Mpenzi wangu ananieleza mambo ninayowasiliana na mchepuko

Mpenzi wangu ananieleza mambo ninayowasiliana na mchepuko

Anajua password yako.Ameipataje? usiulize! Badirisha haraka iwezekanavyo.

Alikua anaijua aseee wanawake sio watu wazuri[emoji28][emoji28]. Nikilala yeye ndo muda wa kushika simu na kukagua uzuri mimi huwa nafuta chats alikuta chats za kawaida sana ambazo nimeruka futi 100 [emoji3]. Angekuta chats za kulana sijui ingekuaje
 
Mkuu tusipangiane maisha bhana na tusitishane, kila na mtu na life lake.
Sijakupangia maisha nimekushauri tu! Uzinzi siyo deal! Ukiyapata yakukupata usilete uzi wa kulialia Kama hivi unavyolialia juu ya demu wako
 
Kila mtu ana interest zake katika maisha! Kama kwako ngono siyo kipaumbele, kwetu ni chanzo cha furaha " KUZITAFUNA"

Happiness is the basic motive in and end of everything we do: we are made for happiness; we are made to be happy, but not all make the same choices for happiness.

Look for the reasons to be happy. Sisi tuache tuzitafune hizo Mbususu.
Hahahahaha......! Wewe "interest" zako ni ngono!!!! Ngono zinakupa furaha!!!! Kweli????? Binafsi sidhani kama ngono ni interest za mtu!! Nadhani ni interest za shetani! Ni shetani ndiye anatamani sana kuona watu wanazini au wanavunja amri za Mungu! Wewe huna interest zozote ni mtumwa wa shetani tu!!! Ingekuwa ngono zinakupa furaha usingelialia hapa! Usijidanganye! Tafuta chanzo kingine cha furaha lakini siyo ngono! Pole.
 
Unazitafuna, ZINAKUTAFUNA?? Unaweza kufikiri ni ujanja lakini siyo ujanja kuna siku utanielewa! Binafsi sielewi ni kwa nini uwezo wetu wa kufikiri umekuwa mdogo Sana! Jambo kubwa pekee tunallwaza ni ngono tu! Wakati wenzetu wanawaza kugundua mambo makubwa ya kisayansi na teknolojia tunawaza O tu!! Mungu atusaidie sana!

Elisha umesha oa kaka?
 
Unazitafuna, ZINAKUTAFUNA?? Unaweza kufikiri ni ujanja lakini siyo ujanja kuna siku utanielewa! Binafsi sielewi ni kwa nini uwezo wetu wa kufikiri umekuwa mdogo Sana! Jambo kubwa pekee tunallwaza ni ngono tu! Wakati wenzetu wanawaza kugundua mambo makubwa ya kisayansi na teknolojia tunawaza O tu!! Mungu atusaidie sana!

Wagunduzi wengi hata hawakuwa wameoa...

Fanya research,,, kuwa na mke mmoja sio guarantee kuwa utafanya maendeleo... Japo inaeza changia ila sio lazima...

Mara nyingi waliofanya vitu vikubwa duniani walikuwa hawajaoa..
 
Hahahahaha......! Wewe "interest" zako ni ngono!!!! Ngono zinakupa furaha!!!! Kweli????? Binafsi sidhani kama ngono ni interest za mtu!! Nadhani ni interest za shetani! Ni shetani ndiye anatamani sana kuona watu wanazini au wanavunja amri za Mungu! Wewe huna interest zozote ni mtumwa wa shetani tu!!! Ingekuwa ngono zinakupa furaha usingelialia hapa! Usijidanganye! Tafuta chanzo kingine cha furaha lakini siyo ngono! Pole.
We jamaa bana, au bwabwa mwenzetu? au jongoo hapandi mtungi?
 
Wakuu salama? Leo naona hali ya hewa kama imechafuka ghafla baada ya huyu dada kunambia habari za pisi yangu aka mchepuko.

Leo tulikua wote akaniuliza kwa utani “sarah” ni nan kwako nikamwambia simjui nilishtuka kidgo akanionesha na picha zake alizopost jana status akanambia sindo hyu ? Nikaangalia nikamwambia simjui.

Raha ya mwanamke akiwa na kitu ili akitoe unatakiwa ujibu shit ili apte hasira sasa hapo ndo akaanza funguka kwanza mtu mwenyew unambadilisha badilisha majina mara sarah, mara umsave ya kiume unaficha nini? Na kilichonishtua jana nimechange jina nikaandika “mbeba taka” akanambia sahivi umemsave mbeba taka hapa ndo nikahisi huyu bibie kanihack kajuaje? Na simu yangu ina password na face ID juu na kwa sasa niko nae anaweek 2 hapa kwangu.

Chats nazochat nae mpaka majina ya utani nayomwita mchepuko wangu ananambia yote nayomwita na tulikua na ratiba ya kwenda Zanzibar kanambia yote sasa najiuliza kajuaje hapa ndo sielewi na yeye kasema atadeel na huyu mchepuko papendicular hii vita siwez ingilia mimi ila nimekataa katukatu kwamba sijui anavyoongea.

Ndugu wanaume nisaidieni dada anapataje taarifa na sim yangu hashiki kabisa. Nimejiuliza sana au anavizia nikilala anascan face ID? Lakin face ID ukifumba macho haisense natumia iphone.

Haya yote yameanza baada ya kuja kwangu toka chuo kifungue na alisema kama namwanamke mwingine atajuaa tu hizi kauli zake ndo nmezikumbuka leo[emoji28][emoji119][emoji119]. Sijui dada anatumia mbinu gani nisaidiein. Huu mchepuko unanipa mapenzi motomoto nyie[emoji119]
Delete account zote afu weka upya. Ukiweza format simu kabisa. Huyo amehack simu yako. Ili ujue kuwa kahack utakuta hata time na simu yako na yuko happy [emoji4] tu. Jua kuwa hauko safe.


Format simu anza namoja. Inabiidi uwe na special store ambayo utaweka huko hata ukifirmat simu havipotei [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
We jamaa bana, au bwabwa mwenzetu? au jongoo hapandi mtungi?
Kuna uwezekano mkubwa sana uwezo wa kufikiri ni mdogo mno kuchangia mada ndani ya JF (Home of great thinkers) au hujaelewa ninachozungumzia! Jogoo kupanda mtungi haimaanishi urukie kila mtu! Uanamume ni kuwa na uwezo wa kuji"control" pia! Mwanaume halisi si dhaifu kiasi cha kuparamia kila mwanamke! Kuna wengine kama wewe wanaojiita marijali wamedakwa na Malaya mitaani kiasi cha kushindwa hata kuhudumia watoto kitu ambacho si sahihi hata kidogo!
 
Back
Top Bottom