Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nchi ina matatizo hii...! Hapana aisee!
Ni lini viongozi wetu wataumizwa na hali mbaya za watu wanaowaongoza
Wananchi wanakufa kisa wamekosa huduma bora hospitalini, Majii safi, njaa, ajali zinazosababishwa na miundombinu mibovu
Ni lini hawa viongozi wataanza kuthamini maisha ya wengine na kwamba pazia linalotuzinga Ni zile nafasi tu, lakini sote Ni binadamu na tuko sawa!!.
Ni Kwa nini tunapomkumbuka JPM kunakuwepo mashambulizi makali saana???
Ni lipi sasa kwenu mmefanya ili basi tumsahau mnayedhani hakufanya kitu?
Ndo kutuongezea mzigo wa kodi?
Ndo kutunyima maji na umeme?
Ndo kutuongezea malipo ya kuingiza umeme majumbani?
Aaaah! Semeni, ni lipi sasa?
Tulizoea kuona kila aliyehusishwa na wizi, alitumbuliwa na wengine kufikishwa mahakamani, Kwa sasa kinafanyika nini sasa.?
Magufuli hakugusa mwizi hata mmoja wa maana, alikua anadeal na vidagaa kwa kelele nyingi, lakini hakuna fisadi hata mmoja alimgusa. Kamkamata Singa na Rugemalira, lakini kawaacha wanasiasa wenzake ambao ndio walikuwa watoa maamuzi. Inshort alikuwa ni mpenda sifa za bei rahisi.