Mpenzi wangu hataki kunielewa juu ya kosa langu

Mpenzi wangu hataki kunielewa juu ya kosa langu

Ndugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.

Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji, naandika haya kwa uchungu😭😭😭

Mahusiano yetu yalianza vizuri tu na tukaenda vizuri ila shida ilianzia kwangu, nilikuwa napenda sana nimtengenezee mwenzangu wivu ili asijeniacha na kitu nilichokuwa nafanya ni kupost picha za msichana mwingine na hii nilikuwa naifanya pindi mwenzangu akinikosea ila hii tabia mwenzangu ilimkera sana but sikuweza kushtuka nikajiona niko sahihi na nimefanya hiyo tabia ya kumpost huyo msichana mwingine kwa nyakati 3 tofauti

Sasa hii ya tatu mwenzangu ameona imezidi ameamua kuniacha karibu mwezi, sasa mawasiliano yetu sio mazuri baina yangu na yeye, kinachoniuma zaidi huyo dada niliyekuwa nampost siko nae kwenye mahusiano.

Mpenzi wangu hataki kunisikia hataki kuiniona ananiona mimi muongo muongo ila baada ya mambo kuwa magumu nimeamua nimueleze ukweli wa juu ya hicho ninachokifanya cha kupost huyo dada ila mwenzangu ndio hivyo hataki kunielewa

Sababu zilizonifanya niwe nampost huyo dada ni

1. Kumtengenezea mwenzangu wivu ili asije niacha

2. Akinikosea nilikuwa nampost ili walau aniulize huyo nani ili nipate chance ya kuchat nae

Maamuzi niliyochukua ni

1. Kuomba msamaha

2. Kuonesha ushahidi kuwa huyo msichana siko nae kwenye mahusiano

3. Kukutana na mchumba wangu ambae nimemkosea ili nimuelezea A-Z kipi hasa kinanifanya nafanya hivi
ila ndo hivo mwenzangu asilimia za kuniamini zimepungua amepunguza uaminifu juu yangu

4. Nimepanga safari ya kusafiri kutoka mkoa wa Katavi hadi Dodoma ili niweze kukutana nae tuzungumze hili suala japo % za kuweza kukuta ni mdogo maana bado mwenzangu ana wasiwasi na mimi ila mimi nimeamua niende hivyo hivyo japo sijui itakuaje

Nimeamua kuondoka na kumtafuta ili nifanye suluhu japo kipato changu kidogo ila nitajibana mpaka nifike huko tujadili haya mambo

Nisaidieni mawazo na namna sahihi ya kuweza kulimaliza hili suala langu

Mwenzangu mpenzi wangu yuko humu ni member sitapenda nitaje jina lake.

Kama atasoma haya maelezo nataka ajue nampenda sana na sipendi nimpoteze❤️❤️

Napitia kipindi kigumu cha mateso makali😭😭😭😭😭 mawazo , mambo yangu hayaendi muda mwingi natumia kuwaza haya tu😭😭 kazi zimesimama nakonda na ulaji wangu umekuwa sio mzuri kabisa😭
Ulikosea Sana kuanza kupost picha za mwanamke mwingine.Hukuona Kama happy ulikuwa unamkomoa?

Nakushauri usimtafute Bali mpe muda mzuri afikie juu ya hili( naamini huko aliko analifikiria) na Kama ataamua kukusamshe bila Shaka atakutafuta mwenyewe.
Na asipokutafuta Basi jiongeze kwamba umeshaaachwa mazima k' o uanze mikakati ya kutafuta pisi nyingine.
 
Ndugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.

Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji, naandika haya kwa uchungu[emoji24][emoji24][emoji24]

Mahusiano yetu yalianza vizuri tu na tukaenda vizuri ila shida ilianzia kwangu, nilikuwa napenda sana nimtengenezee mwenzangu wivu ili asijeniacha na kitu nilichokuwa nafanya ni kupost picha za msichana mwingine na hii nilikuwa naifanya pindi mwenzangu akinikosea ila hii tabia mwenzangu ilimkera sana but sikuweza kushtuka nikajiona niko sahihi na nimefanya hiyo tabia ya kumpost huyo msichana mwingine kwa nyakati 3 tofauti

Sasa hii ya tatu mwenzangu ameona imezidi ameamua kuniacha karibu mwezi, sasa mawasiliano yetu sio mazuri baina yangu na yeye, kinachoniuma zaidi huyo dada niliyekuwa nampost siko nae kwenye mahusiano.

