Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya leo msev fund gereji muddy 😂😂😂Bibie uyo mzoa taka mbna anapiga sana simu?? Mimi najibu aah we achana nae ananidai afu sina hela[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119]
Umerudi ndugu yangu?Kwani nani aliwatuma MUOE?
Nyie viumbe mmekua wabishi..!!!
#YNWA
HahahahahaWe kaka wee!sio wewe ulikuja na waraka wa amani kwamba unaacha kutumia jf?
Rejea koment yangu nilisema hautoboi utarudi hata kwa Id fake
iPhone haiwezi kuwa hacked. Nasema hivyo kwa sababu Pegasus ambayo ndio civilian tool pekee ya kuhack iPhone inauzwa kwa state institutions na kuanzia dola laki ngapi uko. Face ID ya iPhone iko strong sasa hapo sijui imekuwaje ila naamini chanzo cha kuvuja hizo taarifa sio hiyo simu yako
Vipi kwenye linked devices ile tick ya kibox itakuwa active?Hahahah, huyo dada atakua ka scan as whtasapp web. simu ako kwa sababu now iphone ina whatsapp beta ambayo uki scan kwa laptop au kwa simu kupitia whatsapp web, hata kama simu ako itakua imezima account yako itakua bado ipo active kwake.
Fanya ya fatayo fungua whatsapp > setting >linkied device kama utakuta ipo linked logout mchezo umeisha!
Kugongewa kawaidadaah mze mkubwaa mbona wakilocal hv, demu wako anaewashkaji tu wanakula Kama kawa. 😁
Yaani hakuna mtu anaweza compromise security ya iPhone. Ukiona kuna taarifa zako zimevuja ujue sio kupitia hiyo simu, hapo tubaki na possibilities nyingine kama kujulikana kwa password. It's better niamini hii ni chai kuliko kuamini iPhone imesababishaFace Id yake kweli ni very strong
Niliweka nikiwa mwembamba nimenenepa kidogo tu imegoma mpaka nikachange
Nimerudi kutoka porini ndani ndani hukooo...!!!Umerudi ndugu yangu?
Kuokoa wanaume dhidi la janga liitwalo NDOA.Mkuu kilichokurudisha jf ???[emoji15][emoji15][emoji15]
Anyway karibu tena jf.
Mwamba nakubali pole pole legacy au sioKuokoa wanaume dhidi la janga liitwalo NDOA.
#YNWA
Karibu nduguNimerudi kutoka porini ndani ndani hukooo...!!!
#YNWA
Sasa kama unahitaji mpenz mkuu mbona Bado unatamani wengine, it's hard to understand men[emoji119][emoji119]Sometimes unahitaj mpenzi mkuu, utakula malaya wangapi?
Tu tulilu tutu tututu tululu tulilulilulilu tulilulilulilu.....
Wale jamaa wa Ghana
🤣🤣🤣🤣🤣 Was joking mkuu tunafurahi sana kukuona jf...Kuokoa wanaume dhidi la janga liitwalo NDOA.
#YNWA
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji8][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Was joking mkuu tunafurahi sana kukuona jf...