Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"

Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"

Haya maswali ya Mpina kuna dalili yakazimwa nyie subirini mtaona.
 
Pia HOJA ijibiwe, kwann Serikali imeamua Kwa makusudi kutokusanya mabilioni ya pesa ambazo hazina Mgogoro wowote?

Pia kwann hawakusanyi KODI kwenye Makampuni ya madini kwanye MAKINIKIA???

Kwann wakimbilie Kutoza tozo Kwa maskini wanaacha Kodi kwenye migodi???

Mwigu unalo mwaka huu😠😠😠
Hapa ndipo pakudiscuss. Wanakwepa hapa tu
 
Pia HOJA ijibiwe, kwann Serikali imeamua Kwa makusudi kutokusanya mabilioni ya pesa ambazo hazina Mgogoro wowote?

Pia kwann hawakusanyi KODI kwenye Makampuni ya madini kwanye MAKINIKIA???

Kwann wakimbilie Kutoza tozo Kwa maskini wanaacha Kodi kwenye migodi???

Mwigu unalo mwaka huu😠😠😠
Hapa ndipo pakudiscuss. Wanakwepa hapa tu.
Pia HOJA ijibiwe, kwann Serikali imeamua Kwa makusudi kutokusanya mabilioni ya pesa ambazo hazina Mgogoro wowote?

Pia kwann hawakusanyi KODI kwenye Makampuni ya madini kwanye MAKINIKIA???

Kwann wakimbilie Kutoza tozo Kwa maskini wanaacha Kodi kwenye migodi???

Mwigu unalo mwaka huu😠😠😠
Ni hilo tu. Asante mheshimiwa jaji
 
Rais angekuwa anajua watanzania wanataka nini, hivi leo mwigulu asingeendelea kukalia kiti cha waziri wa fedha. Na rais kuendelea kushupaza shingo kwa ajili ya mwigulu anajipunguzia ushawishi kwa watanzania, sema hili la kupungua ushawishi chawa hawata mwambia, maana kazi yao kubwa ni mapambio. Maana hata malkia akiwa utupu wao haiwahusu. Ila kwa nia njema tu, na kwa maslahi mapana ya nchi yetu, haijarishi una chama au hauna chama. Ila mwingilu angemtafutia kazi nyingine ya kufanya. Ili kurudisha imani kwa watanzania, inayozidi kuporomoka siku hadi siku.
Sema wewe unataka nini?? Usitujumuishi kwenye upumbavu wako.
 
Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamra shamra za hapa na pale Bungeni.

Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.

 
Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.

Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.

Hata mfanyabiashara wa Kariakoo aliyewahi kukadiriwa vibaya kodi anazijua na anaweza kueleza vizuri kuliko Daktari wa Uchumi. Wakili msomi anashindwa kueleza tofauti ya Mahakama ya Mwanzo na Mahakama ya Wilaya.
 
Kosa la mwigulu ni nn?
Hapendi ushauri, anajifanya anajua kila kitu, kama utakumbuka kabla la hili alishauriwa, yeye akajibu watanzania kwa sasa hawata muelewa na ataonekana waziri wa ovyo, ila kwa maendeleo atakayo leta andandikwa kwenye historia. Ila sasa imekuwa kinyume chake.
 
Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.

Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.

 
Mhe Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha wa Tanzania, leo akijibu maswali bungeni ameshindwa kufafanua tofauti ya TRAT &TRAB kwenye uchumi, jambo lilomfanya spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kuingilia Kati na kumtaka atolee ufafanuzi, ghafla Waziri wa fedha (PhD) akashikwa na kigugumizi na kushindwa kufafanua vizuri, hali iliyoibua shamla shamla za hapa na pale Bungeni.

Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.


PhD ya kusaga na kukoboa mashudu ya nguruwe
 
Back
Top Bottom