Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo pakudiscuss. Wanakwepa hapa tuPia HOJA ijibiwe, kwann Serikali imeamua Kwa makusudi kutokusanya mabilioni ya pesa ambazo hazina Mgogoro wowote?
Pia kwann hawakusanyi KODI kwenye Makampuni ya madini kwanye MAKINIKIA???
Kwann wakimbilie Kutoza tozo Kwa maskini wanaacha Kodi kwenye migodi???
Mwigu unalo mwaka huu😠😠😠
Ndio sababu Heshima akupayo Mtanzania haitokani na Kile kilichobora ulichonacho, Bali wewe ni nani!!.
Waziri Mashauri yayayayayayayayayayaa🤣
Hapa ndipo pakudiscuss. Wanakwepa hapa tu.Pia HOJA ijibiwe, kwann Serikali imeamua Kwa makusudi kutokusanya mabilioni ya pesa ambazo hazina Mgogoro wowote?
Pia kwann hawakusanyi KODI kwenye Makampuni ya madini kwanye MAKINIKIA???
Kwann wakimbilie Kutoza tozo Kwa maskini wanaacha Kodi kwenye migodi???
Mwigu unalo mwaka huu😠😠😠
Ni hilo tu. Asante mheshimiwa jajiPia HOJA ijibiwe, kwann Serikali imeamua Kwa makusudi kutokusanya mabilioni ya pesa ambazo hazina Mgogoro wowote?
Pia kwann hawakusanyi KODI kwenye Makampuni ya madini kwanye MAKINIKIA???
Kwann wakimbilie Kutoza tozo Kwa maskini wanaacha Kodi kwenye migodi???
Mwigu unalo mwaka huu😠😠😠
Sema wewe unataka nini?? Usitujumuishi kwenye upumbavu wako.Rais angekuwa anajua watanzania wanataka nini, hivi leo mwigulu asingeendelea kukalia kiti cha waziri wa fedha. Na rais kuendelea kushupaza shingo kwa ajili ya mwigulu anajipunguzia ushawishi kwa watanzania, sema hili la kupungua ushawishi chawa hawata mwambia, maana kazi yao kubwa ni mapambio. Maana hata malkia akiwa utupu wao haiwahusu. Ila kwa nia njema tu, na kwa maslahi mapana ya nchi yetu, haijarishi una chama au hauna chama. Ila mwingilu angemtafutia kazi nyingine ya kufanya. Ili kurudisha imani kwa watanzania, inayozidi kuporomoka siku hadi siku.
Hata mfanyabiashara wa Kariakoo aliyewahi kukadiriwa vibaya kodi anazijua na anaweza kueleza vizuri kuliko Daktari wa Uchumi. Wakili msomi anashindwa kueleza tofauti ya Mahakama ya Mwanzo na Mahakama ya Wilaya.Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.
Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.
Hapendi ushauri, anajifanya anajua kila kitu, kama utakumbuka kabla la hili alishauriwa, yeye akajibu watanzania kwa sasa hawata muelewa na ataonekana waziri wa ovyo, ila kwa maendeleo atakayo leta andandikwa kwenye historia. Ila sasa imekuwa kinyume chake.Kosa la mwigulu ni nn?
Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.
Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.
Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.
Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.
Chezea PhD ya Uchumi wewe.Hiki ni kiashiria kwamba hizo nondo kaandaliwa na hajazipitia kabisa
Bila shaka chuo kikuu chetu namba moja Mlimani, Udsm, jalalani au nimechanganya.Phd ilitoka chuo gani?Tuanzie hapo kwanza.maana mapendekezo ambayo huwa yanatolewa na hawa mawaziri huenda yanaanzia chuoni alipopatia phd uchwara yake
PhD ishatepeta hivyo.Hata mfanyabiashara wa Kariakoo aliyewahi kukadiriwa vibaya kodi anazijua na anaweza kueleza vizuri kuliko Daktari wa Uchumi. Wakili msomi anashindwa kueleza tofauti ya Mahakama ya Mwanzo na Mahakama ya Wilaya.