toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Sina hamu nao!!!!!
Kumbe vodacom Tanzania wezi kiasi hicho,nilipanga kufanya manunuzi mtandaoni kwa kutumia mpesa,loo! sasa wamenikosa acha wakae na wizi wao.Ngoja nijaribu Airtel.