Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
ingekuwa kiwanja chake ww ungemjengea?Kwanini uone ni upumbavu kujenga pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ingekuwa kiwanja chake ww ungemjengea?Kwanini uone ni upumbavu kujenga pale
This makes a lot of sense, kama kweli una uthubutu badili hati ili isomeke kote.Badili hati yasome majina yenu wote
Bora hivyo ibaki kuwa kwenye kiwanja changuPamoja na Hilo huna authority na hiyo nyumba Kwa sababu inakuwa ya familia na hata mkigombana saizi mwanamke ana Watoto hautouzw na Cha kumfanya huna.
Ni hivi nyumba ya familia ni ya mwanamke na Watoto na ndio maana wanaume wengi Huwa wanasusa na kuondoka kwenda kuanza Upya.
Akujengee ili badae umkatae na kumtimua kwenye nyumba yako 🤣Ndio[emoji23] halafu viwanja vyenyewe gharama now na ni nje ya mji Sanaa, sasa si bora mimi ni cha mda kipo mjini tu
Bro wangu alifanya huo ujinga wa kujenga kwenye kiwanja cha shemeji eti kisa shem anamuheshimu looh bwana ukatokea ugomvi kidogo manzi kahamisha hati ya kiwanja. Maneno kama nipe talaka yangu ndo yamechukua nafasi anajuta kishenzi na bahati mbaya hawana mtoto.Kama wewe ni mwanamke simshauri ajenge kwenye kiwanja chako...
Halafu ni mpenzi tu sio mchumba...
Mchumba hajengewi, mchumba asomeshwi....
Kiwanja chako jenga mwenyewe
Mimi nashauri kila mmoja awe na uwanja wake na nyumba yake.Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],wanaume naona mmefrahi balaa.Wasiwasi ndio akili...huyo ndio gentlemen..ukimpata atakayejenga juu ya kiwanja chako bado ni mvulana huyo.
Tumekubaliana kuwa wanaume wote tutaanza kujenga kwenye viwanja vya wanawake pale tu tutakapopata nguvu ya kuhamisha nyumba kama tunavyoweza kuhamisha sufuria.
Na unabalaswa kama mbwa.Muhuni unatoka hapo na begi tu[emoji848][emoji848] unaenda kuanza upyaaaa
Swali zuri[emoji3059]ingekuwa kiwanja chake ww ungemjengea?
Good approach from true Guy!!Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Huwa inapendeza mwanaume achume na mwanamke amkute mwanaume tayari ana kila kitu ikitokea mambo ya kufanya pamoja basi yafanyike wakati baba umeshajipanga, maana tamaa haiwezi kuwaacha salama.. Unasema umezaa nae kwahiyo ina jenga ulinzi hani katila mifarakano watu hubadilika dakika chache tu hasa mwanamke ni rahisi sana kubadilika na ikawa pata potea, kesi ngapi zimefunguliwa na wanawake mahakamani kudai fidia za maliSi tutachelewa? Kumbuka umoja ni nguvu.....Kama mnaunganisha damu mnapata watoto, kuna shida gani kuunganisha Mali?
Mwanaume ukizungukwa ukapiga technical knock out inakuaga mbaya aiseee🤔🤔🤔jamaang moja alitunza mtoto mpaka miaka 7 siku anaanza shule ndo anagundua hakua mtoto wake.... mwanamke alikuja kugundulika alikua ana kadi mbili za clinicNa unabalaswa kama mbwa.
Wenyew wanakwambia mimba ya mwanaume,mtoto wa mwanamke akili kumkichwa[emoji28]
Tambua mwanaume mwenye akili timamu hawezi kufanya unachotaka ni hali tu ya kiuanaume kwanza akijenga hapo hatakua na amani atakua anahisi udhaifu fulani , kwanza hata hicho kiwanja chako hatakiwi kukuuliza una mipango nacho gani.... Wanaume hata tukikwama ni ngumu kuomba msaada kwenu labda sasa ujongeze wewe kuona mumeo anahitaji support yako na mwambie ongezea nguvu pale kwa mwanamke anaejitambua, kwa mwanaume ukianza kuegemea kwenye vitu vya mwanamke hilo ni anguko, mwanamke afanye vitu kwa mapenzi yake mwenyewe sio kuombwaKwahiyo kujenga pale ni shida, ila sisi ku support ujenzi kwenye viwanja vyenu ni sahihi?