Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mwanamke muda wake upo limited and calculated.

Hivyo wakati we unampa ahadi za kumuoa , anaweza kutokea MTU siku hiyo akatoa mahari na kumvisha Pete na kumuoa.

So usiwe too judgmental Kuwa kwanini umeachwa .

Hapo ni jufanya detachment na kushukuru .


Na Kama ulikuwa unampenda kweli hauwezi kusikia maumivu yoyote .

Maana MTU anayempenda lazima pia utapenda kuona na mafanikio yake.

Wewe haukufanikiwa kumuoa Ila wengine wamemuoa so nikumtakia ndoa njema .


Huo wivu unatokana na ile hali ya ubinafsi ya kujimilikisha MTU kitu ambacho sio sahihi.
Point
 
Mkuu Mad Max pole sana, wanawake ni watu wako makini kwa kujiwekea security , unaweza ukawa naye kwenye serious r/ship ila pembeni ana wanaume hata 5 kama back up plan yake incase lolote likitokea, kwa dunia ya leo ni bora kuwa na watoto tuu uwatunze vizuri, huku ukiomba neema ya Mungu akulinze wewe pamoja na watoto wako, Swala la ndoa kwa miaka hii sishauri kabisa.

Huyo demu wako ameonyesha wazi hakukaa kizembe.
 
Nachokiona mkuu,

Kiufupi upo 30's ambao ni umri wa kuwekeza katika mahusiano ya muda mrefu. Kwa hiyo ulimuona huyo kama ni mkeo kwa sababu hutaki kuhangaika tena..

Ndio maana Unajiuliza amekuacha, unaanzaje tena kutengeneza mahusiano strong ambayo utakuwa sure nayo kuingia katika ndoa. Unaona unachelewa zaidi

Lakini kikubwa ulimuamini kupitiliza kiasi alipanga mikakati yote pasipo wewe kuzidaka red flags za mapema. Na huo upendo na uaminifu wa kupitiliza ndio unakuumiza kupitiliza kwa sababu ulifanywa mjinga kirahisi na binti uliyemzidi almost ten years..

Ila mkuu jaribu tu kuwaelewa wanawake especially wa umri huo ambao huwa katika race ya kupata ndoa za mapema ili kuepuka kuja kuchekwa at 30's kwa kukosa ndoa. Akili zao huwa na mapepe ya kunusa fursa na sio uwekezaji unaouna.


Najua kwa sasa unaumia sana kiasi cha kutaka kumuumiza ili upate ahueni lakini amini haitokusaidia kitu na mbaya zaidi unaweza ishi na guilty ya kuharibu maisha yake especially kama atajidhuru. Mkuu kaza moyo maana maumivu hayadumu, baada ya muda yataapoa.. Focus on your next moves kaka and pole sana
 
Asa kwanini unataka nikuamini wewe!??

Timeline ya JF inakataa .
Haiwezekani ujiunge hapa 2010 uwe below 35+..
Yani hiyo ni natural placement. Hutaki baki hivyo hivyo...
Wa 2006 mpaka na 9 hao ndo kabisa 43+.
It's natural placement kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na population gani kwa wakati gani had the access to cyber world.
Hizi hesabu zako za kihasibu kama za OKW BOBAN SUNZU nazipinga, first time naijua jf ilikuwa 2009, rasmi nilijunga jf 2011 na hadi sasa nipo bellow 30. Na hapo niliijua jf kupitia primary classmate ambae hatujapishana umri, miaka hiyo alikuwa na blackberry aliletewa kutoka amerika, kila nikiishika nakuta yupo jf na ndio ukawa mwanzo wa mimi kuvutiwa na kutaka kuijua jf.

Kwa namna hiyo inawezekana mleta bandiko ni miongoni mwa members waliojiunga jf wakiwa wadogo kiumri.
 
Mkuu Mad Max pole sana, wanawake ni watu wako makini kwa kujiwekea security , unaweza ukawa naye kwenye serious r/ship ila pembeni ana wanaume hata 5 kama back up plan yake incase lolote likitokea, kwa dunia ya leo ni bora kuwa na watoto tuu uwatunzs vizuru, huku ukiomba neema ya Mungu akulinze wewe pamoja na watoto wako, Swala la ndoa kwa miaka hii sishauri kabisa.

Huyo demu wako ameonyesha wazi hakukaa kizembe.
Maisha ya sasa ni kuviziana. Kuna wanawake waliwavumilia wanaume kwa miaka hata 8 Ila wakaachwa na akaolewa mwingine

Kuna wanaume wanadumu hata mitano Ila wakaachwa kama mad Max

Sema hii issue hasara huwa inaegamia kwa wanawake kama wakicheleweshwa hadi 30's au wakazalishwa na kuachwa. Huwa ni ngumu kupata ndoa Ila kwa mwanaume hata 40's unaoa kwa sababu ya kuwa na maamuzi ya mwisho. Ila mwanamke anategeshea maamuzi ya mwanaume ndio maana wengi huwa na wengi ili atakaetoa ombi la kuoa, anapita nae hata kama hampendi
 
Acha nikuibie siri, mimi kuna mtoto nilimwacha ila sasa kanona , ikabidi mpaka nimblock wasp yake alikua ananirusha roho kinyama, na mimi nilivyo na kiburi nikawa sijigusi hata, ila akazidisha nikamlima kadi nyekundu chap😅😅😅
Sikazii
 
Kama una access ya anapoishi au kuonana nae physically, ntakupa mbinu ya kisayansi kurevenge Kwa alichokufanyia.

Na itasababisha mwamba aliemchukua kushindwa kbs kuishi nae, kiufupi atamkimbia.

Na kwasababu upo, only option atakayobaki nayo ni kurudi tu kwako.
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Asa wewe unachoumia nn apo😆kakupa ukwer
 
Tatizo la wanaume wengi ni scarcity mindset kwamba nikimpoteza huyu itakuwaje.

Hii inawatesa sana wanaume wengi kiasi kwamba wanapuuzia red flags na kufanya maisha na wanawake wa hovyo

Remember an ex is an ex for a reason, whatever happened before it will happen again

Utazoea mwanzo mgumu. Usipanick, usikurupuke kuoa ili kurudisha mapigo

Wanawake wapo wengi sana imagine kuna wanawake bilioni 4 duniani. Hebu jiulize; Yeye ni nani kati ya hao?

She ain't special at all, kill your scarcity mindset or else it will ruin you

Learn or perish
 
Maswala ya unyonge yashapitwa na wakati.

Ukipiga Kofi la kushoto,
hatukugeuzii shavu la kulia.

Tunakupiga ngumi ya uso,
Tunasindikizia na teke la shingo
Kwenye situation kama hizo hakuna jibu zuri kama ukimya. Mtu yoyote anaetaka uumie kwa kukudhihirishia wazi wazi inamaanisha bado anakukubali hivyo, usipompa reaction inamtesa sana kuliko kitu chochote kiakili. Mad alikosea kumjibu. Angemuacha tu
 
😅 umenikumbusha bana niliwahi toa chozi
Ile nyimbo ya harmonize x diamond called BADO, ile scene diamond yuko bafuni sjui anaoga huku analamika na choz juu, ndio mimi sasa nil apply😂, ila now hyo manz kazaa tu bila ndoa yuko kwao kwa mama ake, kaz kuni vibom vya buku vya vocha, mara aniite kaka niende nikamwangalia mwanae... Ila maisha🙌
 
Back
Top Bottom