Mpenzi wangu ananieleza mambo ninayowasiliana na mchepuko

Anajua password yako.Ameipataje? usiulize! Badirisha haraka iwezekanavyo.

Alikua anaijua aseee wanawake sio watu wazuri[emoji28][emoji28]. Nikilala yeye ndo muda wa kushika simu na kukagua uzuri mimi huwa nafuta chats alikuta chats za kawaida sana ambazo nimeruka futi 100 [emoji3]. Angekuta chats za kulana sijui ingekuaje
 
Mkuu tusipangiane maisha bhana na tusitishane, kila na mtu na life lake.
Sijakupangia maisha nimekushauri tu! Uzinzi siyo deal! Ukiyapata yakukupata usilete uzi wa kulialia Kama hivi unavyolialia juu ya demu wako
 
Hahahahaha......! Wewe "interest" zako ni ngono!!!! Ngono zinakupa furaha!!!! Kweli????? Binafsi sidhani kama ngono ni interest za mtu!! Nadhani ni interest za shetani! Ni shetani ndiye anatamani sana kuona watu wanazini au wanavunja amri za Mungu! Wewe huna interest zozote ni mtumwa wa shetani tu!!! Ingekuwa ngono zinakupa furaha usingelialia hapa! Usijidanganye! Tafuta chanzo kingine cha furaha lakini siyo ngono! Pole.
 

Elisha umesha oa kaka?
 

Wagunduzi wengi hata hawakuwa wameoa...

Fanya research,,, kuwa na mke mmoja sio guarantee kuwa utafanya maendeleo... Japo inaeza changia ila sio lazima...

Mara nyingi waliofanya vitu vikubwa duniani walikuwa hawajaoa..
 
We jamaa bana, au bwabwa mwenzetu? au jongoo hapandi mtungi?
 
Delete account zote afu weka upya. Ukiweza format simu kabisa. Huyo amehack simu yako. Ili ujue kuwa kahack utakuta hata time na simu yako na yuko happy [emoji4] tu. Jua kuwa hauko safe.


Format simu anza namoja. Inabiidi uwe na special store ambayo utaweka huko hata ukifirmat simu havipotei [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
We jamaa bana, au bwabwa mwenzetu? au jongoo hapandi mtungi?
Kuna uwezekano mkubwa sana uwezo wa kufikiri ni mdogo mno kuchangia mada ndani ya JF (Home of great thinkers) au hujaelewa ninachozungumzia! Jogoo kupanda mtungi haimaanishi urukie kila mtu! Uanamume ni kuwa na uwezo wa kuji"control" pia! Mwanaume halisi si dhaifu kiasi cha kuparamia kila mwanamke! Kuna wengine kama wewe wanaojiita marijali wamedakwa na Malaya mitaani kiasi cha kushindwa hata kuhudumia watoto kitu ambacho si sahihi hata kidogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…