Kuhusu kujenga kwenye viwanja vyako?[emoji23]
Ya jana ujumbe umefika, huombi pesa kabisa[emoji23]Jana umesahau ulikuwa unaongea nini hapa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ya jana ujumbe umefika, huombi pesa kabisa[emoji23]
Leo tupo na viwanja, je unaweza kukubali mm nijenge kwenye viwanja vyako?
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wewe
🤣🤣🤣Akili mtu wangu......Mwenyekiti, nimekuvulia kofia
Ulikua hujanipa ruhusa, serious mm naweza kufanya hivyo kwako[emoji23]Sa unachelewa nini kuwatuma mafundi site waanze kuchimba msingi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulikua hujanipa ruhusa, serious mm naweza kufanya hivyo kwako[emoji23]
Ninajua huna tamaa kabisa
Kurogwa na unayempenda mbona ndio vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Subiri mshamba aje na wenzie waseme umerogwa
Kurogwa na unayempenda mbona ndio vizuri[emoji23]
Safari hii uende ngende[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ngoja niongeze limbwata mashemeji waongee peke yao njiani
Safari hii uende ngende[emoji23]
[emoji23][emoji23]kurogwa na usiyempenda ndio balaaUnisindikize mwenyewe nikakuroge ili mshamba_hachekwi akasirike vizuri [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]kurogwa na usiyempenda ndio balaa
Ngoja niongeze nguvu kwenye kubet, mpaka pesa niipate nijenge hapo[emoji23]
Hivi huku jf kuna jukwaa la kuweka mikeka?
Nitamshauri waweke terms nzuri ili kila mtu nafsi yake iridhie kufanya
Location ya viwanja inavutia sana, sema huwa una vision kubwa sana[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ntakuchapa