Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Azingatie hilo.Hilo neno kiwanja "changu" tu linatoa jibu .
π π π ila wana nguvu sana hawa, jamaa lazima atalegeza tuChao chao.Chako cha familia.Akili kumutwe.
Mwambie tunaijua michezo yao.Azingatie hilo.
"Sauri sake";Asije kusema hatukumuonya.Mimi vyumba vyote nimepangisha watoto wa mke wangu.Nafasi zimejaa.π π π ila wana nguvu sana hawa, jamaa lazima atalegeza tu
.Kwanini uone ni upumbavu kujenga pale
Kwa sasa huwezi elewa we shukuru umempata mwanaume mwenye akili ya kiuanaume ameona mbele mno na akaepuka hilo kwa busara sana.Kivipi tena[emoji849]
Hakika itabidi apongezweKama ikikuprndeza tupe email yake tumpe mwaliko wa kua mgeni rasmi wa Mkutano wa mwisho wa mwaka pia ashiriki kwenye kilele Cha maadhimisho ya wiki ya wanaume wanaojitambua ulimwenguni
Mpaka amefungua thread hajapenda, maanake alikua na malengo flan ila baada ya kuona jamaaa anasita ndo akachukia..... Unafkir itakua malengo gnπ€π€π€π€Hakika itabidi apongezwe
Nakuja hapo tegeta kibaoni bby...leo umemwaga point...nawashangaa hao wanaosma eti wanawake wenye tako skonsi hawanaga akili....hawajakitana tuu na wewe babe. Tako plus akili mingiNjoo tunywe wote babe[emoji3059]
Ajengewe afu aanze vituko na jamaa asepe akiwa hana chochote,Mpaka amefungua thread hajapenda, maanake alikua na malengo flan ila baada ya kuona jamaaa anasita ndo akachukia..... Unafkir itakua malengo gn[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Njoo panda[emoji574]Nakuja hapo tegeta kibaoni bby...leo umemwaga point...nawashangaa hao wanaosma eti wanawake wenye tako skonsi hawanaga akili....hawajakitana tuu na wewe babe. Tako plus akili mingi
Nilikuwa sahihi ni changu bado hatujafanya namna kukibadili kuwa chetuTatizo umelisem kwenye Heading...
Kiwanja ni Chako na Sio Chenu....; Swali dogo tu, kwa mtizamo wako hio nyumba akisema ni yake na sio yenu utalichukuliaje hilo ?
Nadhani njia pekee ya nyie wabinafsi ajenge yake kwenye kiwanja chake na mjenge yenu kwenye kiwanja chenu....
Yani nikajenge kwenye kiwanja cha Mwanamke πππ?umelogwa au?Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.