Mpenzi wangu ananieleza mambo ninayowasiliana na mchepuko

Mpenzi wangu ananieleza mambo ninayowasiliana na mchepuko

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji8]View attachment 2043691
πŸšΆπŸšΆπŸšΆπŸšΆπŸšΆπŸšΆπŸšΆπŸšΆπŸšΆπŸšΆπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Umesema unatumia iPhone? Itakua anatuma Pegasus ya waIsrael huyo, unaijua Pegasus mkuu?!

N'way hakuna simu isiyodukulika siku hizi hata hizo iPhone ni vulnerable sana siku hizi..

..Usiombe kukutwa na bwana Pepsi.
Pegasus hawafanyi kazi na watu binafsi. Huduma zao ni so expensive. Unless huyo dada kama ana mpunga other wise katumia nyingine au kapenyezewa umbea
 
Pegasus hawafanyi kazi na watu binafsi. Huduma zao ni so expensive. Unless huyo dada kama ana mpunga other wise katumia nyingine au kapenyezewa umbea
I know mkuu Pegasus ni kwa ajili ya issues maalumu! Nilikua nasindikiza comments tu huyo dada atakua amefanya njia nyingine hizi za kawaida kupata mawasiliano ya misela.
 
Wakuu salama? Leo naona hali ya hewa kama imechafuka ghafla baada ya huyu dada kunambia habari za pisi yangu aka mchepuko.

Leo tulikua wote akaniuliza kwa utani β€œsarah” ni nan kwako nikamwambia simjui nilishtuka kidgo akanionesha na picha zake alizopost jana status akanambia sindo hyu ? Nikaangalia nikamwambia simjui.

Raha ya mwanamke akiwa na kitu ili akitoe unatakiwa ujibu shit ili apte hasira sasa hapo ndo akaanza funguka kwanza mtu mwenyew unambadilisha badilisha majina mara sarah, mara umsave ya kiume unaficha nini? Na kilichonishtua jana nimechange jina nikaandika β€œmbeba taka” akanambia sahivi umemsave mbeba taka hapa ndo nikahisi huyu bibie kanihack kajuaje? Na simu yangu ina password na face ID juu na kwa sasa niko nae anaweek 2 hapa kwangu.

Chats nazochat nae mpaka majina ya utani nayomwita mchepuko wangu ananambia yote nayomwita na tulikua na ratiba ya kwenda Zanzibar kanambia yote sasa najiuliza kajuaje hapa ndo sielewi na yeye kasema atadeel na huyu mchepuko papendicular hii vita siwez ingilia mimi ila nimekataa katukatu kwamba sijui anavyoongea.

Ndugu wanaume nisaidieni dada anapataje taarifa na sim yangu hashiki kabisa. Nimejiuliza sana au anavizia nikilala anascan face ID? Lakin face ID ukifumba macho haisense natumia iphone.

Haya yote yameanza baada ya kuja kwangu toka chuo kifungue na alisema kama namwanamke mwingine atajuaa tu hizi kauli zake ndo nmezikumbuka leo[emoji28][emoji119][emoji119]. Sijui dada anatumia mbinu gani nisaidiein. Huu mchepuko unanipa mapenzi motomoto nyie[emoji119]
Acha zinaa! Tafuta mmoja oa tulia kwake huyo tu mpaka kifo kiwatenganishe! Muombe Mungu akusaidie uishi maisha yanayompendeza! Hautajutia!! Maisha ndani ya Kristo ya amani, raha, furaha na mafanikio! Acha zinaa!
 
Acha zinaa! Tafuta mmoja oa tulia kwake huyo tu mpaka kifo kiwatenganishe! Muombe Mungu akusaidie uishi maisha yanayompendeza! Hautajutia!! Maisha ndani ya Kristo ya amani, raha, furaha na mafanikio! Acha zinaa!

Mkuu nikioa sawa ila sahv acha niendelee kuzitafuna tu
 
Mkuu nikioa sawa ila sahv acha niendelee kuzitafuna tu
Unazitafuna, ZINAKUTAFUNA?? Unaweza kufikiri ni ujanja lakini siyo ujanja kuna siku utanielewa! Binafsi sielewi ni kwa nini uwezo wetu wa kufikiri umekuwa mdogo Sana! Jambo kubwa pekee tunallwaza ni ngono tu! Wakati wenzetu wanawaza kugundua mambo makubwa ya kisayansi na teknolojia tunawaza O tu!! Mungu atusaidie sana!
 
Unazitafuna, ZINAKUTAFUNA?? Unaweza kufikiri ni ujanja lakini siyo ujanja kuna siku utanielewa! Binafsi sielewi ni kwa nini uwezo wetu wa kufikiri umekuwa mdogo Sana! Jambo kubwa pekee tunallwaza ni ngono tu! Wakati wenzetu wanawaza kugundua mambo makubwa ya kisayansi na teknolojia tunawaza O tu!! Mungu atusaidie sana!

Mkuu tusipangiane maisha bhana na tusitishane, kila na mtu na life lake.
 
Unazitafuna, ZINAKUTAFUNA?? Unaweza kufikiri ni ujanja lakini siyo ujanja kuna siku utanielewa! Binafsi sielewi ni kwa nini uwezo wetu wa kufikiri umekuwa mdogo Sana! Jambo kubwa pekee tunallwaza ni ngono tu! Wakati wenzetu wanawaza kugundua mambo makubwa ya kisayansi na teknolojia tunawaza O tu!! Mungu atusaidie sana!
Kila mtu ana interest zake katika maisha! Kama kwako ngono siyo kipaumbele, kwetu ni chanzo cha furaha " KUZITAFUNA"

Happiness is the basic motive in and end of everything we do: we are made for happiness; we are made to be happy, but not all make the same choices for happiness.

