Ninaweza kuwa nimedanganya ila kutofika hata sate umenitukana kabisaπ π π π πWee hujafika hata sate.
Dada faiza huwa hakopeshiπ
Lia kwa niaba yake tu. πππππ Akasikilize hii nyimbo alie weee kukikucha atakua fresh.
Hata simkuli bhanaUnamlia vyake sio!! Si unajua navyokupenda bado nakuhitaji
Kabisa huyu dada ni kati ya watu nawapenda mno japo ana itikadi zakeππππ
Yeye si alikuwa anafanya utani? Mwenzake kafanya kweli,
Nimeumia sana ila nimefuata ushauri kukubali kushindwa.Hamuwezi mkaachana mwezi wa nane akaolewa mwezi wa kumi. Lazma alikua ana mahusiano hayo hata kabla hamjazinguana.
We mpe kila la heli ila atarudi anataka ushauri kuhusu ndoa yake π
Mno yani
Asee wakati nipo iringan nlimpata manzi wakuitwa kaundime nlitafuna sana ile manziTulia mkuu kipindi hiki akiliyako isopofanyakazi unajikuta nawewe unamtafuka kaundime unaoa ili ujipoze na hasira kumbe unaingia cha kike
π Naandika haya kulingana na comments zako za nyuma. We kumbuka wapi uliandika miaka yako na naamini hukudanganya.Ninaweza kuwa nimedanganya ila kutofika hata sate umenitukana kabisaπ π π π π
Mimi siwezi kudanganya nikiamua kusema, ila naweza kupotosha taarifa tuπ€£π Naandika haya kulingana na comments zako za nyuma. We kumbuka wapi uliandika miaka yako na naamini hukudanganya.
Muda ni tiba nzuri, atakua sawa na huenda akaanza kujishangaa alikua anateseka na nini.Lia kwa niaba yake tu. πππ
Lakini natumaini atakuwa poa kwa sababu kapewa mawazo mbalimbali yatamsaidia kubalansi na kuleta msawaziko wa mawazo
ππππMuda ni tiba nzuri, atakua sawa na huenda akaanza kujishangaa alikua anateseka na nini.