Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Duh nmetoka kapa hapa
 
Bora nijipange kk, kuchapiwa noma
 
Inabidi ujitahidi ndugu yangu,fanya sana hadi aseme umempatia
 
Mkongo unaongeza pumzi?
 
Wanaosex na kukaa bila genye kwa wiki nzima wana raha sana

Mie hata niikeshee lazima kila siku alfajiri niamke na genye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwambie aache ujinga.....


Shida iko hapo mkuu


Kama vipi mwambie niunganishe na hao rafiki zako uone kama atarudia huu ujinga.
 
Hahahaaa? Ulikamia mechi jamaa yangu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…