae, baada ya muda nilianza kukagua simu yake, ili kuangalia je? Kama mwenzangu kweli ana nia na mimi au yeye ana mambo yake mengine anayowaza na watu wengine.

Katika hatua hiyo ya ukaguzi wa simu yake nilishawahi kukuta baadhi ya sms za mapenzi, ikiwa ni namba ngeni kabisa ndio iliyoingia zinaongoza kutuma kutuma sms hizo kwenye simu yake, na nilipojaribu kumuuliza mwenzangu yeye alijaribu kujitetea kwa kusema hizo namba hazifahamu na kudai tu ni watu ambao wanataka kumuharibia mahusiano.

Pia kuna uzi ambao nishawahi kuleta hapa kuhusu kutoelewana mimi na yeye, kutokana na simu ambayo nilipokea wakati wa usiku na huyo mtu alidai kwamba anamfahamu huyu msichana kuliko hata mimi ninavyomfahamu, na pale nilipomuasha usiku kujibu madai ya huyo mtu alianza kulia usiku hadi mida ya saa tisa(9) usiku akidai ya kuwa namuonea tu, lakini yeye hamfahamu.

Baada ya hapo hivi, juzi wakati naangalia whatsapp yake nilikuta chat ambazo ameweka password, lakini nilianza kuhisi pia kuna kitu hakipo sawa.. Baada ya hapo nilimuuliza kuhusu chat hizo lakini yeye alidai ya kuwa nisiwe na wasi wasi kwani hakuna baya linaloendelea.

Na ndipo siku ya jana nilimsihi sana atowe password hizo ili niangalie vitu hivyo ambavyo anachati na wao watu.

Sasa katika kubishana nilifanikiwa kuchukua simu ile ili aniambie password za kwenye zile chat, lakini aligoma.

Hivyo niliamua kuondoka na ile simu mpaka pale ninapokaa, na yeye kunifuata baadae... Pia hapo nyumbani tulibishana kwa muda sana, lakini aligoma kutoa password.... Ndipo aliponiambia nimpe simu ili atoe Mwenyewe hizo password... Kwa kuwa nilishahisi kuna vitu ambavyo anaficha na lazima vitakuwa ni viovu, niliamua kumpa simu yake.

Baada ya kuchukua simu, hakutoa zile password, ila badala yake aliamua kufuta zile chat zote... Hivyo kwa kuwa alifanya vile kwa makusudi, nilimuamuru aondoke zake. Lakini pia aligoma kuondoka... Hivyo nilitumia nguvu kumuondoa apo nyumbani kwa kuwa nilishahisi tu mambo yanayoendelea sio mema hata kidogo.

Hivyo leo alinisihi sana tuongee yaishe... Lakini kabla ya hapo kuna maswali nilitaka kumuuliza na katika kumbana sana niligundua mmoja kati ya wale watu aliokuwa akiwasiliana nao ni bwana wake wa kwanza kama alivyodai(ex boyfriend) na hawa wengine alidai tu, ni watu ambao wanamtongoza tu lakini hawajui...

Na kwa kuwa nilishaanza kumchunguza muda sana alisema ukweli wote

Sasa mimi binafsi nilimuambia ya kuwa sina tena imani na wewe, akaanza kama kawaida kulia usiku kucha, anadai nimsamehe...

Je wakuu hapo ingekua imetokea kwa upande wako ungefanyaje?
Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa muda wa miezi 7 sasa na siku kadhaa.

Na tulipanga hapo baadae tuje tuwe na mwisho mzuri (ndoa)

Katika kipindi chote hicho ambacho tulikua pamoja tuliweza kuwa na furaha japo pia kukwazana kupo kama binadamu, lakini tulikua tunaongea yanaisha na kurudisha uelewa kati yetu.

Pia tangu nimekua nae, baada ya muda nilianza kukagua simu yake, ili kuangalia je? Kama mwenzangu kweli ana nia na mimi au yeye ana mambo yake mengine anayowaza na watu wengine.

Katika hatua hiyo ya ukaguzi wa simu yake nilishawahi kukuta baadhi ya sms za mapenzi, ikiwa ni namba ngeni kabisa ndio iliyoingia zinaongoza kutuma kutuma sms hizo kwenye simu yake, na nilipojaribu kumuuliza mwenzangu yeye alijaribu kujitetea kwa kusema hizo namba hazifahamu na kudai tu ni watu ambao wanataka kumuharibia mahusiano.

