Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 akafanyie myaji aoneRoho mbaya ijaenga mkuu..🤣
Shemeji atamfilisi braza 😁😁Siyo aongeze juhudi ya kusaka ndururu?Ushauri wa kisaikolojia haumalizi njaa kali ya shemeji Mwa J ujue?
Wacha wazee tufanye ku-flashback.Wazee wa jf nao wameona wasibaki nyuma, Nisione mtu anawaponda watoto wa elfu 2 akili wamerithi kwa wazazi wao...!🤸
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wazee wa jf nao wameona wasibaki nyuma, Nisione mtu anawaponda watoto wa elfu 2 akili wamerithi kwa wazazi wao...!🤸
Inasemekana juzi kaweka pawn sub-woofer yake ili kufidia gap!Atafariki hadi afe mwaka huu.Na ndiyo tumemaliza nusu tu kwanza.Shemeji atamfilisi braza 😁😁
Umemtoa Mkoa gani?Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.
Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.
Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.
Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.
Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.
Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula kuku mzima wakuu...🙄
Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳
We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.
Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁
Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.
Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
Wahuni mnazeeka😂Wacha wazee tufanye ku-flashback.
Swali la uchonganishi hili.🤣🤣🤣🤣🤣Umemtoa Mkoa gani?
Hehehe, wacha tuzeeke na uhuni wetu. Hakuna raha kama kuzeeka na akili za ujana. Nasema tuacheni jamani🤪Wahuni mnazeeka😂
Kuna mzee mmoja, aliandaa kachumbari, kisha akaelekea ibadani, alivyoludi akakuta kachumbari yake imeliwa. aiseeee.. Mpaka leo miaka 40 sasa imetimia hajulikani alipo.Naona amejizuia kwa muda ili afe kiume lakini waaapiii!Anahofia kufa ghafla halafu walimwengu wasingizie alikuwa na kisukari ambacho kilianzia kwenye visigino.
Kumbe na wewe unatukanaga😂Mimbwa kitambo man, ukibisha muulize huyo dem wako mnae bebishana hapa wakati tuliosha msuuza tunawachora tu kmmke zako...😜
Sina historia ya kutukana mkuu, tena hata najiona kama leo nimejikosea sana lakini kama binadam nimejikuta nashindwa kuvumilia mjinga mmoja amekua akinijaribu kisa tu wivu mazee....Kumbe na wewe unatukanaga😂
Umeiwasilisha kitaalamu sana mh mjumbeTumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.
Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.
Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.
Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.
Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.
Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula kuku mzima wakuu...[emoji849]
Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...[emoji15]
We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...[emoji848]
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.
Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...[emoji853]
Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.
Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..[emoji3525]