Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mwenyekiti ushalewa penzi nakuona toka jana husimamii misimamo ya chama!!Haha haaaa kiwanja changu ajenge mwanaume ambaye sijafunga nae ndoa?sio kweli,Hilo ni kosa la kiufundi baharia🤦🤦
Hivi ndoa hapo inahusikaje na ikiwa huduma zote za ndoa bidada anatoa?
Tutapiga kula za kutokuwa na imani na wewe 🤣🤣🤣 kazi imeanza kukushinda