Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
🤣🤣🤣Basi kapata alichokikataa mi sijui km nae ni member nisingesumbuka kumshauri kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Basi kapata alichokikataa mi sijui km nae ni member nisingesumbuka kumshauri kabisa
Ha ha ha kwanini mkuu?Kila siku nawahusia vijana/wadogo wangu, mkipata nafasi ya kuwa single msiichezee......Ni nafasi adhimu na ya kujivunia sana mtu kuwa single. Sisi Kaka zenu tunajutia sana tuliichezea hiyo bahati sa hivi tunapambana na kila aina ya vituko.
😁😁😁Sogea hapa Nkuhungu, Ze Bistro tule bia mkuu
Bistro ndio kunawaka sasa
Wasi wasi ndiyo akili mkuu...ebu achana nae Kuna watoto wazuri kibao.....huyo angekusumbua kichwa tuNimeamini hivo, watakua walianza kujuana akiwa na mimi, sana sana mwaka huu 2024 coz kuna redflags nilianza kuziona ila nikajua najishtukia.
Ila dada una kipaji cha comedy basi tu hujijuagi. Nimecheka kwanguvu mpaka nahisi watu wananiona sio timamu loh 😅😅😅Unawapata wanuka mavi wenzio firaneni ikibidi mjipake kabisa
We unashangaa hilo. Mimi kuna huyo mmoja nilidumu for 2 years na tulikua na mipango ya kufunga ndoa na mpaka huku JF nilikuja kuomba ABC za ukoo wao kabla sijaingia kwenye ndoa.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Nna scenario kama ya kwako...kaolewa kwa mbwembwe Hadi picha ya kitanda Cha asali ya mwezi nikatumiwa....Sasa hivi Wana maugomvi Kila kukicha ni kukuta mgs za mme ananilalamikia kuwa namjaza mkewe Kwan hamuheshimu...na mbaya Zaid mke anacomplements mengi tuliofanya mazur huku akimpondea jamaa ..nlishawasihi mambo yao wamalize wenyew cz Sina mawasiliano yyte na huyo ex...Binti anakupenda bado
Pole sana kijana,utakuwa sawa.
Kijana ananitishia maisha na 'vima' watu wengine bhanaIla dada una kipaji cha comedy basi tu hujijuagi. Nimecheka kwanguvu mpaka nahisi watu wananiona sio timamu loh 😅😅😅
Dah aya maisha unaweza anza ongea peke yakoWe unashangaa hilo. Mimi kuna huyo mmoja nilidumu for 2 years na tulikua na mipango ya kufunga ndoa na mpaka huku JF nilikuja kuomba ABC za ukoo wao kabla sijaingia kwenye ndoa.
Baadae niliachana nae na akaolewa ndani ya mwaka mmoja na katika post yake ya ndoa aliandika after 10 years of relationship hatimae tumeoana. Can you imagine?
Sema 2009 to 2022 mbona ni muda mrefu sana aisee mkuuGanga yajayo Mkuu inauma sana, Kuna Binti nilijuana naye toka mwaka 2009 na tulikutana sehemu tofauti na tukajikuta tumetengeneza upendo kabisa. Upendo usio kuwa na chembe ya uoga. Na yeye alikuwa wa kwanza kunipeleka kwao na alikuwa anafosi sana niende. Aisee nilioneshwa heshima ya juu na Binti aliandaa chakula cha asili yetu Wanyantuzu, Makande yale magumu kama ugali. Mlenda na ugali wa dona na Mziwa wa Mtindi. Nikala na Mshua wake mezani, Aisee ile moment imechukua muda mrefu kunitoka. Cha kushangaza alipata kazi mkoa tofauti eeh na mawasiliano yakawa mabovu mara hapokei, mara anajibu kikauzu sana. Heeeh Mwaka 2022 Nov naona kwenye status yake Ameshakuwa Mrs Somebody. Wanawake wana mipango zaidi ya milion kichwani
Tulijuana hiyo 2009 yeye yuko form 3 na Mimi nilikuwa kazini watoto wa matajiri huwa wanakuwa na tour studies niliwapokea kule nilikokuwa miaka miwili tena akarudi mpaka alivyoenda chuoni tukawa na mawasiliano na mambo mengi sana yalipitaSema 2009 to 2022 mbona ni muda mrefu sana aisee mkuu
Aisee kitambo sana kama 2009 ulikuwa umeajiriwa mkuu wewe ni mbabu kabisa 🤣Tulijuana hiyo 2009 yeye yuko form 3 na Mimi nilikuwa kazini watoto wa matajiri huwa wanakuwa na tour studies niliwapokea kule nilikokiwa miaka miwili tena akarudi mpaka alivyoenda chuoni tukawa na mawasiliano na mambo mengi sana yalipita
🤣🤣🤣 Maisha ni kupambana aisee hebu pitia huu uziAisee kitambo sana kama 2009 ulikuwa umeajiriwa mkuu wewe ni mbabu kabisa 🤣
akichelewa niweke mm mkuuPole sana mwanangu
Mara nyingi kama sio mara zote ukiona mwanamke anamuacha mwanaume kwa style hiyo jua kuwa huyo mwanaume ana madhaifu makubwa mno. Kuna sehemu toka mwanzo ulikosea kwenye mahusiano yenu
Sio kesi hayo yatapita. Kuna sehemu nzuri kama upo tayari nikuweke
Mkuu kuna mambo mengine yaache tu, mimi nimeijua JF nikiwa 15 kipindi ambacho Internet haijakuwa kwa hivi ambavyo ilivyo leo, kuna mambo nilikuwa nagoogle na ikawa inanletea majibu mbalimbali kutoka JF.Asa kwanini unataka nikuamini wewe!??
Timeline ya JF inakataa .
Haiwezekani ujiunge hapa 2010 uwe below 35+..
Yani hiyo ni natural placement. Hutaki baki hivyo hivyo...
Wa 2006 mpaka na 9 hao ndo kabisa 43+.
It's natural placement kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na population gani kwa wakati gani had the access to cyber world.
Kweli mkuuThey always win, you should know that. They always win. Just let go.