Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]

Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Jenga mwenyewe 😂 😂 😂 , hakuna jinsia inayoongoza kwakutokuheshimu ndoa kama yenu, yaani wataheshimu hisia ila sio ndoa. Acha kumanipulate mtoto wa watu, alikutuma ununue hicho kiwanja.
 
Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]

Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Mchunguze vizuri jamaa ikiwezekana kagua phonebook yake uone kama kuna jina limeseviwa ACHRAF HAKIM, ukikuta hilo jina usituke ndio tulivyoamua sasahivi
 
Huyu jamaa yake ilitakiwa kama sisi wanaume tupate namba yake ili tuweze kumsaidia zaidi kimawazo, wanawake wana nguvu sana tusipo mweka karibu na sisi wanaweza wakamlegeza msimamo wake.

POPOTE ULIPO WEWE JAMAA ULIYEKATAA KUJENGA KWENYE KIWANJA CHA MWANAMKE WAKO , JUA SISI KAMA WANAUME TUNAKUUNGA MKONO NA TUNAKUOMBEA SANA KWA MSIMAMO WAKO ILI USIJE UKAYUMBISHWA KAMA SAMSONI ALIVYO FANYWA NA DELILA
 
Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]

Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
😀😀😀 .......nipe no yake nimshauri jambo
 
Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]

Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Kwa nini watanzania tunapenda kusaidiwa badala ya kujitegemea. Nilisikia habari ya jeneza kubebwa na gari ya serikali na kupaki bar huko Arusha . Kama gari sio ya kwako na umesaidiwa hautakiwi kulalamika. Ukitaka kuishi kwa raha inabidi ujitegemee kadri unavyoweza ? Hapa sio kwa wanaume au wanawake maisha ni magumu sana siku hizi. Ukitegemea misaada watakupoteza binadamu sio watu.
 
Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]

Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
asirogwe akafanya hicho kitu, muuzie hicho kiwanja
 
Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]

Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
ACHA UTANI NA HELA ZA WATU NI BORA AKATOE FUNGU LA KUMI KANISANI.
 
Huyo ni husband material,

Mng'ang'anie,

Male always looks for value for money in the investment, kama ameweza kukogomea wewe atagoma vingi vya msingi ili angalie value of the investment in general,

Atafika mbali katika maisha. With you or without you, so kama ni mwanamke makini/wife material then huyo jamaa anakufaa, mtajenga familia strong sana

Kama ni mwanamke wa kutaka leo bila kujua kesho itakuwaje, then mkimbie mtaishi maisha magumu sana hapa mwanzoni, anasa utasikia tu.
 
Back
Top Bottom