Mpenzi wangu ni mjamzito ila kagoma kuacha kuvuta bangi

Mpenzi wangu ni mjamzito ila kagoma kuacha kuvuta bangi

Mwanamke yeyote anayevuta mabange au aliyewahi kuvuta ana historia chafu huko nyuma yake, aidha kipindi anaanza kuivuta au alipokuwa kwenye muendelezo wa kuivuta mpaka kuizoea.

Huenda alikuwa na mwanaume muhuni sana ambaye alimfanya aingie kwenye huo mkumbo au alikuwa kundi bovu na baya la namna hiyo. Utakuta mwanamke mmoja, wanaume wanne mpaka saba wamemzunguka wanavuta nae... akishalewa akili inachachamaa na kuwa sio yake tena..., utakuta wahuni wanamkung'uta gangbang, tena both holes! Au wakishalewa mabange na bwana wake ni mwendo wa kuchakatana siku nzima!

Mpaka ukishamuona mwanamke kakubuhu kwenye hayo mabange ujue ana historia chafu nyuma yake.

Ulifanya makosa hata ya kuwa na mahusiano na mwanamke wa namna hiyo, au huenda wote ni watumiaji wa hayo matakataka
 
Habari za sahizi keyboard masters..

Ni muda sasa nimekuwa kwenye mahusiano na huyu mrembo kutoka huko kaskazini, tulikutana chuo tukiwa classmates ila rasmi mahusiano yetu yalianza tukiwa mwaka wa pili semester ya kwanza.

Kipindi chote hicho sikuwahi kugundua kuwa anatumia sigara wala bangi zaidi ya pombe ambazo tulikuwa tunakunywa pamoja ila ghafla tu tulivyorudi chuo semester ya pili nilienda kumtembelea kwake bila taarifa nikashangaa kumkuta anavuta sigara tena kashikilia pakiti nzima ya Winston Sports.

Sikuongea kitu nikaamua kuondoka badae akanitumia meseji ndefu ya kuniomba msamaha kwa kunificha kipindi chote hiko ila akasisitiza hawezi kuacha hiyo tabia na mimi nikaona isiwe kesi ila nikamuweka kwenye list ya wanawake wa kujipigia pasina kuwa na malengo yoyote ya ndoa huko mbeleni.

Kipindi chote hicho yupo mjamzito nimekuwa nikimsititiza kupunguza matumizi ya pombe na kuacha kuvuta bangi na sigara akanambia kuwa kaacha sigara ila bangi hawezi kuacha kwa kuwa anaamini haina madhara.

Sasa wajuvi wa mambo naomba kujua kama kweli bangi haina madhara kwa mtoto au la na kama ina madhara naombeni ushauri nitumie mbinu gani kumshawishi aache kutumia.

Natanguliza shukrani
Unatafuta attention nimekustukia mwamba[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kaskazini bangi muhimu kwa wengi.
Kwa mara ya kwanza, mtoto mrembo kama malaika...akafunguka kuwa..." samahani D naomba kukiri hili kuwa nimekuficha hili muda mrefu...natumia majani"

Nilhilisi giza nene
Ulichukua maamuzi gani mkuu?
Binafsi mwanamke mnywaji pombe na mvuta hayo madude sioni kama anafaa kuwa mama bora. Yaani kwa kampani ni sawa tu, ila kuwa mke na mama watoto, mwanamke akiwa mnywa pombe sio kabisa.
 
