Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Wewe ndio kipimo chetu humu JF cha kupima watu waandikije Ili wawe kama wanaume au mabinti.
Hongera mkuu.
Kaza mwanaume wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio kipimo chetu humu JF cha kupima watu waandikije Ili wawe kama wanaume au mabinti.
Hongera mkuu.
Kujichoresha tu hapa....he is nothingAnapenda utelezi tu huyo, hana lolote.
Waachane tu kwa amaniMkuu hapo hamna tiba, akubali tu yaishe
Huo umbali wa kijiografia, na haswa kimuda utaleta majanga tu
Mkuu nijichoreshe kivipi, kuna mtu yeyote humu ananifahamu au tunafahamiana nae?. Wewe mkuu mbona ulileta picha yako humu kwa lengo la matangazo na bahati nzuri we ni single mother ambae ni mbovu hukuona kama wajichoresha?.Kujichoresha tu hapa....he is nothing
Hao wamatumbi wengi wao wanamaisha magumu.Uzuri wanaume wa kirusi hawana time na dada zetu kabisa, yaani katika mia, mmoja tu ndio anaweza kuwatamani/kutongoza mswahili.
Hspo jihakikishie gf wako kumegwa na mwafrika mwenzako, mghana, Mnigeria, Mkenya au mbongo mwenzako. That's a fact!
Natafuta mchepuko kwanza, kisha mbele ya safari tutaona.Kwahiyo mkuu unakaa kumsubiri mchuchu wako?🤔
Wengi wanatafuta white pussies, ila wapo baadhi wanapenda kudate african girls. Wabongo wengi wakienda majuu wanatafuta pussies za kizungu ili kurahisisha maisha yao huko.Hao wamatumbi wako wengi wao wanamaisha magumu.
hahahahaMkuu nijichoreshe kivipi, kuna mtu yeyote humu ananifahamu au tunafahamiana nae?. Wewe mkuu mbona ulileta picha yako humu kwa lengo la matangazo na bahati nzuri we ni single mother ambae ni mbovu hukuona kama wajichoresha?.
Tuwekee threads nyingine upost picha zako ambazo sio za kujichoresha.
Kaondoka Saa 12 kamili asubuhi.Vipi ameshaenda au bado
Pole sana, msubirie tuKaondoka Saa 12 kamili asubuhi.
Ngoja tuone litakalotokea, lolote litakalokuja ntalipokea. Maana madem nao huwa wakienda nchi zawatu wanakua malimbukeni.Wengi wanatafuta white pussies, ila wapo baadhi wanapenda kudate african girls. Wabongo wengi wakienda majuu wanatafuta pussies za kizungu ili kurahisisha maisha yao huko.
ChaiAiseee nilikua namsumbua na kumchukulia poa, lakini siku yakesho anaondoka kwenda Urusi kusoma, nimeanza hisi simanzi na upweke moyoni mwangu.
Nimegundua kumbe huyu binti nampenda, inaniuma natamani asiondoke lakini ndio haiwezekani.