Mpenzi wangu ni mjamzito ila kagoma kuacha kuvuta bangi

Mpenzi wangu ni mjamzito ila kagoma kuacha kuvuta bangi

Habari za sahizi keyboard masters..

Ni muda sasa nimekuwa kwenye mahusiano na huyu mrembo kutoka huko kaskazini, tulikutana chuo tukiwa classmates ila rasmi mahusiano yetu yalianza tukiwa mwaka wa pili semester ya kwanza.

Kipindi chote hicho sikuwahi kugundua kuwa anatumia sigara wala bangi zaidi ya pombe ambazo tulikuwa tunakunywa pamoja ila ghafla tu tulivyorudi chuo semester ya pili nilienda kumtembelea kwake bila taarifa nikashangaa kumkuta anavuta sigara tena kashikilia pakiti nzima ya Winston Sports.

Sikuongea kitu nikaamua kuondoka badae akanitumia meseji ndefu ya kuniomba msamaha kwa kunificha kipindi chote hiko ila akasisitiza hawezi kuacha hiyo tabia na mimi nikaona isiwe kesi ila nikamuweka kwenye list ya wanawake wa kujipigia pasina kuwa na malengo yoyote ya ndoa huko mbeleni.

Kipindi chote hicho yupo mjamzito nimekuwa nikimsititiza kupunguza matumizi ya pombe na kuacha kuvuta bangi na sigara akanambia kuwa kaacha sigara ila bangi hawezi kuacha kwa kuwa anaamini haina madhara.

Sasa wajuvi wa mambo naomba kujua kama kweli bangi haina madhara kwa mtoto au la na kama ina madhara naombeni ushauri nitumie mbinu gani kumshawishi aache kutumia.

Natanguliza shukurani
Homie your future baby mama is a STONER…you are doomed my brother….
 
Mojawapo ya Madhara ya bangi kwa mtoto aliye tumboni ni kwamba Mtoto atakuwa na uwezo mdogo mno wa kuweka kumbukumbu kichwani na pia atakuw na uwezo hafifu wa Kukariri anachofundishwa,

Kiufupi jiandae kuzaa kilaza wa Kutupa na Huyo mwanamke wako,

ingekuwa mimi ndo Mchumba wake nngeshamchanganyia Dawa za kutoa mimba kweny Chai.
 
Mwanamke yeyote anayevuta mabange au aliyewahi kuvuta ana historia chafu huko nyuma yake, aidha kipindi anaanza kuivuta au alipokuwa kwenye muendelezo wa kuivuta mpaka kuizoea.

Huenda alikuwa na mwanaume muhuni sana ambaye alimfanya aingie kwenye huo mkumbo au alikuwa kundi bovu na baya la namna hiyo. Utakuta mwanamke mmoja, wanaume wanne mpaka saba wamemzunguka wanavuta nae... akishalewa akili inachachamaa na kuwa sio yake tena..., utakuta wahuni wanamkung'uta gangbang, tena both holes! Au wakishalewa mabange na bwana wake ni mwendo wa kuchakatana siku nzima!

Mpaka ukishamuona mwanamke kakubuhu kwenye hayo mabange ujue ana historia chafu nyuma yake.

Ulifanya makosa hata ya kuwa na mahusiano na mwanamke wa namna hiyo, au huenda wote ni watumiaji wa hayo matakataka
Mkuu umeongea point ila hii imenifikirisha sana kutokana na mimi nimezaliwa na kukulia kitaa fulani huku kaskazini ambacho hicho kitaa ni full marijuana na pombe kwa sana....

Yaani hadi nikiwa naenda shuleni nikikaa tu darasani, walimu full kuniandama kwamba haya wewe unaetokea mitaa fulani jibu hili swali???😅 watoto wote darasani wanajeuka wananiangalia, ofcourse nilichukuliwa tofauti sana kutokana na historia ya kwetu, imagine kwenye nyumba ya kwetu mateja kibao kwa wakati huo.... gari ya polisi muda wowote ni king'ora 😅😅

Unakuwa ushamulikwa kwa style fulani mbaya kumbe sikuwahi kuwa hivo hata, utasikia yule nani alizaliwa nao, sijui anamoka shada, sijui anachanja gomba, mara anaufirauni mwingi, mwisho wa siku siyajui hayo.

Umeandika kwa hisia sana....matukio ya ajabu ajabu yapo lakini si kila demu anashindwa kubadilika, wengi wanakujaga kubadilika ila unashangaa hashiki mimba, au ashaugua AIDs (nina dada ambaye ni ndugu, kapata bwana vizuri na katulia afu matokeo yake sasa ndo haya).

Mwisho Mihadarati sio mizuri.
 
Kuna sehemu nilifanya kazi siku nikaja kushtuka ofisi nzima wanakula ndumu kuanzia boss, hr, na wengine watu wa kazikazini wanapenda sana mmea sio wanawake sio wanaume

Alafu Mwanamke akiwa anakula mmea hua issue zinahamia nyuma anatamani hata asukumiziwe kigunzi
 
Habari za sahizi keyboard masters..

Ni muda sasa nimekuwa kwenye mahusiano na huyu mrembo kutoka huko kaskazini, tulikutana chuo tukiwa classmates ila rasmi mahusiano yetu yalianza tukiwa mwaka wa pili semester ya kwanza.

Kipindi chote hicho sikuwahi kugundua kuwa anatumia sigara wala bangi zaidi ya pombe ambazo tulikuwa tunakunywa pamoja ila ghafla tu tulivyorudi chuo semester ya pili nilienda kumtembelea kwake bila taarifa nikashangaa kumkuta anavuta sigara tena kashikilia pakiti nzima ya Winston Sports.

