Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"

Umejibu vizuri, Kuna shida ya uelewa watu wengi humu jf na mtaani. Waziri hawezi kuiwajibisha serikali kwa kuwa yeye ndio serikali.

Waziri ndio anajibu yote yanayoulizwa kuhusu serikali.
 
Waziri anauliza kwa nan? Baraza la mawaziri majibu yote yapo, ndio maana unaona bungeni mbunge yoyote anapouliza swali kuhusu serikali waziri ndio anapaswa kujibu.
Kwa hiyo kwa mfano waziri wa afya akitaka ufafanuzi kutoka wizara nyingine inabidi afuate waziri husika ofisini kwake na sio kuuliza bungeni?
 
Mpina amerusha kombora au ameuliza swali?????

Maana Si Kwa mtetemo na kigugumizi kile...

Apumzishwe mwigu, ana mambo mengi kichwani.
 
Kwa hiyo kwa mfano waziri wa afya akitaka ufafanuzi kutoka wizara nyingine inabidi afuate waziri husika ofisini kwake na sio kuuliza bungeni?
Kuna baraza la mawaziri, hapo ndio majibu yote yapo ndio maana wenyewe wanaita collective responsibility.

Hata waziri fulani akienda sehemu akaulizwa swali na wananchi ambalo halipo kwenye wizara yake Kama hafahamu atawasiliana na waziri husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…