Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Umejibu vizuri, Kuna shida ya uelewa watu wengi humu jf na mtaani. Waziri hawezi kuiwajibisha serikali kwa kuwa yeye ndio serikali.Hawaruhusiwi, wao ni watoa majibu, na kwa sababu watamuulizaje jambo waziri mwenzao Bungeni? Ndio maana watu wanapendekeza mawaziri wasitokane na wabunge. Ukiwa na mbunge akawa waziri basi hawezi tena kuwasemea Bungeni. Kama kuna swali atauliza kwenye vikao vya baraza la mawaziri
haya ndo madhara ya kuwapatia madaraka watu ambao walikuwa wanakariri vitu badala ya kuelewa.
Kwa hiyo kwa mfano waziri wa afya akitaka ufafanuzi kutoka wizara nyingine inabidi afuate waziri husika ofisini kwake na sio kuuliza bungeni?Waziri anauliza kwa nan? Baraza la mawaziri majibu yote yapo, ndio maana unaona bungeni mbunge yoyote anapouliza swali kuhusu serikali waziri ndio anapaswa kujibu.
Ok, Ila nimetolea mfano tu.Mm sio CHADEMA ni mtanzania huru.
Siasa za watanzania ni pasua kichwa.
Ndio sielewi kama anatokea mtu juzi anataka tozo ziwekwe kwa watumiaji wa data mm nitamuelewaje?Mm sielewi bunge lote.
Kuna baraza la mawaziri, hapo ndio majibu yote yapo ndio maana wenyewe wanaita collective responsibility.Kwa hiyo kwa mfano waziri wa afya akitaka ufafanuzi kutoka wizara nyingine inabidi afuate waziri husika ofisini kwake na sio kuuliza bungeni?
Naniliu wewe ndio mwokozi by ZunguNadhani Mheshimiwa Waziri kuna kitu ameishakinusa. Si kwa upole huu aliouonyesha kiasi anashindwa kutafsiri kiingereza anabaki na ya ya ya ya yaaa...!
Tulisema mwigu ni kilaza mkabisha, sasa anaulizwa hiki anajibu kile!!!!
Pia HOJA ijibiwe, kwann Serikali imeamua Kwa makusudi kutokusanya mabilioni ya pesa ambazo hazina Mgogoro wowote?
CCM mmeweka Mazezeta bungeniHaya Mambo haya!
Usitilie shaka uwezo wake. Maana alishatuhakikishia ubora wa uwezo wake wakati wa 'half-time'.Tulisema ... ni kilaza mkabisha, sasa anaulizwa hiki anajibu kile!!!!
No swali Hilo ni GUMU, ndomana alitetema, swali Hilo linaibua suala la makinikia lililozimwa.CCM mmeweka Mazezeta bungeni
Ukweli tu ndio utamuweka Mwigulu Nchemba huruNo swali Hilo ni GUMU, ndomana alitetema, swali Hilo linaibua suala la makinikia lililozimwa.
Makampuni ya madini hawatozwi Kodi kwenye makinikia, wakati ilishakubaliwa walipe!!!!
Nan Yuko nyuma ya UOVU huu.
Kwann hakusanyi Kodi kwenye makinikia?Kosa la mwigulu ni nn?
Amuumbue tuu ndio inavyotakiwa.
Mungu yupo atatuamulia huu ugomvimwigulu asipokufa mwaka huu hafi tena
Ndiyo!Kwa hiyo mawaziri hawaruhusiwi kuuliza jambo lolote?