Look for the reasons to be happy. Sisi tuache tuzitafune hizo Mbususu.
 
Kila mtu ana interest zake katika maisha! Kama kwako ngono siyo kipaumbele, kwetu ni chanzo cha furaha " KUZITAFUNA"

Happiness is the basic motive in and end of everything we do: we are made for happiness; we are made to be happy, but not all make the same choices for happiness.

Look for the reasons to be happy. Sisi tuache tuzitafune hizo Mbususu.

Jibu limetosha mkuu acha niongeze volume
 
Yaani hakuna mtu anaweza compromise security ya iPhone. Ukiona kuna taarifa zako zimevuja ujue sio kupitia hiyo simu, hapo tubaki na possibilities nyingine kama kujulikana kwa password. It's better niamini hii ni chai kuliko kuamini iPhone imesababisha
Mkuu una uhakika??? Sema wewe huwezi
 
Wakuu salama? Leo naona hali ya hewa kama imechafuka ghafla baada ya huyu dada kunambia habari za pisi yangu aka mchepuko.

Leo tulikua wote akaniuliza kwa utani β€œsarah” ni nan kwako nikamwambia simjui nilishtuka kidgo akanionesha na picha zake alizopost jana status akanambia sindo hyu ? Nikaangalia nikamwambia simjui.

Raha ya mwanamke akiwa na kitu ili akitoe unatakiwa ujibu shit ili apte hasira sasa hapo ndo akaanza funguka kwanza mtu mwenyew unambadilisha badilisha majina mara sarah, mara umsave ya kiume unaficha nini? Na kilichonishtua jana nimechange jina nikaandika β€œmbeba taka” akanambia sahivi umemsave mbeba taka hapa ndo nikahisi huyu bibie kanihack kajuaje? Na simu yangu ina password na face ID juu na kwa sasa niko nae anaweek 2 hapa kwangu.

Chats nazochat nae mpaka majina ya utani nayomwita mchepuko wangu ananambia yote nayomwita na tulikua na ratiba ya kwenda Zanzibar kanambia yote sasa najiuliza kajuaje hapa ndo sielewi na yeye kasema atadeel na huyu mchepuko papendicular hii vita siwez ingilia mimi ila nimekataa katukatu kwamba sijui anavyoongea.

Ndugu wanaume nisaidieni dada anapataje taarifa na sim yangu hashiki kabisa. Nimejiuliza sana au anavizia nikilala anascan face ID? Lakin face ID ukifumba macho haisense natumia iphone.

Haya yote yameanza baada ya kuja kwangu toka chuo kifungue na alisema kama namwanamke mwingine atajuaa tu hizi kauli zake ndo nmezikumbuka leo[emoji28][emoji119][emoji119]. Sijui dada anatumia mbinu gani nisaidiein. Huu mchepuko unanipa mapenzi motomoto nyie[emoji119]
Anajua password yako.Ameipataje? usiulize! Badirisha haraka iwezekanavyo.
 
Mkuu una uhakika??? Sema wewe huwezi
Achana na story za vijiweni. Hakuna mbongo anaweza compromise security ya iPhone hata apewe milioni 100.

NSO Group ya Israel ili ikupe Pegasus spyware inatoza $ 650k (1.5 bilioni zetu) kwa simu kumi za iPhone, $ 500k (1.1 bilioni) kwa installation ya hiyo system na pia annual maintenance fee ya 17% ya gharama za awali. Wanunuzi wa hizo system ni Abu Dhabi, Dubai, Saudi Arabia na nchi nyingine duniani.

Hao wabongo wako wanaosema wanaweza compromise iPhone wanaota mchana maana kama UAE yenye teknolojia kubwa imeshindwa, sembuse Tanganyika isiyo na vyoo mashuleni. Kuna annual hacking contest kibao kwa nini wasiende wakashinda mamia ya mamilioni wakaachana na hizi porojo
 
Achana na story za vijiweni. Hakuna mbongo anaweza compromise security ya iPhone hata apewe milioni 100.

NSO Group ya Israel ili ikupe Pegasus spyware inatoza $ 650k (1.5 bilioni zetu) kwa simu kumi za iPhone, $ 500k (1.1 bilioni) kwa installation ya hiyo system na pia annual maintenance fee ya 17% ya gharama za awali. Wanunuzi wa hizo system ni Abu Dhabi, Dubai, Saudi Arabia na nchi nyingine duniani.

Hao wabongo wako wanaosema wanaweza compromise iPhone wanaota mchana maana kama UAE yenye teknolojia kubwa imeshindwa, sembuse Tanganyika isiyo na vyoo mashuleni. Kuna annual hacking contest kibao kwa nini wasiende wakashinda mamia ya mamilioni wakaachana na hizi porojo
Unamaanisha nini unaposema ku compromise security???
 
Unamaanisha nini unaposema ku compromise security???
Nalenga kumaanisha kwamba hakuna atakayefanya kitu ambacho sio utaratibu wa iPhone. Yani wanakwambia ili usome iCloud lazima uweke password, wewe useme sio bali nitatumia app ya kompyuta. Au wakwambie ili usome SMS kwenye built in app yao lazima ujue password wewe useme sio bali utafanya hacking. Utalala na simu umeiangalia
 
Back
Top Bottom