Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Wanaosex na kukaa bila genye kwa wiki nzima wana raha sana

Mie hata niikeshee lazima kila siku alfajiri niamke na genye
Naomba hii mesej yko nitascreenshot nimtumie aone nayeye huenda ikamsaidia na kumbadilish saikolojia
 
Kwa maelezo yke tatzo ni mimi ila kwanini anasema anafika kileln lkn ham haiishi? Ila mm nahis tatzo niyeye mm jukum lang ni kumfikisha huko kilelen
We jamaa umenichekesha[emoji3][emoji3][emoji23]umemfikisha kileleni ya wapi na analalamika hadi hataki tena kaka, na usipokua makin atajaribu kwengine.
 
Wewe jamaa tumia vumbi utakuja kunishukulu.
Vumbi nishatumia san kk, napigaga show had anasema basi inatosha.. tatzo anasem badae ten hamu iko pale pale km vile hajafanya mapenz wakat wenzie hamu zinakat kabisa hata wiki
 
Huyo ni kwamba hatosheki, sasa no either humfikishi, au unamfikisha ila hatosheki labda anataka afunge magori 3 na wewe umemruhusu amefunga moja au mawili Kisha umemuacha solemba. Suluhisho hakikisha ndani ya wiki Kuna siku Moja au mbili unampa Mambo kisawasawa na unamkamia Hadi sio aseme basi ila Hadi uone mwili na via vyake vya uzazi viseme basi. Na demu ukimzoea au ukiwa na uzoefu nao akifika kileleni na kuridhika utajua tu kwa ishara mbalimbali za mwili wake na sio Hadi aseme nimetosheka. Mda mwingine anasema kwa kua anakuonea huruma au hataki kukuumiza kihisia. Kama huna pumzi tafuta hata mkongo upake ili upige kaz Kaz.
 
Kawaida na wapo wengi tu hivyo, wala usihisi kwamba hufikishi anafika powa tu na anataka tena na tena
 
Kwa staili hiyo inakubidi umtombe kila siku.shida unamfikisha Ila inabidi iwe kila siku ndio utamuweza
 
Nymphomaniac ~ a woman with uncontrollable or excessive sexual desire.

If she is, utakerembesha hadi kwenye masikio lakini wapi[emoji28][emoji28]?
Duh sasa hkna soltn ya wao kutosheka?
 
SAsa mkuu umefanya yote hayo alafu unataka kumuacha kisa anataka mgegedo kila leo...gangamala mwananiwane uwe unampiga viwili vitatu kila leo
Sijataka kumuacha nimepata fedheha fulan ktk nafsi yangu why 3yrs hajasem anasema sasahv
 
We jamaa umenichekesha[emoji3][emoji3][emoji23]umemfikisha kileleni ya wapi na analalamika hadi hataki tena kaka, na usipokua makin atajaribu kwengine.
She said anafika kilelen na huwa naonaga kabsa kafika maybe labd huwa anapretend
 
Duh sasa hkna soltn ya wao kutosheka?
Hiyo ni mental issue hadi psychiatrist ndo wanaweza kuwasaidia, ila sijasema huyo wako nae ni Nymphomaniac! sina uhakika apo niliongea tu usininukuu vibaya[emoji119]
 
She said anafika kilelen na huwa naonaga kabsa kafika maybe labd huwa anapretend
Sawa mkali, ila mara nyingi hawaendi direct, ila chakufanya usiruhusu hofu, utamuogopa na unaweza shindwa kabisa,

mapenzi sio vita, muandae vizuri kabla bila papara, kisha akae mikao atakayo control gem yeye, ili ajue namna gan anataka ajitwalie, japo hao watu wa salun hao, umbea na maneno ya mashoga vinaweza leta matatzo penzin, simama imara mkuu.
 
Mvutie home ukae naye ili umalize kiu yake la sivyo unasubiria kusaidiwa na soon atachukua uamuzi huo akiona humsikilizi
 
Ndio maana huwa tunawadanganya.
 
Wanawake kama hao wapo mkuu sema dawa yao ni kumsugua kisawasawa mpaka aombe poo niliwai kumpata kama uyo anapenda sana mambo yetu ila nilikuwa naishi nae kama wiki 2 mbili pika pakua huwez amini nilikuwa namkaza sana mpka alikuwa ananikimbia kitandani so hapo jipange kisawasawa ikiwezekana fanya mpango mkae wote at least ata wiki 2 tu ni mwendo wa kumsugua mwanzo mwisho alafu utakuja kuleta mrejesho hapa
 
Kibamia
 
Kitaalamu hiyo tunaiita HAUPIGI PAIPU INAVYOTAKIWA.
Wakati wa mtanange Utakuwa unamuonea huruma akiwa analia na unaona yeye kulia haitakiwi, yani unaona kama unamuumiza hivi [emoji1]

Hawa wenzetu ili wakuheshimu mpaka Mwisho ni inatakiwa kila ukikutana na hiyo kitu ni Unaipiga kama ndio Mara ya kwanza.
 
Jibu ni moja tu HUMFIKISHII au unapiga Kimoja Chalii...!! Yani mwanamke ugonge vizuri leo inabi akae siku 3 at least ndo nyege zirudi na hapo sio.kwamba ana zile nyege za kutaka dudu yani mpaka mwanamme amgusegusee..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…