FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Haufai, udi unafukiza kidogo kuwe na harufu nzuri.vipi Udi unafaa kuvuta??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haufai, udi unafukiza kidogo kuwe na harufu nzuri.vipi Udi unafaa kuvuta??
Najuwa huyo ni demu wako ila ukichinguza vizuri utakuta na yeye pia ana demu wake.Watu wa kaskazini hiyo ni kawaida.Naomba nitoe sifa za huyu dada jinsi alivyo ili mnapotoa ushauri mjue ni mtu wa aina gani ninadeal nae.
◆Anakunywa sana pombe, apa simlaumu kwa kuwa ni asili ya watu wa kaskazini.
◆anabandika kucha zile ndefu, anavaa vikuku, kaweka kipini puani.
◆kaumbwa kaumbika, nimewahi kuleta uzi humu jinsi nilivokumbana na changamoto baada ya mkuu flani wa mkoa na waziri kutaka kunipindua kwenye jimbo.
Mwisho kabisa ni mbishi, anapenda kusimamia anachokiamini. Iyo hali imesababisha kutiana kwenye block mara kwa mara ila baada ya muda tunarudiana.
pisi za chuga nina experience nazo sana kwenye suala la mapenzi.Najuwa huyo ni demu wako ila ukichinguza vizuri utakuta na yeye pia ana demu wake.Watu wa kaskazini hiyo ni kawaida.
Onge na wazazi wake waeleze just ya tabia ya mwanae au kak ake au dada zake waambie kuwa tabia hzo imenifanya niogope kumuoa
uyo mama kijacho nimeshagharamika sana apo ndio maana ata yeye kaamua kunibless mtoto, kiufupi haikuwa rahisi mpaka leo tunaitana haniii.!!😅[emoji23][emoji1][emoji23] Mkuu mwenyewe umesema ulimuweka katika list ya vipozeo imekuwa vipi mpka ukawa unashindwa kuacha kuifinyia kwa Ndani wamikoani mna Taabu sana
Wewe pia unavuta Bangi?uyo mama kijacho nimeshagharamika sana apo ndio maana ata yeye kaamua kunibless mtoto, kiufupi haikuwa rahisi mpaka leo tunaitana haniii.!![emoji28]
Wavuta bangi wanakuwaga na utetezi wa kijinga sana, utasikia hata viongozi wakubwa wa serikali wanavuta,kifupi bangi haijawahi muacha mtu salama.Kiumbe aliyepo tumboni lazima imuathiri kwa ulevi huo, ni bora aache.
Bangi kitu mbaya sana. Kaka yangu kapoteza malengo ya maisha kwasababu ya matumizi ya Bangi na sigara
Mxiewww 🤣🤣🤣🤣Najuwa huyo ni demu wako ila ukichinguza vizuri utakuta na yeye pia ana demu wake.Watu wa kaskazini hiyo ni kawaida.
Kuna sister mmoja yeye alikuwa mpangaji kwetu. Alikuwa mjamzito na alikuwa anakunywa sana pombe tena kali hizi.
In the end alipata miscarriage. Nae pia alikuja kufa kwa ajali ya toyo akitokea kwenye harakati zake za pombe. Sadly ameacha watoto wawili wakike mmoja alipata ulemavu (5 years old) kwakuwa alikuwepo kwenye hiyo ajali na dada yake ana 10 years.
RIEP Sophia.
Science ya wapi hii?Tatizo lipo kwenye hizo fegi na pombe... Kuhusu Jani sidhani kama litakua na madhara Kwa mtoto, labda kama anakula mixer na sio dry....
Hao wazazi ataongea nao vipi wakati wamechukuana sogea tuishiOnge na wazazi wake waeleze just ya tabia ya mwanae au kak ake au dada zake waambie kuwa tabia hzo imenifanya niogope kumuoa