Mpina Anastahili Ulinzi, ni Mwanasiasa mkweli mwenye uthubutu na njia mbadala

Awindwe tuu CCM wote ni vibaka
 
Nani kilaza kati ya mpina mwenye gpa ya 2.1 na mwigulu mwenye gpa ya 4.6 udsm tena ya uchumi.
Uwezo wako wa kupambanua masuala unatia mashaka! Nakushauri utulie hata huko mtaani mwenye GPA ndogo na Kubwa Kuna wakati hawana tofauti na siyo ajabu ukakuta mwenye GPA ndogo anauwezo mkubwa wa kufikiria kuliko mwenye GPA kubwa.
 
Tutajie majina ya wawekezaji waliokimbia nchi, mwekezaji makini kama Bakhresa, Mengi Kampuni kama TBL, Serengeti, Coca Cola, Pepsi mbona hawakufunga na kukimbia wakati wa magufuli. huyo aliyekimbia labda alikuwa ni mhalifu
Dar supermarket, mbowe, mo alitaka kukimbia wakamdaka wakamweka pasiponulikana, Nimrod mkono kafilisiwa Mali zote mpaka kapalalise hatoki ndani kwake masaki labda mama huyu ambaye ana utu amrudishie hela zake, watu wamekufa wengi kwa presha kwa kikosi kazi alivhokianzisha kuvamia accounts za watu mchana kweupeee, nani angekuja kuanzisha biashara tena zaidi ya kukimbia na wengine kuahirisha kabisa. Mi mwenyewe account yangu aliiba hela zangu zote. Laana ndo imuua yule jamaa kila Kona walikuwa wanamuona mshenzi tu ispokuwa the so called " wanyonge" ambao walikuwa wanafurahia kudhuliwa kwa mtu ili iwe relief kwao ili kujustify uzembe na umaskini wao.
 
Mwigulu amekataa hakuna hela iliyolipwa popote zaidi ya Ile ya kulipa wanafunzi wa vyuo vikuu na kujenga Madarasa. Mkuu we hukuwepo?
 
Nenda kamuulize Prof. Lipumba na Prof. Semboja factors zinazosababisha mfumko wa bei alafu urudi hapa
Jibu swali. Umeshawahi kusikia wanamkosoa mwigulu nchemba? Kwa sbabu wanakijua kile kichwa. Factors zinazosababisha mfumko wa bei hata mi najua. Kuna cost push na demand pull ambazo mwigulu anadeal nazo. Kitendo Cha kuhamasisha uwekezaji nchi anatatua demand pull inflation ila nyie vilaza hamuwezi kujua
 
Walisema pesa za Covid 19! Ndiyo zimejenga!

Pili walisema Mama kaleta pesa za ujenzi wa madarasa! Mimi nikajua Bi Mkubwa anazitoa kutoka kwenye pochi lake

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ukipunguza uzalishaji panatokea uhaba na huu uhaba unasababisha kupanda kwa bei - mfumuko wa bei (pesa nyingi inakimbizana na bidhaa kidogo). Katoa mfano wa mbolea.
Kaeleza pia namna ya kuhalalisha matumizi ya serikali nje ya bajeti - njoo bingeni leta supplimentary bajeti.
Iasitoshe Mpina anaongea yaliyo kwenye ripoti ya CAG, Mwigulu angesema tu kuwa Mpina hajaelewa vizuri ripoti ya CAG. Kwa hiyo kumshambulia Mpina bila kuishambulia ripoti ya CAG ni kumuonea Mpina
Na niwaambie ukweli, Mwenyekiti ndiye alimnusuru Mwigulu kwa kukataa Mpina asimpe taarifa - ingetokea confrontation kubwa!
 
Utusaidie viwanda vilivyoongezeka kwa takwimu ikiwezekana majina pia, kwa kutusaidia zaidi utuambie vingapi (kitakwimu) na ikiwezekana kwa majina na location vilivyofungwa!
Pamoja na hayo comparative evidence pia kwenye idadi ya samaki waliopungua! (Difference) ili kina Tomaso waamini
 
Baada ya JPM hivi sasa hata akitokea mbunge anayekusemea mpiga kura eneo lako bado utampiga misumari huyo mbunge kuwa anamtetea Magufuri au anatafuta uraji kwa sababu ya njaa.

Bado naendelea kujifunza tabia ya mwanadamu!
.
 
Lakini unakumbuka walipotambulisha tozo za miamala waliongea bila hofu kwamba fedha hizo zitaelekezwa kwenye madarasa na vituo vya afya na wakawa wanatoa takwimu Kila mwezi na allocation ya hizo hela katika secta tajwa hapo juu?

Worse enough ghalfla tukasikia Kuna mkopo au maarufu kama hela za uviko na zitaelekezwa kwenye ujenzi wa madarasa?

Wakati tozo hazijafutwa bado zinaendelea (hatuambiwi Tena zinafanyia Nini) za uviko zikajengea madarasa,

Leo ataaminika akisema ametumia fedha nje ya bajeti kwa ajili ya vyumba vya madarasa? Ukitizima huoni Kama Kuna uhuni unaofanyika!
 
Aliamua mpaka kupima urefu wa samaki waliokuwa wakiuzwa kwenye canteen ya Bunge maana yake ni kwamba hata wakati huo alikuwa ana msimamo na akalaumiwa na waheshimiwa wenzie kwa kitendo kile !!
Ile ilikua Ni show off! Badala yaniuzuia wanakotokea anaenda kukagua wanakoliwa Kama sio kutafuta cheap popularity Ni Nini? Enhe akishagundua wamevuliwa kabla ya kufika required size angewarudisha ziwani ilihali wameshakaangwa? Ujinga mtupu?
 
Umesema kweli
 
Ulinzi gani wakati wote ni wana CCM tunajuana, afu sisa za kijinga za kutekana na kuumizana zilishaondoka na muasisi wake, yupo free aseme kinachomsibu wakubwa watamsikia na watayafanyia kazi ambayo wanaona yanafaa.
 
Mpina hakujibiwa hoja yake, Mwigulu alijibu kumfrustrate Mpina ila sio hoja aliyoitable!!
 

Kwa taarifa yako wawekezaji walikuwa wanapewa msamaha wa kodi kwa kipindi fulani…muda ukifika wa kuanza kulipa kodi wanasepa…

Huu uzwazwa JPM alisema hautafanywa kwake….tunataka uwekezaji wenye tija…unakuja hapa eti ajira…payroll yenyewe haifiki hata theluthi ya anachovuna…
 
Mchumi mbobezi. Nenda pale B.O.T jina lake lipo na udsm pia

Wazungu wanasema ukishasoma kitabu…kireflect ili upate a good take away…unaeza ukawa na first class degree ya enterpreneurship lakini hata duka la mangi linakushinda kuendesha….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…