Sikuongea kitu nikaamua kuondoka badae akanitumia meseji ndefu ya kuniomba msamaha kwa kunificha kipindi chote hiko ila akasisitiza hawezi kuacha hiyo tabia na mimi nikaona isiwe kesi ila nikamuweka kwenye list ya wanawake wa kujipigia pasina kuwa na malengo yoyote ya ndoa huko mbeleni.

Kipindi chote hicho yupo mjamzito nimekuwa nikimsititiza kupunguza matumizi ya pombe na kuacha kuvuta bangi na sigara akanambia kuwa kaacha sigara ila bangi hawezi kuacha kwa kuwa anaamini haina madhara.

Sasa wajuvi wa mambo naomba kujua kama kweli bangi haina madhara kwa mtoto au la na kama ina madhara naombeni ushauri nitumie mbinu gani kumshawishi aache kutumia.

Natanguliza shukurani
Rusha picha yake WhatsApp 0758245175 tumthaminishe kwanza
 
Mkuu umeongea point ila hii imenifikirisha sana kutokana na mimi nimezaliwa na kukulia kitaa fulani huku kaskazini ambacho hicho kitaa ni full marijuana na pombe kwa sana....

Yaani hadi nikiwa naenda shuleni nikikaa tu darasani, walimu full kuniandama kwamba haya wewe unaetokea mitaa fulani jibu hili swali???😅 watoto wote darasani wanajeuka wananiangalia, ofcourse nilichukuliwa tofauti sana kutokana na historia ya kwetu, imagine kwenye nyumba ya kwetu mateja kibao kwa wakati huo.... gari ya polisi muda wowote ni king'ora 😅😅

Unakuwa ushamulikwa kwa style fulani mbaya kumbe sikuwahi kuwa hivo hata, utasikia yule nani alizaliwa nao, sijui anamoka shada, sijui anachanja gomba, mara anaufirauni mwingi, mwisho wa siku siyajui hayo.

Umeandika kwa hisia sana....matukio ya ajabu ajabu yapo lakini si kila demu anashindwa kubadilika, wengi wanakujaga kubadilika ila unashangaa hashiki mimba, au ashaugua AIDs (nina dada ambaye ni ndugu, kapata bwana vizuri na katulia afu matokeo yake sasa ndo haya).

Mwisho Mihadarati sio mizuri.
Pole sana kwa historia yako, ila naamini ulifanikiwa kupiga hatua maishani mwako... shukuru mungu na wazazi wako pamoja na walimu waliokumulika na kukuandama mara zote lakini kumbe walikuwa wanakuamsha mapema uyaogope na kuyachukia hayo mambo.

Mademu wazuri wanaovuta mabangi wana historia chafu sana nyuma. Na waliochangia kuwaingiza huko ni wanaume zao wa hovyohovyo wanaowachaguaga.

Wanadanganywa kuwa mwanaume mvuta bangi show yake sio mchezo ndomana ni rahisi kudanganyika, na ni kweli mvuta bangi akikuchukulia mke au demu sahau! Ila tambua kwamba huyo mwanamke ana possibility kubwa ya kuingia huko na kuharibikiwa.
 
stoner kwa kiswahili ni nini?
Mvutaji wa madawa ya kulevya laopitiliza sanasana bangi. Hatukatai watu kuvuta bangi ila sasa kwa mama mjamzito si ni noma mkuu au nasema uongo ? …me sio daktari ila sidhan kama ni sawa .
 
Pole sana kwa historia yako, ila naamini ulifanikiwa kupiga hatua maishani mwako... shukuru mungu na wazazi wako pamoja na walimu waliokumulika na kukuandama mara zote lakini kumbe walikuwa wanakuamsha mapema uyaogope na kuyachukia hayo mambo.

Mademu wazuri wanaovuta mabangi wana historia chafu sana nyuma. Na waliochangia kuwaingiza huko ni wanaume zao wa hovyohovyo wanaowachaguaga.

Wanadanganywa kuwa mwanaume mvuta bangi show yake sio mchezo ndomana ni rahisi kudanganyika, na ni kweli mvuta bangi akikuchukulia mke au demu sahau! Ila tambua kwamba huyo mwanamke ana possibility kubwa ya kuingia huko na kuharibikiwa.
This is fact watoto kwa vijana wanavijitabia vichafu sana mkuu, mbaya zaidi wamepotea kabisa.
 
Kaskazini bangi muhimu kwa wengi. Kwa mara ya kwanza, mtoto mrembo kama malaika akafunguka kuwa..." samahani D naomba kukiri hili kuwa nimekuficha hili muda mrefu natumia majani"

Nilhilisi giza nene:
Mabinti wa kaskazini kwa ganja wanaongoza, tena utakuta mpole kama mdogo wa Yesu
😃😃
 
Bora wewe wa kwangu ana mimba ya miezi minne jioni hii nmemwacha home anakunywa smart gin mixer na more energy na pua zake kageuza eksozi ya roli anafuka Moshi wa master sm. Kwa kweli Kuna wanawake ni sikio la kufa nmeongea mpaka nmechoka. Jamani mungu anusuru mapacha wangu wazaliwe salama tu.
 
Bora wewe wa kwangu ana mimba ya miezi minne jioni hii nmemwacha home anakunywa smart gin mixer na more energy na pua zake kageuza eksozi ya roli anafuka Moshi wa master sm. Kwa kweli Kuna wanawake ni sikio la kufa nmeongea mpaka nmechoka. Jamani mungu anusuru mapacha wangu wazaliwe salama tu.
Mkuu, mimi nimenyoosha mikono nimeamua kumuachia MUNGU 🙏
 
Back
Top Bottom