Mpenzi wangu hataki kunisikia hataki kuiniona ananiona mimi muongo muongo ila baada ya mambo kuwa magumu nimeamua nimueleze ukweli wa juu ya hicho ninachokifanya cha kupost huyo dada ila mwenzangu ndio hivyo hataki kunielewa

Sababu zilizonifanya niwe nampost huyo dada ni

1. Kumtengenezea mwenzangu wivu ili asije niacha

2. Akinikosea nilikuwa nampost ili walau aniulize huyo nani ili nipate chance ya kuchat nae

Maamuzi niliyochukua ni

1. Kuomba msamaha

2. Kuonesha ushahidi kuwa huyo msichana siko nae kwenye mahusiano

3. Kukutana na mchumba wangu ambae nimemkosea ili nimuelezea A-Z kipi hasa kinanifanya nafanya hivi
ila ndo hivo mwenzangu asilimia za kuniamini zimepungua amepunguza uaminifu juu yangu

4. Nimepanga safari ya kusafiri kutoka mkoa wa Katavi hadi Dodoma ili niweze kukutana nae tuzungumze hili suala japo % za kuweza kukuta ni mdogo maana bado mwenzangu ana wasiwasi na mimi ila mimi nimeamua niende hivyo hivyo japo sijui itakuaje

Nimeamua kuondoka na kumtafuta ili nifanye suluhu japo kipato changu kidogo ila nitajibana mpaka nifike huko tujadili haya mambo

Nisaidieni mawazo na namna sahihi ya kuweza kulimaliza hili suala langu

Mwenzangu mpenzi wangu yuko humu ni member sitapenda nitaje jina lake.

Kama atasoma haya maelezo nataka ajue nampenda sana na sipendi nimpoteze[emoji3590][emoji3590]

Napitia kipindi kigumu cha mateso makali[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mawazo , mambo yangu hayaendi muda mwingi natumia kuwaza haya tu[emoji24][emoji24] kazi zimesimama nakonda na ulaji wangu umekuwa sio mzuri kabisa[emoji24]
Hata mi ningekuacha
 
Kwa sasa nipo nae Dodoma na tunapendana sana. Alinieleza yote ulokua unapost hizo picha za huyo dem nikamshauri. Mwanzoni nilimchukulia kama rafiki tu ila kwa sasa ananipenda sana kwakua simfanyii huo upuuzi. Baadhi ya sms unazotuma najibu mimi. Naomba usije utarudi na ulemavu. Tutaoana mwezi ujao.
[emoji848][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ulikosea Sana kuanza kupost picha za mwanamke mwingine.Hukuona Kama happy ulikuwa unamkomoa?

Nakushauri usimtafute Bali mpe muda mzuri afikie juu ya hili( naamini huko aliko analifikiria) na Kama ataamua kukusamshe bila Shaka atakutafuta mwenyewe.
Na asipokutafuta Basi jiongeze kwamba umeshaaachwa mazima k' o uanze mikakati ya kutafuta pisi nyingine.
shukeani mkuu
 
Lady Jaydee was right aliposema kuna wanaume kama mabinti.. at more than 25yrs bado unatengeneza wivu through posting? Total childish behaviour. Na sijui nan alikufundisha mahusiano.

My take is, hata akikusamehe, tayri ashakuona mtoto na hujakomaa kiakili so automatically heshima itashuka kwa kiwango cha 5G. Na kwa mwanaume, mwanamke wako akishakukosea heshima, unapoteza muda wako tu. Kinachofuata ni nyundo nzito.

Alaf pia, kama yuko humu, bado umejianika uchi sokoni, maana ataona pia hili lipost lako na ushauri unaopewa, so watever u do, ataona pia umeshindwa kuamua kama mwanaume but unaendeshwa na mawazo ya jamii.
My nigga, stand on ur stance kama mwanaume, go there, mchane live kuhusu ujinga wako na uskie atachoamua. Akileta usoro, vaa viatu pita hivi. Heri kufa ukiwa umesimama wima rather than kuishi on your knees kama kondoo.

Know your worth and take responsibility for your actions.
Wahed mkubwa!🤬
💪💪💪
 
Wanabodi wengi wamempa ushauri koboG...nami naomba nimpe ushauri kipenz cha koboG kwakuwa tumeambiwa ni member humu!

Naomba nimuite BROWN suger... Boy wako kafanya makosa Sana lkn huenda ni kutokujua Tu au coz anakufil Sana,usimhukumu Kwa picha aliyotuma Ila mhukumu Kwa kutojiamini kuwa unampenda,alifanya hivyo Kwa Nia njema ingawa hakujua maumivu ambayo amekusababishia,Lau angejua ungeumia naamini asingefanya hayo anayoyafanya.

BROWN suger Sisi wanaume ni wagumu Sana kujishusha Kwa mababe wetu na kulialia lkn mpaka koboG analia ujue wewe ni mtu muhimu Sana kwake.... Makosa wameumbiwa wanadamu na boy wako ni miongoni mwao!

