Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.

Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.

Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.

Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.

Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.

Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula mbuzi mzima wakuu...🙄

Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳

We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.

Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁

Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.

Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
 
Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee....
Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.
Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then albaki tunamfunga tunaendanae geto.
Yaani Mwa J ni komakoma shenz type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikua nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka nayenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo......
Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilupili.
Sasa huyu nikisema nioe sindio atakua anakula kuku mzima wakuu...🙄
Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳
We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12..
Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁
Kwanza anamakucha marefuuuu sijui hua anafuaje kuo zake za muhimu maana nguo zingine najua hua anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka....

Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
kiufupi mwa j ni fukwe
 
Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee....
Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.
Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then albaki tunamfunga tunaendanae geto.
Yaani Mwa J ni komakoma shenz type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikua nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka nayenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo......
Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilupili.
Sasa huyu nikisema nioe sindio atakua anakula kuku mzima wakuu...🙄
Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳
We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12..
Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁
Kwanza anamakucha marefuuuu sijui hua anafuaje kuo zake za muhimu maana nguo zingine najua hua anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka....

Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
Ukiwa nae kunako 6x6x mail huwa unamgonga vingapi? Inaonekana ana ubavu sana.
 
Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.

Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.

Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.

Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.

Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.

Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula kuku mzima wakuu...🙄

Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳

We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.

Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁

Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.

Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
Mpe dawa ya minyoo mzee mwenzangu.
 
Back
Top Bottom