Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,353
- 1,784
Hii ni aibu kubwa sana kwa Taifa, tuna waziri wa Fedha asie jua uchumi, yaani ni zero kabisa, hii nchi tuna shida gani? tuna bahati mbaya sana, waziri wa fedha hajui ana ongea nini, zero kabisa.