Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Familia ya Panya hiyo kuanzia babu baba mama watoto mashemeji makaka na madada wote ni imagine unanunua umeme unakatawa makodi yote yale na tozo juu halafu kuna miamba inalipwa bilioni 350 bila tone la makato,,,, na hawaoni aibu wapo tu wanakomaa na skafu zao na wanajiita wazalendo.Mbunge Luhaga Mpina amehoji ni kwa nini kampuni ya Symbion ililipwa pesa zaidi ya bilioni Mia tatu bila kutozwa kodi ya Serikali...
Namkumbuka Rais Obama pale ubungo kwenye hiyo mitambo akiuchezea mpira kwa kichwa na Jk akiwa karibu yake akifurahia kweri kweri. !! Halafu hapa hizi juzi nikamuona tena Obama yupo White House alipopewa nafasi ya kuongea akamtaja Biden - vice president Biden - audience waliokuwepo wakacheka sana naye akasema oh huo ni utani tu tulikuwa tumeupanga 😂😂😂 ! Dunia hii ina mambo mengi ya ajabu ajabu ! Mengine huwa yanatokea kama coincidence tu !!Mbunge Luhaga Mpina amehoji ni kwa nini kampuni ya Symbion ililipwa pesa zaidi ya bilioni Mia tatu bila kutozwa kodi ya Serikali?!
Amehoji pia ni kwa nini mkataba wa symbion uliokuwa unakoma 2015 ulihuishwa September 2015 bila kufuatwa taratibu na ajabu Serikali kwa uharaka ilikubali kuilipa Symbion Mei 2021 na bila kutozwa kodi?
Amehoji inakuwaje C.A.G ameshasema mkataba ule uliingiwa kimakosa na kwa nini aliyeuingia kimakosa hawajibishwi na matokeo yake Symbion amelipwa pesa za Watanzania maskini pasipo kufuatwa utaratibu?
CAG kaandika tuu ishu ya Kodi lakini swala ni kwamba je hayo malipo ya deni yalikuwepo kwenye bajeti ya 2020/21?Mbunge Luhaga Mpina amehoji ni kwa nini kampuni ya Symbion ililipwa pesa zaidi ya bilioni Mia tatu bila kutozwa kodi ya Serikali?!
Amehoji pia ni kwa nini mkataba wa symbion uliokuwa unakoma 2015 ulihuishwa September 2015 bila kufuatwa taratibu na ajabu Serikali kwa uharaka ilikubali kuilipa Symbion Mei 2021 na bila kutozwa kodi?
Amehoji inakuwaje C.A.G ameshasema mkataba ule uliingiwa kimakosa na kwa nini aliyeuingia kimakosa hawajibishwi na matokeo yake Symbion amelipwa pesa za Watanzania maskini pasipo kufuatwa utaratibu?
Mkataba ulisainiwa bila kufuata utaratibu wakati wa JK na malipo yalifanyika bila kufuata utaratibu awamu hii ambayo JK ana influence.Ungelimwambia fisadi kiongozi JPM awashughulikie ...
Kama Jk, jpm hawakuwagusa kelele kwa Samia hatutaki
Ww mapesa unae anzisha uzi wa Vitenge kila siku. Tuna omba umwambie Mama na Kipara kuwa huu Wizi haukubaliki. Hivi TISS kazi yao ni ipi?Mbunge Luhaga Mpina amehoji ni kwa nini kampuni ya Symbion ililipwa pesa zaidi ya bilioni Mia tatu bila kutozwa kodi ya Serikali?!
Amehoji pia ni kwa nini mkataba wa symbion uliokuwa unakoma 2015 ulihuishwa September 2015 bila kufuatwa taratibu na ajabu Serikali kwa uharaka ilikubali kuilipa Symbion Mei 2021 na bila kutozwa kodi?
Amehoji inakuwaje C.A.G ameshasema mkataba ule uliingiwa kimakosa na kwa nini aliyeuingia kimakosa hawajibishwi na matokeo yake Symbion amelipwa pesa za Watanzania maskini pasipo kufuatwa utaratibu?
hii nchi ina majivi mengi ndo maana JPM aliamua kuyang'ang'a pesa walizowaibia wananchi kwa njia ovu kama hizi halafu watu wanayatetea hayo majizi ni ajabu sana.hii nchi inatakiwa kuongozwa na dikteta ili ayakamate na kuyasweka ndani yaozee huko.Jamaa ana Uzalendo sana
Mh Mpina aluta continua !!Tunakuombea afya mpina
Duh !!Mkataba ulisainiwa bila kufuata utaratibu wakati wa JK na malipo yalifanyika bila kufuata utaratibu awamu hii ambayo JK ana influence.