Mfalme eeeeh,huyo ndio mwanamke sasa,yupo real kinyama,kama humtaki nigee mawasiliano yake nimpeleke sober aache halafu nikurudie dem wako
 
Ulichukua maamuzi gani mkuu?
Binafsi mwanamke mnywaji pombe na mvuta hayo madude sioni kama anafaa kuwa mama bora. Yaani kwa kampani ni sawa tu, ila kuwa mke na mama watoto, mwanamke akiwa mnywa pombe sio kabisa.
Sliacha, but baadae nilimpiga chini pia...nikaokoka😅
 
Asante kwa ushauri mkuu ila % kubwa ya wanawake wa kaskazini especially huyu wangu hawana muda wa kujali vitu kama ivo. kwa sasa yupo mkoani kwao mimi nipo Dar, almost kila wiki namwekea hela kwenye akaunti yake

Ni vizuri ila Hela hailei mke wala mtoto,Kama unakaa kwako acha aje Dar kwako,Ushakua baba sasa huna haja ya kuishi mwenyewe hapo utajua kwa undani tabia zake na ujue utaanzia wapi kumuweka sawa. Naamini hofu yako ni kwa mtoto wako tumboni.
 
Womb.

_20231015_121933.JPG
 
Muombee dua Sana ajifungue salama huko kaskazini kumejaa mademu wabovu Sana mfanye huyo demu wako awe GOD fearing tumia njia za kumpa ushauri wenye kumjenga siunajua kuzaa na mvuta bangi sio powah Mdomo unakua unanuka uchafu Sana .


Usimchukie mtie moyo Sana maana huyo ni victim
 
Mleta mada unashangaa suala la bangi arusha, uko bangi ni kawaida sana so uyo shemeji yetu sidhani kama atakuja kuacha matumizi ya mjani
 
Sikuongea kitu nikaamua kuondoka badae akanitumia meseji ndefu ya kuniomba msamaha kwa kunificha kipindi chote hiko ila akasisitiza hawezi kuacha hiyo tabia na mimi nikaona isiwe kesi ila nikamuweka kwenye list ya wanawake wa kujipigia pasina kuwa na malengo yoyote ya ndoa huko mbeleni.
Hukutumia kinga. Kwanini?
 
Wavuta bangi wanakuwaga na utetezi wa kijinga sana, utasikia hata viongozi wakubwa wa serikali wanavuta,kifupi bangi haijawahi muacha mtu salama.
Kaka yangu kaharibikiwa sana maisha yake hayaeleweki sababu ya kuvuta Bangi. Mbaya sana Bangi haifai. Utetezi wake ni kama hivo hivo unavosema......utasikia mbona hata kiongozi fulani mkubwa serikalini anavuta Bangi!!?

Eti hata Bob Marley alikuwa maarufu duniani sababu ya kuvuta Bangi. Wakati huo mtu Hana maisha yyt ni hana mbele Wala nyuma kisa bangi
 
Habari za sahizi keyboard masters..

Ni muda sasa nimekuwa kwenye mahusiano na huyu mrembo kutoka huko kaskazini, tulikutana chuo tukiwa classmates ila rasmi mahusiano yetu yalianza tukiwa mwaka wa pili semester ya kwanza.

Kipindi chote hicho sikuwahi kugundua kuwa anatumia sigara wala bangi zaidi ya pombe ambazo tulikuwa tunakunywa pamoja ila ghafla tu tulivyorudi chuo semester ya pili nilienda kumtembelea kwake bila taarifa nikashangaa kumkuta anavuta sigara tena kashikilia pakiti nzima ya Winston Sports.

Sikuongea kitu nikaamua kuondoka badae akanitumia meseji ndefu ya kuniomba msamaha kwa kunificha kipindi chote hiko ila akasisitiza hawezi kuacha hiyo tabia na mimi nikaona isiwe kesi ila nikamuweka kwenye list ya wanawake wa kujipigia pasina kuwa na malengo yoyote ya ndoa huko mbeleni.

Kipindi chote hicho yupo mjamzito nimekuwa nikimsititiza kupunguza matumizi ya pombe na kuacha kuvuta bangi na sigara akanambia kuwa kaacha sigara ila bangi hawezi kuacha kwa kuwa anaamini haina madhara.

Sasa wajuvi wa mambo naomba kujua kama kweli bangi haina madhara kwa mtoto au la na kama ina madhara naombeni ushauri nitumie mbinu gani kumshawishi aache kutumia.

Natanguliza shukurani
mtafutia na mirungi ainjoy zaid
 
Back
Top Bottom