Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
-
- #21
Ipo application moja ya kulipa ndo kaitumia iyo inauwezo mkubwa sana wa kuchaji am zako zote na call zako zote.ila kuna namna ya kugungua kama simu yako imehakiwa ingia Google andika jinsi ya kujua na kujitoa kwa aliyehaki simu yako utapata maelezo
Subir Dem wako atakuja kukujbu mwenyew amejuaje
mbona zamani ulikuwa na utulivu mkuu Liverpool VPN, ameshasema amekuja ana week mbili means, huyo shori mwenyewe bado hajawa official wife ndo yupo kwenye mazoezi ya vitendo ili aje awe mke!!!Kwani nani aliwatuma MUOE?
Nyie viumbe mmekua wabishi..!!!
#YNWA
hana ujanja wa hivyo nimeangalia kwenye privacy hakuna sehemu ya fingerprint protection aliyoweka onbila ya wewe muhusika kuactivate kwenye privacy kuwa protected na fingerprint hii update imewekwa lini
Mwambie apige chini atafute mbunye nyengine..!!mbona zamani ulikuwa na utulivu mkuu Liverpool VPN, ameshasema amekuja ana week mbili means, huyo shori mwenyewe bado hajawa official wife ndo yupo kwenye mazoezi ya vitendo ili aje awe mke!!!
Dah tatizo Nina Kazi kubwa ya kuokoa vijana na hili janga la ndoa..!!!We kaka wee!sio wewe ulikuja na waraka wa amani kwamba unaacha kutumia jf?
Rejea koment yangu nilisema hautoboi utarudi hata kwa Id fake
Call na sms unatumia njia ipi nina kesi inayofanana na hiyoMkuu shemela ana pata SMS na Calls au ni messages za WhatsApp tu au vyote ? Ukinipa jibu nitajua kafanya nini na nitakupa na njia ya kujikwamua
Wakuu salama? Leo naona hali ya hewa kama imechafuka ghafla baada ya huyu dada kunambia habari za pisi yangu aka mchepuko.
Leo tulikua wote akaniuliza kwa utani “sarah” ni nan kwako nikamwambia simjui nilishtuka kidgo akanionesha na picha zake alizopost jana status akanambia sindo hyu ? Nikaangalia nikamwambia simjui.
Raha ya mwanamke akiwa na kitu ili akitoe unatakiwa ujibu shit ili apte hasira sasa hapo ndo akaanza funguka kwanza mtu mwenyew unambadilisha badilisha majina mara sarah, mara umsave ya kiume unaficha nini? Na kilichonishtua jana nimechange jina nikaandika “mbeba taka” akanambia sahivi umemsave mbeba taka hapa ndo nikahisi huyu bibie kanihack kajuaje? Na simu yangu ina password na face ID juu na kwa sasa niko nae anaweek 2 hapa kwangu.
Chats nazochat nae mpaka majina ya utani nayomwita mchepuko wangu ananambia yote nayomwita na tulikua na ratiba ya kwenda Zanzibar kanambia yote sasa najiuliza kajuaje hapa ndo sielewi na yeye kasema atadeel na huyu mchepuko papendicular hii vita siwez ingilia mimi ila nimekataa katukatu kwamba sijui anavyoongea.
Ndugu wanaume nisaidieni dada anapataje taarifa na sim yangu hashiki kabisa. Nimejiuliza sana au anavizia nikilala anascan face ID? Lakin face ID ukifumba macho haisense natumia iphone.
Haya yote yameanza baada ya kuja kwangu toka chuo kifungue na alisema kama namwanamke mwingine atajuaa tu hizi kauli zake ndo nmezikumbuka leo[emoji28][emoji119][emoji119]. Sijui dada anatumia mbinu gani nisaidiein. Huu mchepuko unanipa mapenzi motomoto nyie[emoji119]
Mkuu kilichokurudisha jf ???[emoji15][emoji15][emoji15]Kwani nani aliwatuma MUOE?
Nyie viumbe mmekua wabishi..!!!
#YNWA
daah mze mkubwaa mbona wakilocal hv, demu wako anaewashkaji tu wanakula Kama kawa. 😁WhatsApp Web sikuizi ukitaka kuscan lazima utie fingerprint kwanza mie mwenyewe nilikwama hapo nilitaka niscan sim ya dem wangu
Mtoto wa mtu una msev taka? Mbinguni hufiki
hujui unataka nini ww
ndani unampenzi tena mbichi, katoka chuo hata wiki 2 hajamaliza
hapo hapo una mcheps ambaye umepanga kwenda nae zenji
huwez kumiliki wapenzi wawil kwa wakati mmoja wewe, ndo mana unadakwa..
huyo demu wala hajahack cm yako, pass wd anaijua na huwa anaingia kusoma kila kitu
kuna wakali wa hizi mambo..
endelea kujifunza bablay
Muulize atakupa majibu sahihi!