Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.

Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.

Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.

Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.

Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.

Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula kuku mzima wakuu...🙄

Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳

We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.

Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁

Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.

Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
Huyo ni jini achana naye
 
Hongera kwa kujipata mkuu, haya tafuta mke uoe ili vistress vidogovidogo uwe unammalizia ukirudi home. Huku tunafurahi na kuchangamshana tu.

Ninae binti, ila wewe kwa stress zako siwezi kukupa, nunua wa mitandaoni.
Kijana je unaye unipe nakuhaidi nitakua mkwe mwema🤸
 
Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.

Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.

Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.

Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.

Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.

Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula kuku mzima wakuu...🙄

Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳

We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.

Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁

Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.

Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
Kama anakula sana, nawewe MLE SANA
 
Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.

Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.

Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.

Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.

Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.

Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula kuku mzima wakuu...🙄

Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳

We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.

Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁

Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.

Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
 

Attachments

  • 2B9X.gif
    2B9X.gif
    963.4 KB · Views: 1
Bila picha ya Mwa J akiwa anakula mguu wa mbuzi futa uzi...

Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.

Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.

Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.

Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.

Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.

Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula kuku mzima wakuu...🙄

Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳

We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.

Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁

Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.

Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
 
Back
Top Bottom