Kilikukuta kitu,Sasa usiombe akajakukupa limbwata halafu akakuacha bado linafanya kazi!..
Mimi mpaka nilionaga nyotanyota..😂
unaoaje mwanamke anayeamini ushirikina hadi anakutamkia.Mguu sawa, kabla hujamuoa make sure unamuwahi katika meza ya ufundi.
[emoji1]tuishi nao kwa akiliMkuu mim leo tu nmekuta wamama wanaongea wanasema mwanaume akinizingua tu na muuwa maana sio ndugu dadekii[emoji848]
Big mistake[emoji4][emoji106]Mwanaume unaanzaje kupenda mpaka mwanamke anajua[emoji28][emoji28][emoji28].,
Anaweza kukurogea hata kwa mbunye ukachanganyikiwa, tabia nzuri, sura nzuri, sauti nzuri nk . Siyo lazima uchawiTupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.Leo wakati tunapiga story kaniuliza,Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu,mpka sasa najiuliza maswali yafuatayo:
1.Huyu kweli anaweza kuniroga?
2.Hili kabila la WANYATUZU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?
3.Nadate na mchawi?
4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?
Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.
Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool