Mpenzi wangu ananieleza mambo ninayowasiliana na mchepuko

Mpenzi wangu ananieleza mambo ninayowasiliana na mchepuko

Ipo application moja ya kulipa ndo kaitumia iyo inauwezo mkubwa sana wa kuchaji am zako zote na call zako zote.ila kuna namna ya kugungua kama simu yako imehakiwa ingia Google andika jinsi ya kujua na kujitoa kwa aliyehaki simu yako utapata maelezo

Shusha nondo mkuu
 
iPhone haiwezi kuwa hacked. Nasema hivyo kwa sababu Pegasus ambayo ndio civilian tool pekee ya kuhack iPhone inauzwa kwa state institutions na kuanzia dola laki ngapi uko. Face ID ya iPhone iko strong sasa hapo sijui imekuwaje ila naamini chanzo cha kuvuja hizo taarifa sio hiyo simu yako
 
Mkuu shemela ana pata SMS na Calls au ni messages za WhatsApp tu au vyote ? Ukinipa jibu nitajua kafanya nini na nitakupa na njia ya kujikwamua
Call na sms unatumia njia ipi nina kesi inayofanana na hiyo
 
Wakuu salama? Leo naona hali ya hewa kama imechafuka ghafla baada ya huyu dada kunambia habari za pisi yangu aka mchepuko.

Leo tulikua wote akaniuliza kwa utani “sarah” ni nan kwako nikamwambia simjui nilishtuka kidgo akanionesha na picha zake alizopost jana status akanambia sindo hyu ? Nikaangalia nikamwambia simjui.

Raha ya mwanamke akiwa na kitu ili akitoe unatakiwa ujibu shit ili apte hasira sasa hapo ndo akaanza funguka kwanza mtu mwenyew unambadilisha badilisha majina mara sarah, mara umsave ya kiume unaficha nini? Na kilichonishtua jana nimechange jina nikaandika “mbeba taka” akanambia sahivi umemsave mbeba taka hapa ndo nikahisi huyu bibie kanihack kajuaje? Na simu yangu ina password na face ID juu na kwa sasa niko nae anaweek 2 hapa kwangu.

Chats nazochat nae mpaka majina ya utani nayomwita mchepuko wangu ananambia yote nayomwita na tulikua na ratiba ya kwenda Zanzibar kanambia yote sasa najiuliza kajuaje hapa ndo sielewi na yeye kasema atadeel na huyu mchepuko papendicular hii vita siwez ingilia mimi ila nimekataa katukatu kwamba sijui anavyoongea.

Ndugu wanaume nisaidieni dada anapataje taarifa na sim yangu hashiki kabisa. Nimejiuliza sana au anavizia nikilala anascan face ID? Lakin face ID ukifumba macho haisense natumia iphone.

Haya yote yameanza baada ya kuja kwangu toka chuo kifungue na alisema kama namwanamke mwingine atajuaa tu hizi kauli zake ndo nmezikumbuka leo[emoji28][emoji119][emoji119]. Sijui dada anatumia mbinu gani nisaidiein. Huu mchepuko unanipa mapenzi motomoto nyie[emoji119]

Hahahah, huyo dada atakua ka scan as whtasapp web. simu ako kwa sababu now iphone ina whatsapp beta ambayo uki scan kwa laptop au kwa simu kupitia whatsapp web, hata kama simu ako itakua imezima account yako itakua bado ipo active kwake.
Fanya ya fatayo fungua whatsapp > setting >linkied device kama utakuta ipo linked logout mchezo umeisha!
 
hujui unataka nini ww

ndani unampenzi tena mbichi, katoka chuo hata wiki 2 hajamaliza

hapo hapo una mcheps ambaye umepanga kwenda nae zenji

huwez kumiliki wapenzi wawil kwa wakati mmoja wewe, ndo mana unadakwa..

huyo demu wala hajahack cm yako, pass wd anaijua na huwa anaingia kusoma kila kitu

kuna wakali wa hizi mambo..
endelea kujifunza bablay
 
hujui unataka nini ww

ndani unampenzi tena mbichi, katoka chuo hata wiki 2 hajamaliza

hapo hapo una mcheps ambaye umepanga kwenda nae zenji

huwez kumiliki wapenzi wawil kwa wakati mmoja wewe, ndo mana unadakwa..

huyo demu wala hajahack cm yako, pass wd anaijua na huwa anaingia kusoma kila kitu

kuna wakali wa hizi mambo..
endelea kujifunza bablay

Nahisi hvo coz passcode nimeweka digit 4 badala ya 6 nahis anaijua akafanya mambo yake[emoji28]
 
Back
Top Bottom