BROWN suger two wrong does not make right! Lkn boy wako kafanya kosa moja la kumpost huyo bidada,anadeserve another chance, natumaini utachukuwa Mda wako na kuangalia uwezekano WA kumsamehe koboG

Naamini mtakuwa pamoja tena siku moja......

Mwanabodi Jf.
 
Ndugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.

Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji, naandika haya kwa uchungu[emoji24][emoji24][emoji24]

Mahusiano yetu yalianza vizuri tu na tukaenda vizuri ila shida ilianzia kwangu, nilikuwa napenda sana nimtengenezee mwenzangu wivu ili asijeniacha na kitu nilichokuwa nafanya ni kupost picha za msichana mwingine na hii nilikuwa naifanya pindi mwenzangu akinikosea ila hii tabia mwenzangu ilimkera sana but sikuweza kushtuka nikajiona niko sahihi na nimefanya hiyo tabia ya kumpost huyo msichana mwingine kwa nyakati 3 tofauti

Sasa hii ya tatu mwenzangu ameona imezidi ameamua kuniacha karibu mwezi, sasa mawasiliano yetu sio mazuri baina yangu na yeye, kinachoniuma zaidi huyo dada niliyekuwa nampost siko nae kwenye mahusiano.

Mpenzi wangu hataki kunisikia hataki kuiniona ananiona mimi muongo muongo ila baada ya mambo kuwa magumu nimeamua nimueleze ukweli wa juu ya hicho ninachokifanya cha kupost huyo dada ila mwenzangu ndio hivyo hataki kunielewa

Sababu zilizonifanya niwe nampost huyo dada ni

1. Kumtengenezea mwenzangu wivu ili asije niacha

2. Akinikosea nilikuwa nampost ili walau aniulize huyo nani ili nipate chance ya kuchat nae

Maamuzi niliyochukua ni

1. Kuomba msamaha

2. Kuonesha ushahidi kuwa huyo msichana siko nae kwenye mahusiano

3. Kukutana na mchumba wangu ambae nimemkosea ili nimuelezea A-Z kipi hasa kinanifanya nafanya hivi
ila ndo hivo mwenzangu asilimia za kuniamini zimepungua amepunguza uaminifu juu yangu

4. Nimepanga safari ya kusafiri kutoka mkoa wa Katavi hadi Dodoma ili niweze kukutana nae tuzungumze hili suala japo % za kuweza kukuta ni mdogo maana bado mwenzangu ana wasiwasi na mimi ila mimi nimeamua niende hivyo hivyo japo sijui itakuaje

Nimeamua kuondoka na kumtafuta ili nifanye suluhu japo kipato changu kidogo ila nitajibana mpaka nifike huko tujadili haya mambo

Nisaidieni mawazo na namna sahihi ya kuweza kulimaliza hili suala langu

Mwenzangu mpenzi wangu yuko humu ni member sitapenda nitaje jina lake.

Kama atasoma haya maelezo nataka ajue nampenda sana na sipendi nimpoteze[emoji3590][emoji3590]

Napitia kipindi kigumu cha mateso makali[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mawazo , mambo yangu hayaendi muda mwingi natumia kuwaza haya tu[emoji24][emoji24] kazi zimesimama nakonda na ulaji wangu umekuwa sio mzuri kabisa[emoji24]
Dawa ya Mwanamke ni Mwanamke! Kama anakupenda atajirekebisha ili muyajenge,na Kama alikua anakutafutia kaupenyo kakupiga chini kubaliana na hilo Maisha yasonge! Huna kitu alafu bado unataka kujipa gharama za safari za bure!! Kaa fanyaa yako Dogo!!!
 
Ndugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.

Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji, naandika haya kwa uchungu😭😭😭

Mahusiano yetu yalianza vizuri tu na tukaenda vizuri ila shida ilianzia kwangu, nilikuwa napenda sana nimtengenezee mwenzangu wivu ili asijeniacha na kitu nilichokuwa nafanya ni kupost picha za msichana mwingine na hii nilikuwa naifanya pindi mwenzangu akinikosea ila hii tabia mwenzangu ilimkera sana but sikuweza kushtuka nikajiona niko sahihi na nimefanya hiyo tabia ya kumpost huyo msichana mwingine kwa nyakati 3 tofauti

Sasa hii ya tatu mwenzangu ameona imezidi ameamua kuniacha karibu mwezi, sasa mawasiliano yetu sio mazuri baina yangu na yeye, kinachoniuma zaidi huyo dada niliyekuwa nampost siko nae kwenye mahusiano.

