Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

Haha haaaa kiwanja changu ajenge mwanaume ambaye sijafunga nae ndoa?sio kweli,Hilo ni kosa la kiufundi baharia🤦🤦
Mwenyekiti ushalewa penzi nakuona toka jana husimamii misimamo ya chama!!
Hivi ndoa hapo inahusikaje na ikiwa huduma zote za ndoa bidada anatoa?
Tutapiga kula za kutokuwa na imani na wewe 🤣🤣🤣 kazi imeanza kukushinda
 
Mwenyekiti ushalewa penzi nakuona toka jana husimamii misimamo ya chama!!
Hivi ndoa hapo inahusikaje na ikiwa huduma zote za ndoa bidada anatoa?
Tutapiga kula za kutokuwa na imani na wewe 🤣🤣🤣 kazi imeanza kukushinda
Tatizo mwanaume akishajua kaweka hata mifuko miwili ya cement anasema Ile nyumba yake!🤣🤣🤣
 
Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]

Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Kama hamjafunga ndoa kila mtu afanye investment kivyake mambo yasiwe mengi badae huko
 
Kwahiyo kujenga pale ni shida, ila sisi ku support ujenzi kwenye viwanja vyenu ni sahihi?

Yeap nisahihi, maana mwanamke anaweza kwenda mahakani kudai mali za mwanaume kisa kumzalia tuu ila mwanaume hawezi kwenda mahakami kudai mali za mwanamke hatakama mnawajukuu dunia itamwona punguani.
 
Bora mwanamke ajenge kwenye kiwanja cha Mwanaume. Ila sio kiwanja cha Mwanamke we mwanaume ukajenge imekula kwako.

Mimi mke wangu ana pesa ila sijawahi mwambia achangie hata ujenzi wala sitaki anichangie hata Ada ya watoto. Hata Chumvi kununua sitaki.

Pesa zake akajenge kiwanja kingine atapangisha apate pesa.

Sitaki dharau mimi[emoji38][emoji38]

Duuh
 
Back
Top Bottom