Pia kuna uzi ambao nishawahi kuleta hapa kuhusu kutoelewana mimi na yeye, kutokana na simu ambayo nilipokea wakati wa usiku na huyo mtu alidai kwamba anamfahamu huyu msichana kuliko hata mimi ninavyomfahamu, na pale nilipomuasha usiku kujibu madai ya huyo mtu alianza kulia usiku hadi mida ya saa tisa(9) usiku akidai ya kuwa namuonea tu, lakini yeye hamfahamu.

Baada ya hapo hivi, juzi wakati naangalia whatsapp yake nilikuta chat ambazo ameweka password, lakini nilianza kuhisi pia kuna kitu hakipo sawa.. Baada ya hapo nilimuuliza kuhusu chat hizo lakini yeye alidai ya kuwa nisiwe na wasi wasi kwani hakuna baya linaloendelea.

Na ndipo siku ya jana nilimsihi sana atowe password hizo ili niangalie vitu hivyo ambavyo anachati na wao watu.

Sasa katika kubishana nilifanikiwa kuchukua simu ile ili aniambie password za kwenye zile chat, lakini aligoma.

Hivyo niliamua kuondoka na ile simu mpaka pale ninapokaa, na yeye kunifuata baadae... Pia hapo nyumbani tulibishana kwa muda sana, lakini aligoma kutoa password.... Ndipo aliponiambia nimpe simu ili atoe Mwenyewe hizo password... Kwa kuwa nilishahisi kuna vitu ambavyo anaficha na lazima vitakuwa ni viovu, niliamua kumpa simu yake.

Baada ya kuchukua simu, hakutoa zile password, ila badala yake aliamua kufuta zile chat zote... Hivyo kwa kuwa alifanya vile kwa makusudi, nilimuamuru aondoke zake. Lakini pia aligoma kuondoka... Hivyo nilitumia nguvu kumuondoa apo nyumbani kwa kuwa nilishahisi tu mambo yanayoendelea sio mema hata kidogo.

Hivyo leo alinisihi sana tuongee yaishe... Lakini kabla ya hapo kuna maswali nilitaka kumuuliza na katika kumbana sana niligundua mmoja kati ya wale watu aliokuwa akiwasiliana nao ni bwana wake wa kwanza kama alivyodai(ex boyfriend) na hawa wengine alidai tu, ni watu ambao wanamtongoza tu lakini hawajui...

Na kwa kuwa nilishaanza kumchunguza muda sana alisema ukweli wote

Sasa mimi binafsi nilimuambia ya kuwa sina tena imani na wewe, akaanza kama kawaida kulia usiku kucha, anadai nimsamehe...

Je wakuu hapo ingekua imetokea kwa upande wako ungefanyaje?
Hivi wanaume wapuuzi hivi wataisha lini?

Unahangaika Nini kumchunguza MTU usiyemuamini?

Utagongewa mpaka ukome
 
KUACHA kukagua sms ya demu wako ni dalili ya kwamba moyo wako Haina stamina.mi Kuna mmoja tulikuw room tunapiga story nikaamua kuchukua simu yake kuchek nakuta Kuna jamaa huwa anachart nae kimahaba kweli kweli.nikamuuliza huyu n nan akaanza kujiliza Liza

baada ya hapo nikamsogelea kimahaba nikamjibu nimemsamehe usirudie Tena nakupenda ,akajibu nakupenda pia na Asante kwa kunisamehe nikajibu poa tuinjoy.

nikaanza kumshika shika akalegea,nilimpelekea Moto hajawai ona mpaka akauliza leo imekuaje mbona hii haijawah tokea,sikumjibu niliendelea kupeleka Moto speed.baada ya kumwaga uku mkuyenge ukiwa ndan ya mbusus nikamjibu mi na ww kuanzia Leo bas we sio mwaminifu.nilivaa nikasepa zangu.

ikawa mwisho wa mahusiano yetu.ila alilia Sana nikaja pewa taatifa kakimbizwa hospital Wala sikuhangaika nae.hadi Leo anantumia sms ila mi kwangu nishamtoa moyon kitambo.
 
Ifike mahali sisi binadamu wa leo tukue. I think we need maturity katika maisha ya mahusiano. Siku hizi matatizo ni mengi yasiyo na kichwa wala miguu na ni kwa sababu hatutaki kukua.

I think unapokutana na mtu embu tusichunguzane past tuiandike future pamoja. Kila mtu ana flaws hakuna mkamilifu.

Kama kweli unampenda mtu then things will fall into place lakini ndo kuangalia simu za mwenza wako huanzisha a stupid past. #rudikalalejuan#

Mtu bado anaendelea kugegedwa wewe unasema Past? wanawake bana muna shida kweli
 
Back
Top Bottom