Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mtambo unafyatua balaa itabidi tuwaazimishe na majiraniUdsm jalalani mtambo wa kufytua vituko
Kigumizi kimekuja baada ya kusikia zile Trillion 360 za makinikia.Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.
Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.
Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.
Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.
Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.PhD.
Well said Bila bila.Hata mfanyabiashara wa Kariakoo aliyewahi kukadiriwa vibaya kodi anazijua na anaweza kueleza vizuri kuliko Daktari wa Uchumi. Wakili msomi anashindwa kueleza tofauti ya Mahakama ya Mwanzo na Mahakama ya Wilaya.
Phd feki hahahahaaaaaaMhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.
Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.
Mungu Fundi na bado aibu ataipata sana tuuuuIkumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.
TRAB and TRAT😀Tanzania hatuna Waziri wa Fedha.
Tofauti yake ni nn? Kwa sisi tusiojua kitu?TRAB=Tax Revenue Appeals Board maarufu Kama 'Board'.
TRAT=Tax Revenue Appeals Tribunal maarufu Kama 'Tribunal.'
Ndio amekosa kiswahili chake?TRAB=Tax Revenue Appeals Board maarufu Kama 'Board'.
TRAT=Tax Revenue Appeals Tribunal maarufu Kama 'Tribunal.'