Mpenzi wangu kesho Agosti 9, 2024 anaenda Urusi kusoma, nimegundua kumbe nampenda

Mpenzi wangu kesho Agosti 9, 2024 anaenda Urusi kusoma, nimegundua kumbe nampenda

Kujichoresha tu hapa....he is nothing
Mkuu nijichoreshe kivipi, kuna mtu yeyote humu ananifahamu au tunafahamiana nae?. Wewe mkuu mbona ulileta picha yako humu kwa lengo la matangazo na bahati nzuri we ni single mother ambae ni mbovu hukuona kama wajichoresha?.

Tuwekee threads nyingine upost picha zako ambazo sio za kujichoresha.
 
Mkuu anaenda Kusomea UJASUSI WA KIVITA NA KIDOLA au? maana siyo kwa purukushani kwenye hyo nchi na hali ya Kisiasa na Kijamii kwa nini asingeenda hata nchi yenye Amani?
 
Kwahiyo mkuu unakaa kumsubiri mchuchu wako?🤔
 
Uzuri wanaume wa kirusi hawana time na dada zetu kabisa, yaani katika mia, mmoja tu ndio anaweza kuwatamani/kutongoza mswahili.

Hspo jihakikishie gf wako kumegwa na mwafrika mwenzako, mghana, Mnigeria, Mkenya au mbongo mwenzako. That's a fact!
 
Uzuri wanaume wa kirusi hawana time na dada zetu kabisa, yaani katika mia, mmoja tu ndio anaweza kuwatamani/kutongoza mswahili.

Hspo jihakikishie gf wako kumegwa na mwafrika mwenzako, mghana, Mnigeria, Mkenya au mbongo mwenzako. That's a fact!
Hao wamatumbi wengi wao wanamaisha magumu.
 
Hao wamatumbi wako wengi wao wanamaisha magumu.
Wengi wanatafuta white pussies, ila wapo baadhi wanapenda kudate african girls. Wabongo wengi wakienda majuu wanatafuta pussies za kizungu ili kurahisisha maisha yao huko.
 
Wengi wanatafuta white pussies, ila wapo baadhi wanapenda kudate african girls. Wabongo wengi wakienda majuu wanatafuta pussies za kizungu ili kurahisisha maisha yao huko.
Ngoja tuone litakalotokea, lolote litakalokuja ntalipokea. Maana madem nao huwa wakienda nchi zawatu wanakua malimbukeni.
 
Aiseee nilikua namsumbua na kumchukulia poa, lakini siku yakesho anaondoka kwenda Urusi kusoma, nimeanza hisi simanzi na upweke moyoni mwangu.

Nimegundua kumbe huyu binti nampenda, inaniuma natamani asiondoke lakini ndio haiwezekani.
Chai
 
Back
Top Bottom