Mpenzi wangu ananisaliti huku naona kabisa

-Je mtoto ni wako?

Fanya utaratibu wa kuhama hapo haraka iwezekanavyo.

Hapo hauna mke/mpenzi, Huyu sio mtu sahihi wa kufanya naye maisha.

Nenda kaanze maisha sehemu nyingine na utapata mwanamke sahihi kwako.
Kabisa hamna mwanamke hapo! Fukuza kabisa inaonekana mtoto sio wake
 
Kwani ulimuoa?
 
Kwani ulimuoa?
Namnukuu mleta mada! 👇👇👇
=
"ana mtoto mdogo wa miezi kama 7 hivi. Yeye anakaa na dada yake na wamepanga chumba jirani kabisa na nilichopanga mimi."

"Toka tumekuwa kwenye uhusiano aliamua kuhamia chumbani kwangu kabisa."
 
Tembea na dada ake ndugu...Dawa ya mwanamke ni mwanamke...
 
Andika Kwa kuacha nafasi, halafu unaonekana una utoto na huna kazi asubuhi yote hii unawaza mademu sisi tupo Kariakoo tangu saa kumi na mbili asubuhi tunapanga bidhaa na kusubiri wateja kumbe wewe unawazaa ngono tu
Kutokusoma kwako na huna kazi ya maana ndo Mana umeamkia kariakoo tafuta hela matajiri hatupajui kariakoo
 
WEWE NI FALA MKUU
KUBALI HILI KWANZA

Halafu muache huyo mwanamke.
 
Andika Kwa kuacha nafasi, halafu unaonekana una utoto na huna kazi asubuhi yote hii unawaza mademu sisi tupo Kariakoo tangu saa kumi na mbili asubuhi tunapanga bidhaa na kusubiri wateja kumbe wewe unawazaa ngono tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila wee jamaa eti saa kumi na mbili umeshapata bidhaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mpp. Ppp ppp. Pp pppmpp pp p pp ppmp. Pppppppppppppp pppm pppppp ppp m p ppm p. Ppmpp ppmpmpp p. P m p. P pppppp .

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta mwingine huyo achaneni kwa amani litabaki kuwa koloni lako siku ukijisikia kupasha kiporo unasuuza rungu saafi kabisa
 
Mkuu unalala na demu kitandani halafu anakuchomoka usiku wa manane anakwenda kupakuliwa na Dume Mwengine? Anaanzaje kupata hiyo nguvu na hamu ya kwenda kugongwa muda huo?
Unashindwa kufanya kazi yako vizuri hapana jengine, Acha uendelee kusaidiwa tu.
 
Duuh , ana mtoto miez 7 na sio wako then anatoka nje

Daah na ww unasema una mpenzi hapo ?? Kweli watu tunatofautiana
 
[emoji23][emoji23][emoji23] usimlaumu sana ndio uwezo wake wakiuchumi unapomfikisha, yaani ndio anayeweza kumuafford kwamuda huo. Angezikimbia tamaa na kucontrol actions zake angeachana na mapenzi kwa muda huu kujenga uchumi ili awe stable kuchagua mtu amtakaye nasio wakumridhisha kwenye ngono.
 
Ni Bora ungetoka tu ajue umefaham sio kuka usha Mzee alafu ungekua mwepes pasipo maumivu yeye ndio angekua na mtihani anakwambia nini hapo ukimwambia atakwambia umeniona wapi si ungekuja kunikamata alafu mtot Miez 7 Tu ikifikia hatua ya mtoto kutembea itakuaje si💥💥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…