Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"


CCM wanacheza sarakasi tu. Hoja hii iliibuliwa kwa kirefu bungeni mwezi Juni 2022

Mbunge Nusrat : Azungumzia shilingi Trilioni 300 tarehe 22 June 2022


Source : Uhondo TV
 
Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki? Kuondolewa kwa waziri wa Fedha ndo hitaji muhimu la watanzania kwa sasa?
 
Mwigulu kila sehemu ukipita anaongelewa yeye aisee na bado anaenda ofisini kaharibu uchumi Mama anaendelea kumkumbatia tuu..
 
Acha roho mbaya.
Utasema ni roho mbaya napokea, ila ukweli lazima kusemwa, kwenye hicho kiti Hana mvuto , pamoja na Zungu kuingiza watanzania kwenye matatizo ya tozo( Mungu anamuona) ila kwenye hicho kiti kidogo anamvuto, ila uyu hamna ,
Sema ndo hivyo nafasi za kuokota ila hapamtoshi pale, bora Dr Msukuma mzee wa kutema yai
 
Mataga ni mataga tu.
Huyo Mpina anaongea kwa kuwa sio waziri kwa sasa angekuwa waziri asinyanyua mdomo katu angebaki kugonga meza kwa kila neno analosikia.
Watu wake walishaenda na ruler kupima samaki mgahawa wa bunge na alishawahi kutajwa kama waziri kichaa huko Ulyankende Republic!
 
Nibora Dr Msukuma?🎓 umezidisha utani🤠
 
ile - ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya ya........

wazee waliminya kitufe kumuumbua maneno yakagoma kutoka mdomoni dadadeq- bado kijana mdogo apunguze majivuno / majigambo... hiyo ni salam tosha ya tozo kwake. 😀😀😀
 
Kwa hiyo kwa mfano waziri wa afya akitaka ufafanuzi kutoka wizara nyingine inabidi afuate waziri husika ofisini kwake na sio kuuliza bungeni?
Elewa ndugu unaelimishwa, Waziri hawezi kuihoji Serikali wakati wa Kikao bungeni. Wana vikao vyao vya Baraza la mawaziri. Wawapo bungeni wao ni wajibu hoja zinazoulizwa/hoji wabunge. Huelewi?
 
jibu pekee nililoskia ni Yaaa yaaa yaaa yaaa yaaa yaaa yaaa yaaa yaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…