Mpenzi wangu hataki kunisikia hataki kuiniona ananiona mimi muongo muongo ila baada ya mambo kuwa magumu nimeamua nimueleze ukweli wa juu ya hicho ninachokifanya cha kupost huyo dada ila mwenzangu ndio hivyo hataki kunielewa

Sababu zilizonifanya niwe nampost huyo dada ni

1. Kumtengenezea mwenzangu wivu ili asije niacha

2. Akinikosea nilikuwa nampost ili walau aniulize huyo nani ili nipate chance ya kuchat nae

Maamuzi niliyochukua ni

1. Kuomba msamaha

2. Kuonesha ushahidi kuwa huyo msichana siko nae kwenye mahusiano

3. Kukutana na mchumba wangu ambae nimemkosea ili nimuelezea A-Z kipi hasa kinanifanya nafanya hivi
ila ndo hivo mwenzangu asilimia za kuniamini zimepungua amepunguza uaminifu juu yangu

4. Nimepanga safari ya kusafiri kutoka mkoa wa Katavi hadi Dodoma ili niweze kukutana nae tuzungumze hili suala japo % za kuweza kukuta ni mdogo maana bado mwenzangu ana wasiwasi na mimi ila mimi nimeamua niende hivyo hivyo japo sijui itakuaje

Nimeamua kuondoka na kumtafuta ili nifanye suluhu japo kipato changu kidogo ila nitajibana mpaka nifike huko tujadili haya mambo

Nisaidieni mawazo na namna sahihi ya kuweza kulimaliza hili suala langu

Mwenzangu mpenzi wangu yuko humu ni member sitapenda nitaje jina lake.

Kama atasoma haya maelezo nataka ajue nampenda sana na sipendi nimpoteze❤️❤️

Napitia kipindi kigumu cha mateso makali😭😭😭😭😭 mawazo , mambo yangu hayaendi muda mwingi natumia kuwaza haya tu😭😭 kazi zimesimama nakonda na ulaji wangu umekuwa sio mzuri kabisa😭
Uwongo mbaya nimecheka sana sana khaa serous unamkondea dem demu akikukatalia msamaaa achana nae fasta ww futa tu namba zake na badilisha lain utamsahau chap
 
Ndugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.

Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji, naandika haya kwa uchungu😭😭😭

Mahusiano yetu yalianza vizuri tu na tukaenda vizuri ila shida ilianzia kwangu, nilikuwa napenda sana nimtengenezee mwenzangu wivu ili asijeniacha na kitu nilichokuwa nafanya ni kupost picha za msichana mwingine na hii nilikuwa naifanya pindi mwenzangu akinikosea ila hii tabia mwenzangu ilimkera sana but sikuweza kushtuka nikajiona niko sahihi na nimefanya hiyo tabia ya kumpost huyo msichana mwingine kwa nyakati 3 tofauti

Sasa hii ya tatu mwenzangu ameona imezidi ameamua kuniacha karibu mwezi, sasa mawasiliano yetu sio mazuri baina yangu na yeye, kinachoniuma zaidi huyo dada niliyekuwa nampost siko nae kwenye mahusiano.

Mpenzi wangu hataki kunisikia hataki kuiniona ananiona mimi muongo muongo ila baada ya mambo kuwa magumu nimeamua nimueleze ukweli wa juu ya hicho ninachokifanya cha kupost huyo dada ila mwenzangu ndio hivyo hataki kunielewa

Sababu zilizonifanya niwe nampost huyo dada ni

1. Kumtengenezea mwenzangu wivu ili asije niacha

2. Akinikosea nilikuwa nampost ili walau aniulize huyo nani ili nipate chance ya kuchat nae

Maamuzi niliyochukua ni

1. Kuomba msamaha

2. Kuonesha ushahidi kuwa huyo msichana siko nae kwenye mahusiano

3. Kukutana na mchumba wangu ambae nimemkosea ili nimuelezea A-Z kipi hasa kinanifanya nafanya hivi
ila ndo hivo mwenzangu asilimia za kuniamini zimepungua amepunguza uaminifu juu yangu

4. Nimepanga safari ya kusafiri kutoka mkoa wa Katavi hadi Dodoma ili niweze kukutana nae tuzungumze hili suala japo % za kuweza kukuta ni mdogo maana bado mwenzangu ana wasiwasi na mimi ila mimi nimeamua niende hivyo hivyo japo sijui itakuaje

Nimeamua kuondoka na kumtafuta ili nifanye suluhu japo kipato changu kidogo ila nitajibana mpaka nifike huko tujadili haya mambo

Nisaidieni mawazo na namna sahihi ya kuweza kulimaliza hili suala langu

Mwenzangu mpenzi wangu yuko humu ni member sitapenda nitaje jina lake.

Kama atasoma haya maelezo nataka ajue nampenda sana na sipendi nimpoteze❤️❤️

Napitia kipindi kigumu cha mateso makali😭😭😭😭😭 mawazo , mambo yangu hayaendi muda mwingi natumia kuwaza haya tu😭😭 kazi zimesimama nakonda na ulaji wangu umekuwa sio mzuri kabisa😭
Huyo mwanamke hakupendi achana naye
 
Back
Top Bottom