Mpenzi wangu ananisaliti huku naona kabisa

kama huna uwezo wa kumuacha usimchunguze wala cm yake usiigusi we tulia tuliiiiiiiiiiii kama maji mtungini kwasababu haina makombo si anaipiga maji tu inarudi upiya[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Unanunua gazeti la jana Ili upate habari za leo tukusaidie nini SAsa
Hapo matatizo umejitakia mwenyewe
 
Andika Kwa kuacha nafasi, halafu unaonekana una utoto na huna kazi asubuhi yote hii unawaza mademu sisi tupo Kariakoo tangu saa kumi na mbili asubuhi tunapanga bidhaa na kusubiri wateja kumbe wewe unawazaa ngono tu
mbona kaandika akiwa kalume tu
 
We jamaa wewe si umtimue tu.
 
Huyo mwanamke sio wako ni wa huyo jamaa mwenye mtoto na hapo kwako anampa taarifa huyo jamaake kuwa yupo kwa kaka yake tafuta demu wa saizi yako sio hao waliokuzidi ujanja wa hizi gemu za UEFA anza na Uefa ndogo ili uzoee ligi sio unachukua demu ana mtoto ili iweje?ata awe mzuri vip achana nae utapata matatizo huko mbele hapo ukute ana mgongo ndio maana unazunguka zunguka kuomba ushauri..
 
-Je mtoto ni wako?

Fanya utaratibu wa kuhama hapo haraka iwezekanavyo.

Hapo hauna mke/mpenzi, Huyu sio mtu sahihi wa kufanya naye maisha.

Nenda kaanze maisha sehemu nyingine na utapata mwanamke sahihi kwako.
ubavu huo hana akae atulie tu amegewe na wajanja
 
Ni swala la wakati atakuja kumbwato humo humo chumbani kwako wewe ukiwa unabembeleza mtoto wa mwanaume mwenzio.

Wewe ni bonge la mbwiga, pumbavu.
 
We hujaon hapo nimejihimia job toka saa kumi usk. Km huna ushaur usilopoke tu kiongoz
kweli kongozi we tulia nae tu ila usimchunguze wala cm yake usiiguse we piga kazi tu mpe hela ya matumizi akitoka usiku we lalatu akiludi ukiitaji piga ngoma tu haina makombo wanawake si kuhizi washida sana ukimuacha shauliyako utaludi kuwa unanunua kila siku kwa dada poa 5000
 
Fanya utaratibu wa kuhama hapo haraka iwezekanavyo.
Huu utaratibu wa kuhama jamani 😂😂😂nyumba nyingi zitabaki baba,,hebu badilisheni huu ushauri😂... Kifo nje nje aisee
 
Pole mdogo wangu.naweza sema unasubiri tu mda sahihi wa kuanza dozi.nikutakie maandalizi mema
 
Kwel kbs
 
Mtoto ana miezi Saba na unampelekea moto vile vile ama vp
 
kuliko kukodi dada powa kila siku sh 5000 bora huyo mwenye mtoto
 
Hata wanyama wakiwa wanalea wanakuwaga wakali sana na watoto wao.

Haiwezekani mwanamke mwenye mtoto wa miezi 7 agawe mbunye hovyo pasipo kujali mtoto wake, jamaa kapime.

Sasa jamaa unatoka mkoani unakuja kavamia midemu bila mpangilio , umevamia tumbwi la vibwengo..
Mademu wote hawa jijini tena siku wanakutafuta wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…